Usipokuwa makini unaweza kujikuta unamhonga mtu anayekuzidi kipato!

Usipokuwa makini unaweza kujikuta unamhonga mtu anayekuzidi kipato!

Hahaaaa sawa mimi nawashtua wavuja jasho wenzangu
Eleweka mkuu narudia tena eleweka kwenye uzi umeandika unapenda kuhonga sasa hao wavuja jasho wanakuhusu nn tena sisi wenye vipato vya chini kabisa ndio tunahonga sana kama hujui. Unapoteza muda kuwastua swala la mapenzi linamshika kila mtu kwa namna yake
 
Eleweka mkuu narudia tena eleweka kwenye uzi umeandika unapenda kuhonga sasa hao wavuja jasho wanakuhusu nn tena sisi wenye vipato vya chini kabisa ndio tunahonga sana kama hujui. Unapoteza muda kuwastua swala la mapenzi linamshika kila mtu kwa namna yake
Napenda kuhonga wanaonizidi uwezo na kipato ili niwainua hapa na pale
 
Wanaume zaidi ya asilimia 50 wamrshindwa kufikia malengo kwrnye maisha sio kwa sababu hawana vipato bali Kuhonga sana wanawake.

Wanaume wamepinda sababu ya kuhendekeza ngono.

Boda boda, Daladala wauza chips wana vipato vya kutosha tu. Shida yao honga honga........leta hoja nyingine.
sasa kama unahonga kila mwanamke unaekuana nae we si zuzu😂

yaani unajijua umefulia na hutulii
 
Hakuna kitu cha raha kama mwanaume kuhonga ama kumuhudumia mwanamke wako . Inaleta heshima ya kiume mnooo pia inakufanya unakuwa mtawala , baba na mwenye maamuzi ya mwisho .
Tuwahonge wanawake zetu na kuwahudumia ipasavyo hutasikia mambo ya ufeminist kamwe.
Mimi Nikidate hata na mwanamke CEO mwenye hela zake nitamuhudumia na kumtunza bila kujalisha anazo hela ama hana .
hata mwanamke awe katili vipi lazima atakuheshimu tu .bora useme wewe
 
Hahaha ila kweli sasa hebu muelewesheni mleta mada kwamba mwanamke hata awe ana kipato cha 7m kwa mwezi na mwanaume ana kipato cha 700k kwa mwezi lazima ataombwa na kama ni mwanaume atatoa kwa moyo na hatopungukiwa. Sijawahi sikia mwanaume kafulia kisa kuhonga japo kuna muda tunacharara ila ikiwepo tufanya matendo ya huruma ni jadi ya mwanaume
Nakataa huo mstari kuwa eti hata Uhonge kiasi gani huwezi kufirisika, huo ni UONGO.

Ukiendekeza kuhonga lazima ufulie.

Niliwahi kusoma miaka ya Nyuma Ubuyu wa marehemu warumi kuwa kuna mrembo alikuwa analalamika tajiri Mo Dewji kumhonga shilingi laki 1 moja badala ya kumuhonga milioni milioni

Alikuwa anasema yaani Mo akijitahidi sana Kuhonga Basi ni 120k

Kama Mo anahonga 120k Mimi Mkulima ndiyo nitaweza kweli?🤪
 
Kweli ndio Uchimbe Mawe mwenzako akalie Ice Cream Mlimani? Utakuwa huna akili.
Swali la Kwanza kujiuliza ni kwanini uhonge? Halafu ushakutana na anayeenda kuhonga ukamkataza akakuelewa? Jasho la mwanaume linaliwa na mwanamke iwe umeoa, una mpenzi au unaenda kununua dada poa
 
Ni ubinafsi, unyonyaji na roho mbaya za wanawake kutaka kuhongwa na wanaume ambao wamewazidi kipato.

