Usipuuze uwezo wa Medani wa Jeshi na watu wa Israel

Usipuuze uwezo wa Medani wa Jeshi na watu wa Israel

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Hakuna kitu kinatisha kwenye historia na maisha yote ya binadamu kama vita, ukiingia kwenye vita ya mtu mmoja mkatwangana mangumi lazima kuna mmoja au wote mtatoka mmeumia. Kushinda ndani ya uwanja wa medani katikati ya mapigo ya moto sio hadithi ni kitu kinatisha sana.

Katika kitu kinanivutia ni uwezo wa medani wa jeshi la israel, hawaogopi kabisa kutoa mapigo na kusonga mbele ukiwaangali body language yao ni kama wapo kwenye sherehe kabisa. Si ajabu waliweza kukabiliana na maadui zake kwa kipindi chote walichovamiwa au kuchokozwa.

Watu wanaobeza uwezo wa hawa jamaa inawezekana hawataki kusoma au uwezo wao wa akili ni mdogo kuweza kupembua mambo. Sina imani kama kuna mtu yuko tayari kwenda front kukabiliana na israel, HAMAS walilianzisha mwisho wa siku wakakimbilia hospitali badala ya kuzichapa.
 
Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
 
Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
Hakuna kitu kigumu kama urban welfare ukienda kizembe unaweza kupata hasara kubwa sana, rejea misafara ya russia wakati wanaingia ukraine walichokutana nacho mpaka walivyobadili mbinu. Usije kupuuza uwezo wa hawa jamaa hata kidogo unless uwe na hasira za udini au chiku tu dhidi ya hawa watu. Middle east yote hakuna anaetamani kuingia nae front utapewa mapigo mpaka ujute. Kingine vita inakua ngumu kama adui atatumia human shield kama covering fire unaweza usitimize malengo kwa wakati.
 
Hakuna kitu kigumu kama urban welfare ukienda kizembe unaweza kupata hasara kubwa sana, rejea misafara ya russia wakati wanaingia ukraine walichokutana nacho mpaka walivyobadili mbinu. Usije kupuuza uwezo wa hawa jamaa hata kidogo unless uwe na hasira za udini au chiku tu dhidi ya hawa watu. Middle east yote hakuna anaetamani kuingia nae front utapewa mapigo mpaka ujute. Kingine vita inakua ngumu kama adui atatumia human shield kama covering fire unaweza usitimize malengo kwa wakati.
Israel ina uwezo wa kawaida kama mataifa mengine mambo mengine mna ikuza tu.
 
Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
Hivi huko madrasa mna darasa special la kujifunza kutokuwa na akili na aibu?
 
Hakuna kitu kigumu kama urban welfare ukienda kizembe unaweza kupata hasara kubwa sana, rejea misafara ya russia wakati wanaingia ukraine walichokutana nacho mpaka walivyobadili mbinu. Usije kupuuza uwezo wa hawa jamaa hata kidogo unless uwe na hasira za udini au chiku tu dhidi ya hawa watu. Middle east yote hakuna anaetamani kuingia nae front utapewa mapigo mpaka ujute. Kingine vita inakua ngumu kama adui atatumia human shield kama covering fire unaweza usitimize malengo kwa wakati.
Kwani walikuwa wanajali kuhusu human shield? Si walikuwa wanashusha majengo yakiwa na raia. So hiyo haiwezi kuwa excuse. Mgambo wamewapa moto mwezi mzma.
 
Mwisho wake umekuwaje sasa baada ya kuwapa moto? Nani anatamba pale Gaza kwa sasa?
Ilikuwa ni obvious kuwa mshindi mwisho atakuwa nani. Mgambo tangu lini akalishinda jeshi lenye silaha zote na backup yote. Hilo halishangazi , jambo ambalo lingeshangaza ni mgambo kulishinda jeshi. Hili pia linaloshangaza ni jeshi kupambana na mgambo mwezi mzima halafu bado liendelee kusifiwa kuwa ni jeshi bora.
 
Kwani walikuwa wanajali kuhusu human shield? Si walikuwa wanashusha majengo yakiwa na raia. So hiyo haiwezi kuwa excuse. Mgambo wamewapa moto mwezi mzma.
Wewe jamaa uko emotional sana pengine una feel pity against HAMAS, huwezi kuwadharau HAMAS hata kidogo ni tactical group ukienda kichwakichwa unapigwa za uso, wametengeneza tunnel sio kwa bahata mbaya ni mbinu pia za medani. Achalia mbali idf kupiga majengo walipoingia gaza hawajadharau hata kidogo wameingia tactical group ila kujilinda na kujibu mapigo ya adui. Kuingia front na israel jipange sivyo wanaweza kukuautsmart ukajiona mjinga.
 
