Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
-
- #81
ππππ inaumiza sana. Yaani mtu anaomba mchango kwa nguvuu tena bila aibu duhMnamchangia mtu akale mbususu.
Unatoa 50 000,unapewa vipilau vimepwayapwaya na kibawa na tubia tuwili baasi.
Hapo,safari za kanisani ukumbini li program lireefu.
Then mnapigiwa wimbo wa aurlus mabele mnaagwa.
Mbaya zaidi mwaka tu wanakuja kuomba ushauri.
Pumbavu sifanyi ujinga huo.
Hakuna mtu wa kukuua hata kidogo. Mbona kuna watu hawaendi Bar na hawauawi? Na njia nyingine ya kukwepa ujinga kama huu ni kutojiunga na makundi ya whatsup kiholela. Chungu sana sijui kundi la ''mlisoma pamoja'' na the likes.. Kuna kipindi nilijaribu kujiunga makundi matatu tu, wiki moja nikajiondoa. Msg zinaingia kila sekunde na vitu watu wanavyo-share ni vya kijinga jinga tu.Tuko Tanzania mkuu... Haya maneno ni makali mno... Tutauwawa
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.
Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.
Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka
Mkuu weka setting ambayo hairuhusu mtu kukuunga kwenye group mpaka akutumie notification uaccept ndo ujiunge.Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.
Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.
Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!
HAPANA.
pole sana, nenda settings za whatsapp zuia kuungwa magrup bila ridhaa yako!!hakika shughuli ni nyingi ila jikune unapofikia.Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa kwenye group jingine.
Yaani kila siku unaungwa kwenye magroup mpya za harusi, watu hata huwajui unaambiwa ni kaka yake Fulani, au ni ndugu wa Fulani then mkeka unawekwa uanze michango, sms usiku na mchana ni michango tu.
Hivi watu hawawezi oa bila kuchangiwa? Uoe wewe tukuchangie sisi? Au ndoa zinakuja kwa kushitukiza? Ka mshahara kenyewe 500K na ndugu wananitazama duh!
HAPANA.
Tatizo kuna mtu usimpochangia inakuwa ni nongwa jumla. Unakuta wewe wala ukuchangisha harusi yako. Yaani hilo wanaliingiza hata kwenye masuala mengine kama ya msiba na ugonjwa,wanakukomoa kama hukuchangia harusi uchwara zao.Uzuri n kwamba yanabaki kuwa maamuzi yako
Haya ni matokeo ya sherehe kufanywa biashara, MC alipwe, Ukumbi, Caterer, videographer, mziki, sijui nini nini..
Kuna tatizo gani kwa sherehe za nyumbani? Wanafamilia, nani atashindwa kulisha familia yake?
On the other hand kiuchumi, tumieni pesa ili izunguke π
Si kweli hata kidogo, kuna watu wala huna ukaribu nao hata kidogo, wengine mnafahamiana kawaida tu na hujawahi kuwachangisha. Yaani limekuwa ni janga kubwa sana sasa hivi, tena wengine ni wasomi na wana vipato vyao, wanashindwa kuplan sherehe ndogo wanayoimudu, inabaki kuwa kero kubwa.Familia / kamati yako ilichangisha? Kama ndio wanaoku add kwenye hayo magroup maana yake walichangisha.
Ndo shida ya watu hiyo, kipindi mtu akiwa ana jambo lake anakuhamasisha sana. Ukimchangia akimaliza shughuli yake ndo hao wa kwanza kulaumu kuhusu michango ya harusi wanajifanya sasa wanajari misiba wakati hata hiyo misiba yenyewe hawachangii.Hizi mambo nishaona ni ujinga tu kuchangiana ...kuna bestfrnd wangu ana jambo lake next WK...aliwachangia jamaa flan iv last year..150k Cha ajabu aliwataarifu kuwa ana jambo lake....moja kqmtumia 10k na mwngine hakujibu hatq msg....hapa nmeapa sitomchqngia mtu yyte tena...yeye anataka akuvune afu kwako qnajikausha
ππππππππDaaah! Huu ndiyo mchango wako kwenye thread hiii!!?
utakuwa mchawi si bureMimi nilikataa KUTOA Michango ya harusi ,
Natoa michango ya misiba au ugonjwa
ChaiSikuchangisha kwenye harusi yangu.
Wewe ni mpumbavu.Mwanaume unakosaje msimamo? Unashindwa kusema direct tu kuwa sina hela full stop.
Unamuogopa nani sasa?
Binafsi sijawahi changia harusi wala kushiriki harusi yoyote ile hata ya ndugu zangu sipendi sherehe sherehe kabisa huwa sipendi mirundikano ya watu.
Uzuri ni kwamba sina wazo la kuoa maishani mwangu.
Chukua na chapatiChai
DahNdo shida ya watu hiyo, kipindi mtu akiwa ana jambo lake anakuhamasisha sana. Ukimchangia akimaliza shughuli yake ndo hao wa kwanza kulaumu kuhusu michango ya harusi wanajifanya sasa wanajari misiba wakati hata hiyo misiba yenyewe hawachangii.
Hili suala ni simple kabisa, usikusanye michango kwa watu kama wewe hutaki kuchangia. Mtu akikufuata mchane wazi huwa sichangii na wewe ukiwa na shughuli pambana mwenyewe tu, ikibidi usiaalike hata watu maliza peke yako.