LGE2024 Usipojiandikisha na usipopiga kura, hutakuwa na haki hata ya kusema nimeibiwa kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ni uchaguzi wa kipuuzi kama upuuzi mwingine. Suala la kuwa kura zinaibiwa wala halina mjadala, na hakuna mtu anayejitambua atajitokeza kushiriki huo uchaguzi wa kihuni.
 
Kwani ukisema nimeibiwa kura itasaidia nini? nyie ibeni tu mbona kama mnajiogopa wenyewe
Yameanza kuwa na wasiwasi yana ogopa vivuli vyao.

Wao waibe tu kama miaka yote wafanyavyo waache makelele kupigia watu kujiandikisha katika hilo daftari la wajinga
 
Lisikieni hili taira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…