Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

Forex fanya for fun upate ela ya kula Bata na bby

Yani Ile ela uliyo ipanga ukale weekend na mchuchu ndo iweke huko ikiliwa furesh tu
 
Haukumshauri arelease dopamine Ili kupoteza mawazo?😂
 
Unanishaurije mimi ninayetaka kuanza? 😊
Usianze, the markets are 100% rigged, ukishakubaliana na hilo pamoja na uncertainties zake zama tu.

Ila kama we mwoga, zama kwenye Newyork stock exchange ama Dar Es Salaam stock exchange, tafuta stocks zinazofanya vizuri kwa Sasa although kwa Newyork kule wako bearish kinyama so nahisi mpaka December.
 
Ndo tunawaza hapa tuzike au tusafirishe[emoji18][emoji18][emoji18]
Kuleni tu hizo. Ila kama hamuitegemei na mpo tayari kuipoteza, na kama una plan nzuri basi wekezeni ila nitaendelea kuambia, market ina uncertainties, so hakikisha una experience. Experience ndo inawafanya novice traders wadumu sokoni muda mrefu .

Wish you good luck.
 
Forex fanya for fun upate ela ya kula Bata na bby

Yani Ile ela uliyo ipanga ukale weekend na mchuchu ndo iweke huko ikiliwa furesh tu
Kuna watu inawaendesha maisha yao.
Kuna watu wamekuwa mabilionea na mamilionea kupitia forex trading, wakina Paul Tudor Jones, George Soros, Kathy Lien, Jesse Livermore (R.I.P) na Dr. David Paul(R.I.P)
 
Na ukaamua kabisa kujiita Mrforex, anyway hongera kwa uthubutu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu, labda unabahati upande uo, ila kama unakazi usiache kisa hiyo kitu
Financial markets sio suala la bahati, ni suala la kwamba, je unajua market drivers? Je unajua impacts za world events na geopolitical agendas?

Mfano Vita tu ya Hamas-Israel, imepunguza demand ya dollar na kuleta afueni kwa sarafu zingine na physical gold.

Forex sio kuchora chora madude, michoro yako haimove soko.
 
Naomba ABCD za new York stock exchange mkuu.
 
Naomba ABCD za new York stock exchange mkuu.
Newyork stock exchange ni Pana. Unafanya investment ya kununua hisa za makampuni kama Tesla, Facebook, Twitter, Netflix, Amazon n.k.

Unanunua hisa hizo na kuziacha zimove muda mrefu, uzuri wa Newyork stock exchange kuna liquidity na volatility, wanaoweka pesa na kuziuza ni wengi ukilinganisha na Dar Es Salaam stock exchange so ikitoka habari za earnings, inamove kwa kiasi kikubwa. Ili uwekeze unahitaji upate broker au wakala.

Pia unaweza wekeza pesa zako kupitia bonds(hatifungani), kuna UTT na hata CRDB wanayo Kijani Bonds na returns unapokea Kila mwaka. Mwaka huu ndo ulikuwa mwaka bora wa kununua hatifungani kutokana na kushuka kwa shilingi ya Kitanzania.

Pia unaweza wekeza kupitia Dar Es Salaam stock exchange, kampuni ya NMB chini ya C.E.O mwanamke amekuwa akileta positive returns kila mwaka, unaweza wekeza NMB. Ili uwekeze unahitaji upate broker au wakala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…