Israel ina uwezo wa kawaida kama mataifa mengine mambo mengine mna ikuza tu.
Uwezo wa medani haudanganyi ni kitu kinapimwa na uwezo wako nje na ndani ya uwanja wa mapigo. Leo russia anaonekana kuwa tishio sababu ya namna alivyompa mapigo hitler kwenye battle mbalimbali na kushinda. Israel sio overated vita anaijua, si ajabu mataifa ya kiarabu hayatamani kukutana nae front.
 
Hakuna kitu kigumu kama urban welfare ukienda kizembe unaweza kupata hasara kubwa sana, rejea misafara ya russia wakati wanaingia ukraine walichokutana nacho mpaka walivyobadili mbinu. Usije kupuuza uwezo wa hawa jamaa hata kidogo unless uwe na hasira za udini au chiku tu dhidi ya hawa watu. Middle east yote hakuna anaetamani kuingia nae front utapewa mapigo mpaka ujute. Kingine vita inakua ngumu kama adui atatumia human shield kama covering fire unaweza usitimize malengo kwa wakati.
Israel ni wachumba tu,hawana lolote!, kama front line wapo mpk wamarekani,nguvu zao ziko wapi sasa!?,
 
Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
Ni rahisi kupigana na jeshi lililoapa kulinda raia wake; yaani Jeshi ambalo lipo mbele na nyuma yake kuna raia.

Hamas ni waoga kuliko raia, wanajificha nyuma ya watoto na kinamama. Kuwaangamiza wapumbavu kama hawa ni lazima uangamize pia raia ambao wamefanywa ngao yao.

IDF inajitahidi kupunguza madhara kwa raia, lazima muda mrefu utumike.

Najua haya yote unayajua ila yale mafundisho ya Kishetani mnayopewa kwamba ukifa unakwenda ahera kutunukiwa mabikra 72 ndiyo inayokupa moyo wa kuwa mpumbavu!!

Mfundisho ya hovyo kabisa, eti uue watu kisha ukaruhusiwe kufanya umalaya Ahera. Hovyo kabisa
 
Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
Hii vita Israel amejitahidi sana ogopa kupigana na gaidi anaejichanganya na raia akiwatumia kama ngao huku ukiwaua raia utakutana na kelele nyingi unaua raia wasio na hatia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ilikuwa ni obvious kuwa mshindi mwisho atakuwa nani. Mgambo tangu lini akalishinda jeshi lenye silaha zote na backup yote. Hilo halishangazi , jambo ambalo lingeshangaza ni mgambo kulishinda jeshi. Hili pia linaloshangaza ni jeshi kupambana na mgambo mwezi mzima halafu bado liendelee kusifiwa kuwa ni jesho bora.
Umekata tamaa. Kwahiyo ile 7 Octoba walirusha makombora huku wakijua kwamba watauliwa wote?

Sasa ile Allah Akbar ilikuwa inatamkwa kwa sababu gani?
 
Hakuna kitu kinatisha kwenye historia na maisha yote ya binadamu kama vita, ukiingia kwenye vita ya mtu mmoja mkatwangana mangumi lazima kuna mmoja au wote mtatoka mmeumia. Kushinda ndani ya uwanja wa medani katikati ya mapigo ya moto sio hadithi ni kitu kinatisha sana.

Katika kitu kinanivutia ni uwezo wa medani wa jeshi la israel, hawaogopi kabisa kutoa mapigo na kusonga mbele ukiwaangali body language yao ni kama wapo kwenye sherehe kabisa. Si ajabu waliweza kukabiliana na maadui zake kwa kipindi chote walichovamiwa au kuchokozwa.

Watu wanaobeza uwezo wa hawa jamaa inawezekana hawataki kusoma au uwezo wao wa akili ni mdogo kuweza kupembua mambo. Sina imani kama kuna mtu yuko tayari kwenda front kukabiliana na israel, HAMAS walilianzisha mwisho wa siku wakakimbilia hospitali badala ya kuzichapa.
Wanapigania na nani!?..wao Wana MIDEGE na kila silaha,hao wanaopigana nao Wana nini!?..na bado wameishia kubomoa majumba na kuua wanawake na watoto
 
Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
Israel hawana lolote ila ni Masters wa Propaganda tu. Hata ile operation Entebbe walipigwa tag na USA. Ni weupe sana
 
Back
Top Bottom