Nna mdogo wangu mmoja alipata manzi anafanya kazi kampuni fulani ya kitajiri inashughulika na maswala ya mafuta na usafirishaji. Binti alikuwa muajiriwa hapo, alikutana na dogo akiwa kwenye harakati za utafutaji wa ajira, sasa binti alikuwaga reception ndo dogo kupeleka maombi wakabadilishana mawasiliano kwa updates zaidi. Chit-chat za hapa na pale zikakolea kwa muda kama wa miezi minne mitatu wakaingia penzini.

Dogo akabahatika kupata kibarua bila mkataba ofisini fulani jijini dar... sasa wakiwa wanatoka na yule manzi akawa anashangaa ku-spend kwake ni tofauti na kipato cha dogo ukiangalia manzi anataka ahudumiwe vilevile (manzi alikuwa anakula salary ya 2m, dogo analipwa 300k kibaruani kwake)

Wakitoka wanawaweza kutumia mpaka 60k+ hapo ni msosi wa kawaida sana mpaka 100k, ukiangalia anasisitiza kuhudumiwa na alikuwa anaishi apartment kali kinyama huyo manzi... haikuchukua round dharau zikapamba moto za hapa na pale, nyodonyodo mwisho dogo akatemana na yule manzi.

Kwa hali kama hii jinsia KE ni wanyonyaji na wenye roho mbaya za kishamba sana! Mapenzi sio biashara
 
Kwenye nyanja za kupigana vibomu ambavyo kwakweli vinapendezesha mahusiano, unajua bila kuhonga wengine hatujisikii raha na huwa tunapenda watu wanaotuombe hela. Asikudanganye mtu bwana, ukiwa unamhonga anakuwa mtumwa wako.

Sasa bwana katika pita pita za hapa napale nikakutana na vijana wana hustle maisha. Wamepinda kinyama wanajituma ili kuhakikisha Uchumi wa kati unafikiwa. Pamoja na yote wanahonga sana na wanahonga kwa wanawake wanaowazidi vipato!

Yaani wewe unashindia wali maharage kila siku ila unayemuhonga yeye anakula BBQ, chips kuku, pilau na supu.

Sasa unawaza hawa vijana vipi? Wanajua lakini kinachoendelea? Anatokea mwanamke wako siku hizi za weekend anakupigia simu anakwambia nina shida ya laki na 30.

Kumbe wewe unahenya kuipata mwenzako anabeba mashoga zake wanaenda kupiga pombe huku wame-tune ile nyimbo ya "Enjoy" ya Jux maisha mafupi ni Simple ungana nami upoze koo.

Wakati huo wewe umekula maandazi na chai, sana sana plus maharage kwa mama ntilie hapo Gongo la Mboto na uchovu juu.

Wanawake kuweni na huruma basi.
Kuhonga hakulipwi na mwanamke kuwa mtumwa wako. Anaweza kutumikia hata kama huna kitu.

Kuhonga kunaonesha steadiness yako ya kiume kwake na kwa jamii nzima inayokuzunguka.



MAGUFULI4LIFE.
 
Kuhonga hakulipwi na mwanamke kuwa mtumwa wako. Anaweza kutumikia hata kama huna kitu.

Kuhonga kunaonesha steadiness yako ya kiume kwake na kwa jamii nzima inayokuzunguka.



MAGUFULI4LIFE.
Sawa si ndio nyie mkiachwa mnawapiga hadinmnawatoa ngeu kisa pesa mnazowahonga zinawauma
 
Dogo akabahatika kupata kibarua bila mkataba ofisini fulani jijini dar... sasa wakiwa wanatoka na yule manzi akawa anashangaa ku-spend kwake ni tofauti na kipato cha dogo ukiangalia manzi anataka ahudumiwe vilevile (manzi alikuwa anakula salary ya 2m, dogo analipwa 300k kibaruani kwake)
Akijua kabisa dogo ana hali mbaya. Na dogo naye alikosa akili za kujiongeza
 
Back
Top Bottom