Alfu Lela U lela
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 204
- 341
1. " mshindi hatokani na idadi ya kura inategemea na nani anaehesabu hizo kura".......
2.Tamisemi wasimamizi ....
2.Tamisemi wasimamizi ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatushiriki upuuzi, fullstop.inafahamika wewe binafsi una shida za kiafya za kikatiba hivyo huna sifa na vigezo kushiriki zoezi hilo. wewe kaa nyumbani utulie ile wanastahili wafanye zoezi hilo muhimu zaidi la kizalendo 🐒
sema huna sifa za kujiandikisha na kupiga kura kutokana na zuio la kikatiba ulilonalo wewe binafsi 🐒Hatushiriki upuuzi, fullstop.
Kwani jirani yangu akiibiwa mimi sina haki ya kupiga kelele za "mwizii mwizii mwizi huyoo! Mbona mwizi unaanza hofu ya kuitiwa mwizi ambayo ni sifa yako ya miaka na miaka. Hatujasahau mlivyompora Mrema dhidi ya Mkapa na kuufuta uchaguzi kinyume na sheria na katiba na kuugawanya kwa maeneo, mwisho mkaamua liwalo na liwe mkamtangaza Mkapa huku mwenyewe akiwashangaa.Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni.
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni.
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Logic and reasoning yako ipo very very low!Kujiandikisha na kupiga kura ni haki yako,
Nonsense ni kuacha kupiga kura
Itakuwa kituko mtu alalamikie kitu ambacho hakushiriki kufanya jambo liwepo na kuonekana.Mambo ni mengi sana.Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni.
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Shida ni kwamba wezi wanaiba kabla hujajiandikisha na kupiga kura. Mfano sasa hivi wanaandikisha watoto wa dhule under 18 Hii maana yake wameshaandaa ushindi kabla haujatangazwa kura yako wewe mwenye sifa wala haiihitaji. We unategemea mkwe amwangushe mzaa chema?Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni.
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Ndio ilivyo hivyo , ukishindwa kujenga hoja, unahamisha magoliLogic and reasoning yako ipo very very low!