pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
UjingaYaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni,
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Umejiandikisha? Kama bado huna haki hata ya kujibu kituUjinga
Mnakataa haki? Halafu baadae mnaitafuta?hatutaki
Kujiandikisha ndio upumbavu gani ?! Huna akiliUmejiandikisha? Kama bado huna haki hata ya kujibu kitu
Ni upumbavu zaidi kuacha kushirikiNi mpumbavu pekee ndo atashiriki chaguzi ndani ya nchi,kwa tume hii.
Ni uchaguzi wa kipuuzi kama upuuzi mwingine. Suala la kuwa kura zinaibiwa wala halina mjadala, na hakuna mtu anayejitambua atajitokeza kushiriki huo uchaguzi wa kihuni.Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni,
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Vichaa hawa wamelipwa tupesa kuja kupigia promo ujinga.Kwani wakati mwingine zinapoibiwa wanakua hawajajiandikisha?
Sasa kujiandikisha hutaki, kupiga kura hutaki, kwani unalalamika? Kuwa tu mpole watu wakiwaamlia mambo yenuKujiandikisha ndio upumbavu gani ?! Huna akili
Wamewalipa tupesa ili kuja kupigia promo hilo daftari wapumbavu humu
Yameanza kuwa na wasiwasi yana ogopa vivuli vyao.Kwani ukisema nimeibiwa kura itasaidia nini? nyie ibeni tu mbona kama mnajiogopa wenyewe
hatutaki haki hata wakiamua tulale saa 12 tutalalaMnakataa haki? Halafu baadae mnaitafuta?
Basi hamna haki ya kulalamika sasa na hata baada ya uchaguziNi uchaguzi wa kipuuzi kama upuuzi mwingine. Suala la kuwa kura zinaibiwa wala halina mjadala, na hakuna mtu anayejitambua atajitokeza kushiriki huo uchaguzi wa kihuni.
Nani kalalamika huna akili.Sasa kujiandikisha hutaki, kupiga kura hutaki, kwani unalalamika? Kuwa tu mpole watu wakiwaamlia mambo yenu
Hakuna kulalamika unaogopa nini wewe mwendawazimu kwa watu waliokaa kimyaBasi hamna haki ya kulalamika sasa na hata baada ya uchaguzi
Lisikieni hili tairaYaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni,
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi