pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
-
- #41
No jiandikishe, na upige kura, ukiibiwa utaweza angalau kulalamika kwa kuwa ni kweli umeibiwaKwa hiyo tujiandikishe ili tuwape haki zetu wezi wa kura?
Kujiandikisha na kupiga kura ni haki yako,Unajua maana ya haki?kujiandikisha na kupiga kura ni kupoteza muda wako.So stop this nonsense!
Wanasema hawajiandikishi kwa kuwa wataibiwa, sasa najiuliza utaibiwaje kitu ambacho huna? Hiyo kura huna utaibiweje?nani
aliyelalamika sasa?
Kwani kuna nini?Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni,
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni,
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
sure,Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni,
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
Yes, piga kura kwa maendeleo yako mwenyewe, vinginevyo usilalamikesure,
ni muhimu sana kushiriki kujiandikshaji lakini pia na kupiga kura 🐒
Hakuna aliegoma, wanasubiri siku ya mwisho waanze kujazana vituoni, huo ndio utamaduni wa watanzaniaKwani kuna nini?
Raia wamegoma kujiandikisha au? Mbona kama mmepaniki!
No jiandikishe, na upige kura, ukiibiwa utaweza angalau kulalamika kwa kuwa ni kweli umeibiwa
Ila kulalamika na hujaibiwa kwa kuwa hukupiga kura haileti maana
Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni.
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi
🤣 🤣 🤣Sisi hatulalamiki maana hatuna muda wa kushiriki huo ushenzi. Hapa tunaweka rekodi sawa kuwa kwa sasa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura
Utaenda kulalamika wapi? Kwenye hizi mahakama ambazo zimeshindwa hata kutoa hukumu kuhusu kuzuia Tamisemi kusimamia uchaguzi huu?No jiandikishe, na upige kura, ukiibiwa utaweza angalau kulalamika kwa kuwa ni kweli umeibiwa
Ila kulalamika na hujaibiwa kwa kuwa hukupiga kura haileti maana
Hatushiriki chaguzi za kipuuzi.sure,
ni muhimu sana kushiriki kujiandikshaji lakini pia na kupiga kura 🐒
inafahamika wewe binafsi una shida za kiafya za kikatiba hivyo huna sifa na vigezo kushiriki zoezi hilo. wewe kaa nyumbani utulie ile wanastahili wafanye zoezi hilo muhimu zaidi la kizalendo 🐒Hatushiriki chaguzi za kipuuzi.
Potelea poteYaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura,
Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni.
Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa kuanzia, vinginevyo tukae kimya sasa na hata baada ya uchaguzi