Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Muhimu sana......Wanufaika mnatetea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu sana......Wanufaika mnatetea
Hii ni kweli, kama Bado kipato chako sio imara itabidi uwe makini sana na uhongajiWanaume zaidi ya asilimia 50 wamrshindwa kufikia malengo kwrnye maisha sio kwa sababu hawana vipato bali Kuhonga sana wanawake.
Wanaume wamepinda sababu ya kuhendekeza ngono.
Boda boda, Daladala wauza chips wana vipato vya kutosha tu. Shida yao honga honga........leta hoja nyingine.
Uko sahihi......Muuza Madafunanaingiza faida elfu kumi kwa siku. Videmu viwili tu vinamuomba elfu 2 ya vocha tayari ni elfu 4.Hii ni kweli, kama Bado kipato chako sio imara itabidi uwe makini sana na uhongaji
Mimi kipato changu kidogo huwa sihongi
Hehehe......Usisahau tu kwamba anayekuhonga unageuka kuwa mtumwa wake.Muhimu sana......
Hili jibu lifunge mjadala.....Wewe nani alikudanganya mwanamke huwa anamzidi mwanaume kipato😳😳😳
Hata kama una elfu tano yeye ana elfu hamsini bado umemzidi kipato.
Sijui Kwa Nini hawataki kuelewa jamani?[emoji23][emoji23][emoji23] Rafiki, ila mimi sijaona ubaya wowote mwanaume kumpa pesa mwanamke wake hata kama anazidiwa kipato kama unavyosema nachojua mapenzi ndio yanafanya watu wafike huko na si kwa ubaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe Mimi si mpaka nilipopasuliwa ukweli halafu hela yenyewe tu elf kumi, saizi nampaga tu maana furaha ya mume ni kuona mke wake ana amani na furaha hata kama maisha magumu lakini mwanaume anawajibika kuhakikisha furaha na amani vinapatikanaHivi sijui Kwa Nini huwa wanakaza fuvu tukisema hela ya mpenzi ni tamu,,yaani ukipewa Hela na mwanaume wako unapata hisia nzuri za kujaliwa,sio mwanaume unaona kabisa ana Hela halafu hataki kukuhudumia obvious Kuna mwenzio anahudumiwa
Unaielewa Kwa Nini anaitwa Mister?wamebadilisha tu ni Master hiyo.....no problemHehehe......Usisahau tu kwamba anayekuhonga unageuka kuwa mtumwa wake.
Wasichanganye mambo kabisa. Tulishakubaliana mwanamke hana hela. Sasa hii ya kuwazidi kipato ghafla hivi imetoka wapi jamani🙆🙆🙆🙆Hili jibu lifunge mjadala.....
Hehehee sawaUnaielewa Kwa Nini anaitwa Mister?wamebadilisha tu ni Master hiyo.....no problem
Uzi ufungwe.Mke wangu aliniambia "hela ya mume tamu hata kama nina hela ila nikipokea hela ya mume najisikia amani sana"
Nikagundua mwanaume ni mwanaume tu hata kama mwanamke atakuwa na uwezo gani bado anagitaji huduma ya mwanaume, hata kama huwa anaenda kufanya shopping mliman city lakini ukimletea kigauni kizuri kutoka kariakooo ataona mliman city ni buree kabisa. Huduma ya mwanaume kwa mwanamke inamaana kubwa sana, acha wapambane tu maana hela ya mwanaume inaliwa na mwanamke kwa namna yoyote ile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka wallahWewe nani alikudanganya mwanamke huwa anamzidi mwanaume kipato[emoji15][emoji15][emoji15]
Hata kama una elfu tano yeye ana elfu hamsini bado umemzidi kipato.
Good,wewe ni mume unayejitambua sana,wenzio sijui wanadhani mpaka watoe mamilioni !🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe Mimi si mpaka nilipopasuliwa ukweli halafu hela yenyewe tu elf kumi, saizi nampaga tu maana furaha ya mume ni kuona mke wake ana amani na furaha hata kama maisha magumu lakini mwanaume anawajibika kuhakikisha furaha na amani vinapatikana
Kweli ndio Uchimbe Mawe mwenzako akalie Ice Cream Mlimani? Utakuwa huna akili.Mke wangu aliniambia "hela ya mume tamu hata kama nina hela ila nikipokea hela ya mume najisikia amani sana"
Nikagundua mwanaume ni mwanaume tu hata kama mwanamke atakuwa na uwezo gani bado anagitaji huduma ya mwanaume, hata kama huwa anaenda kufanya shopping mliman city lakini ukimletea kigauni kizuri kutoka kariakooo ataona mliman city ni buree kabisa. Huduma ya mwanaume kwa mwanamke inamaana kubwa sana, acha wapambane tu maana hela ya mwanaume inaliwa na mwanamke kwa namna yoyote ile
Siku hizi ndivyo mnatakaGood,wewe ni mume unayejitambua sana,wenzio sijui wanadhani mpaka watoe mamilioni !
Hahaaaa sawa mimi nawashtua wavuja jasho wenzangu[emoji23][emoji23][emoji23] Rafiki, ila mimi sijaona ubaya wowote mwanaume kumpa pesa mwanamke wake hata kama anazidiwa kipato kama unavyosema nachojua mapenzi ndio yanafanya watu wafike huko na si kwa ubaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna,tunamuangalia na mume mwenyeweSiku hizi ndivyo mnataka
Kila mtu ashinde zake mkuuEndelea kuhonga wenzako wanakuona Mjinga tu we unadhani ni sifa
🤣🤣🤣🤣Wanapenda kutuchanganya akili hawaWasichanganye mambo kabisa. Tulishakubaliana mwanamke hana hela. Sasa hii ya kuwazidi kipato ghafla hivi imetoka wapi jamani🙆🙆🙆🙆