Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Utajikuta Uzeeni unaanza kuomba msaada wa matibabu na hela ya kula kwa Watoto 🙌Waache wajifanye watalaam wa kuhonga umri unaenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajikuta Uzeeni unaanza kuomba msaada wa matibabu na hela ya kula kwa Watoto 🙌Waache wajifanye watalaam wa kuhonga umri unaenda
Wengi ndio utakuta wanajidai kulaani watotoUtajikuta Uzeeni unaanza kuomba msaada wa matibabu na hela ya kula kwa Watoto 🙌
Hehehee wanyonyaji hawaMbaya zaidi utamu tunapata wote 🤪🏃🏃
😄😄😄 Akipata pesa ni yeye na pisi.Wengi ndio utakuta wanajidai kulaani watoto
Ukifatilia kwa undani yeye kila pesa anapelekea totozi anajifanya kidume
Oi Mo si ameoa mzee au alikuwa na kamchepuko..Mbaya zaidi utamu tunapata wote 🤪🏃🏃
Na hata miezi mitatu kazini hana... lijimama lake lina almost 3 years+Akijua kabisa dogo ana hali mbaya. Na dogo naye alikosa akili za kujiongeza
Ndoivo mzee.Mo anahonga 120k duuuuh na ma trillion aliyonayo asee ni haki yetu awe role model wetu.
Hivyo kama ni kuhonga inabidi iwe 0.05% ya mapato yetu.
Kuhonga ni ufala. Mwanaume kamili hupaswi kuhonga. Na ukiona mwanamke nakuomba hela juwa huyo mwanamke Hana mpango na wewe. Mwanamke ambaye anampa go na wewe hata akiwa na shida a naogopa kukwambia kuwa shida zake.Kwenye nyanja za kupigana vibomu ambavyo kwakweli vinapendezesha mahusiano, unajua bila kuhonga wengine hatujisikii raha na huwa tunapenda watu wanaotuombe hela. Asikudanganye mtu bwana, ukiwa unamhonga anakuwa mtumwa wako.
Sasa bwana katika pita pita za hapa napale nikakutana na vijana wana hustle maisha. Wamepinda kinyama wanajituma ili kuhakikisha Uchumi wa kati unafikiwa. Pamoja na yote wanahonga sana na wanahonga kwa wanawake wanaowazidi vipato!
Yaani wewe unashindia wali maharage kila siku ila unayemuhonga yeye anakula BBQ, chips kuku, pilau na supu.
Sasa unawaza hawa vijana vipi? Wanajua lakini kinachoendelea? Anatokea mwanamke wako siku hizi za weekend anakupigia simu anakwambia nina shida ya laki na 30.
Kumbe wewe unahenya kuipata mwenzako anabeba mashoga zake wanaenda kupiga pombe huku wame-tune ile nyimbo ya "Enjoy" ya Jux maisha mafupi ni Simple ungana nami upoze koo.
Wakati huo wewe umekula maandazi na chai, sana sana plus maharage kwa mama ntilie hapo Gongo la Mboto na uchovu juu.
Wanawake kuweni na huruma basi.
Tena ile habari ni kama ilikuwa inamuhusu Mjane wa Mzee Machache ama Mobetto.Mo anahonga 120k duuuuh na ma trillion aliyonayo asee ni haki yetu awe role model wetu.
Hivyo kama ni kuhonga inabidi iwe 0.05% ya mapato yetu.
Kama Mfalme Suleiman pamoja na kuwa na wake warembo zaidi ya 700 lakini bado alikuwa na Masulia(Michepuko) 300 huyo Mo ndiyo ataweza kutulia na Mke mmoja? 😆Oi Mo si ameoa mzee au alikuwa na kamchepuko..
Mwanamuziki na Miss Tanzania miaka ya 2000's.Huyu mjane ni nani mkuu? Sijawahi kumsikia asee
Hizi aya imewavurugia watu kipato weekend hiiSasa unawaza hawa vijana vipi? Wanajua lakini kinachoendelea? Anatokea mwanamke wako siku hizi za weekend anakupigia simu anakwambia nina shida ya laki na 30.
Kumbe wewe unahenya kuipata mwenzako anabeba mashoga zake wanaenda kupiga pombe huku wame-tune ile nyimbo ya "Enjoy" ya Jux maisha mafupi ni Simple ungana nami upoze koo.
Ukiwa bahiri sana pia wanakukimbiaHehehee wanyonyaji hawa
Hahahaa nimewaharibia wanufaikaHizi aya imewavurugia watu kipato weekend hii
Ndio maana nikasema tuwe makiniUkiwa bahiri sana pia wanakukimbia
Kwahiyo inahitaji umakini kidogo kuweza kudeal nao
Hahaha......wao wanataka ngapi kwani? Ina TV ndani?Tena ile habari ni kama ilikuwa inamuhusu Mjane wa Mzee Machache ama Mobetto.
Imagine na urembo wao wote ule lakini Mo anawapiga kwa 120k alafu unakutana na mwajuma ndala ndefu huku Uswahilini eti ndiyo anataka umuhonge zaidi.
Useme hao mastaa watakachoambulia zaidi ni kuliwa kwenye 5star hotel basi lakini kama ni mpunga kiwango ni 120,000 tu 😁
Hatari sana Mkuu, mbaya zaidi kwa miaka ya hivi karibuni Watoto wengi wamepunguza kuwahudumia Wazee wao.Wengi ndio utakuta wanajidai kulaani watoto
Ukifatilia kwa undani yeye kila pesa anapelekea totozi anajifanya kidume
KabisaNdio maana nikasema tuwe makini
Hao bila kufungua Wallet huwezi kuwakula Chifu.Hahaha......wao wanataka ngapi kwani? Ina TV ndani?