Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
nani
aliyelalamika sasa?Basi hamna haki ya kulalamika sasa na hata baada ya uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliyelalamika sasa?Basi hamna haki ya kulalamika sasa na hata baada ya uchaguzi
Comment zako zote humu kuna either "huna akili " au "mpumbavu"Nani kalalamika huna akili.
Wewe si ndio umeleta malalamiko yako ya kipuuzi humu kuwa watu wamekataa kujiandikisha katika huo ujinga wenu ?
Kama mlitegemea watu wataendelea kushiriki chaguzi hizi za kihuni kwenye mazingira haya, basi mmeukalia. Kama ni kulalamika tumeshalalamika sana, kwa sasa enough is enough, dhalimu magufuli ndio alikuja kufunga kitabu cha kuendelea kushiriki chaguzi hizi kiini macho. Kiwango alichonajisi chaguzi hakijawahi kufikiwa.Ni upumbavu zaidi kuacha kushiriki
Hili taira wewe unasusumbuka nalo nini naomba majibu yawe mafupi mafupiNani kalalamika huna akili.
Wewe si ndio umeleta malalamiko yako ya kipuuzi humu kuwa watu wamekataa kujiandikisha katika huo ujinga wenu ?
Huna akili na mpumbavu zote sifa zako.Comment zako zote humu kuna either "huna akili " au "mpumbavu"
Hivi una tatizo gani? Msongi wa mawazo au? Kwanini huwezi kujibu tu kistaarabu bila ya kutaja matusi?
Sisi hatulalamiki maana hatuna muda wa kushiriki huo ushenzi. Hapa tunaweka rekodi sawa kuwa kwa sasa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Basi hamna haki ya kulalamika sasa na hata baada ya uchaguzi
Hizo njia sahau, tanzania ni salama kila upande sasa na hata mileleKama mlitegemea watu wataendelea kushiriki chaguzi hizi za kihuni kwenye mazingira haya, basi mmeukalia. Kama ni kulalamika tumeshalalamika sana, kwa sasa enough is enough, dhalimu magufuli ndio alikuja kufunga kitabu cha kuendelea kushiriki chaguzi hizi kiini macho. Kiwango alichonajisi chaguzi hakijawahi kufikiwa.
Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili kupata mfumo mpya wa uchaguzi, chini ya tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Lakini kushiriki kwenye mazingira haya mtawapata mazombie tu.
Kumbe najadiliana na muhuni? Sawa kijana asanteHuna akili na mpumbavu zote sifa zako.
Kwenye mazingira ya wizi na uporaji uliotamalaki hiyo haki itapatikana vipi?Na hivi ndio safi na ndio tanataka, mawakala wawepo na watu wajiandikishe ili watumie haki yao
Narudia tena, mlipaswa kutoka kwa njia za kistaarabu ambazo ni box la kura lakini mkagoma, ifahamike ccm sio chama cha kizazi hiki, mmekuwa mnakaa madarakani kwa shuruti maana watu waliendelea kushiriki hizi chaguzi kiinimacho. Sasa acha watu wasijitokeze kushiriki ili mjue tumewachoka.Hizo njia sahau, tanzania ni salama kila upande sasa na hata milele
Jadili, weka hoja, matusi ya wahuniLisikieni hili taira
Narudia tena, machafuko na fujo sahauni kwa tanzania, labda huko mlipotokea pengine burundi, rwanda, kenya, drc nk nkNarudia tena, mlipaswa kutoka kwa njia za kistaarabu ambazo ni box la kura lakini mkagoma, ifahamike ccm sio chama cha kizazi hiki, mmekuwa mnakaa madarakani kwa shuruti maana watu waliendelea kushiriki hizi chaguzi kiinimacho. Sasa acha watu wasijitokeze kushiriki ili mjue tumewachoka.
Nasisitiza kwakuwa mmegoma kutoka kwa njia za kistaarabu acha tusijitokeze kwenye hizo chaguzi za kishenzi, kitakachofuata ni machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi. Hapo ndio mtajua wakati wenu ulishapita muda mrefu.
Nini maana ya hoja?Jadili, weka hoja, matusi ya wahuni
Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni,
Kama mlitarajia watu wataendelea kuwa makondoo miaka yote huku mkichezea kura zao basi mmebug. Kwa kuanzia tumeacha kutokea kushiriki huo uchaguzi wa kipuuzi mnaotumia kuiba kura ili muendelee kukaa madarakani. Itafuata hatua nyingine ambapo mtajua hamna uhalali wa kukaa madarakani, hapo ndio mtafurahia show.Narudia tena, machafuko na fujo sahauni kwa tanzania, labda huko mlipotokea pengine burundi, rwanda, kenya, drc nk nk
Tanzania ni salama leo na hata milele ameeeen
Sasa hapo chadema wangesusa wangekamataje?Kwenye mazingira ya wizi na uporaji uliotamalaki hiyo haki itapatikana vipi?