Usipuuze uwezo wa Medani wa Jeshi na watu wa Israel

Usipuuze uwezo wa Medani wa Jeshi na watu wa Israel

Hoja yangu ipo clear, najadili uwezo wa medani wa hawa watu, the have got unbreakable spirit against the threats or war itself. Uwezo wao sio wa kujadili maana historia iko wazi ukiingia nao front shughuli unayo. Kuhusu iran amekuwa overated sana angalau sadam hussein alikua mwanaume wa vitendo. Siwezi kulinganisha HAMAS na IDF itakua utoto ila wazuyuni tuwape maua yao they are fearless men of the world.
Yaani sadam Hussein aliyekua ananunua siraha asilimia 100 kutoka marekani na nchi za ulaya Kama France, uingereza na ujerumani ndio wakumlinganisha na Irani anayetumia wanasayansi wake wa ndani kutengeneza siraha zake za ndani.

Hollywood movies zimeshawaharibu sana ngoja niishie hapa maana nishajua siasa za mashariki ya kati huzifahamu Vizuri.
 
Unapaswa kuwa rational kuweza kuona au kujadili juu ya uwezo wa medani wa jeshi flani masalani the bravest IDF. Propaganda ni silaha muhimu sana kama unataka kupata morale victory na kumchanganya adui akuogope au kukimbia kabisa nje ya uwanja wa mapigo. Ukiona jeshi lolote la nchi limeshinda vita ujue basi sector ya propaganda imework vizuri. Utayachukia tu lakini majamaa sio maoga, yanasonga mbele sio mchezo.
Yes kwa Propaganda Israel wapo njema sana.
 
Peleka upuuzi wako huko.
Sema tu wanapigana na wanyonge.

Kipindi Babylon empire (Iraq) inawateka na kuwanyanganya nchi yao wao walikuwa ni wamakonde kipindi kile ?

Kipindi roman empire inawateka na kuwanyang'anya ardhi yao, wao walikuwa ni wasambaa kipindi klle ?

Kipindi Otto Man Empire inawateka na kuwanyang'anya kanaani yao, wao walikuwa wasukuma kipindi kile ?

Kipindi Misri inawatumikisha kwa miaka 439 kama watumwa, wao walikuwa ni wajaluo kipindi kile ?

Kipindi HITLER anawaua karibu milion 6, wao walikuwa na kondooo hawakuwa hata na reaction ?

Israel ni ya kawaida sana, sema tu dini inawa potosha muwaogope kuwa ni special sana.

Israel bika back up ya Marekani na westerners inapigika vizuri mno
Kumbe Israel ile ni nchi yao ila walikuwa wananyang'anywa, sasa mbona Wapalestina wanadai ardhi hiyo ni yao, na Israel kazawadiwa hapa tu karibuni na mwingreza mwaka 1948? Na ndicho wanachokipigania?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Israel ile ni nchi yao ila walikuwa wananyang'anywa, sasa mbona Wapalestina wanadai ardhi hiyo ni yao, na Israel kazawadiwa hapa tu karibuni na mwingreza mwaka 1948? Na ndicho wanachokipigania?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni issue nyingine.

Wewe umeleta thread hapa ukisifia ukakamavu wa israel kwamba ina jeshi bora sana ambalo maybe haliwezi kupigwa duniani.

Na mimi nikakujibu kwa upande huo ulio uliza wewe, sasa nashangaa umeruka tena ukaja kwenye umiliki wa nchi.

Any way, Kwa hadithi za kibiblia Israel ina haki ya umiliki wa hiyo ardhi, lakini kisiasa za dunia Israel haina umiliki pale ile ni ardhi ya palestina waliyo ipora tarehe 14 May, 1948.

Lakini nikuulize wewe la ufahamu :

Mfano nichukulie kabila la WANGONI walioko Songea leo ambao asili yao walitokea Africa Kusini, na kwa sasa washa ishi tanzania kwa ma miaka.

Hivi hawa wangoni leo wakiamua wakarudi south Africa na kuwaambia wazulu hapa ilikuwa ni kwetu hivyo nyie mtuachie Ardhi yetu unadhani wazulu watakubali ?

Yaani Muyahudi ameondoka kwao ameishi kwingine kwa miaka karibu 2000 alafu anakuja kurudi kuwaambia waarabu kuwa hapa palikuwa ni kwetu, ni mwehu tu ndiye anaweza kukuelewa na ndiyo hao mnao shabikia uhalifu wa israel leo hii.
 
Hakuna kitu kinatisha kwenye historia na maisha yote ya binadamu kama vita, ukiingia kwenye vita ya mtu mmoja mkatwangana mangumi lazima kuna mmoja au wote mtatoka mmeumia. Kushinda ndani ya uwanja wa medani katikati ya mapigo ya moto sio hadithi ni kitu kinatisha sana.

Katika kitu kinanivutia ni uwezo wa medani wa jeshi la israel, hawaogopi kabisa kutoa mapigo na kusonga mbele ukiwaangali body language yao ni kama wapo kwenye sherehe kabisa. Si ajabu waliweza kukabiliana na maadui zake kwa kipindi chote walichovamiwa au kuchokozwa.

Watu wanaobeza uwezo wa hawa jamaa inawezekana hawataki kusoma au uwezo wao wa akili ni mdogo kuweza kupembua mambo. Sina imani kama kuna mtu yuko tayari kwenda front kukabiliana na israel, HAMAS walilianzisha mwisho wa siku wakakimbilia hospitali badala ya kuzichapa.
Mgambo tu wasiokuwa na tech yoyote ya vita waliowekew vizuizin ndo wachangiww na marekani na uingereza ww unaona ni sawa
 
Israel ina uwezo wa kawaida kama mataifa mengine mambo mengine mna ikuza tu.
Ukiitoa hiyo tech ya drone aliyoitumia kuvunja magorofa na hivyo hovyo wanakitu gani cha ziada hamasi wangekuwa na uwezo japo kwa asilimia 10 ya walio nao Israeli maisha si yangekuww maguma sana
 
Hakuna kitu kinatisha kwenye historia na maisha yote ya binadamu kama vita, ukiingia kwenye vita ya mtu mmoja mkatwangana mangumi lazima kuna mmoja au wote mtatoka mmeumia. Kushinda ndani ya uwanja wa medani katikati ya mapigo ya moto sio hadithi ni kitu kinatisha sana.

Katika kitu kinanivutia ni uwezo wa medani wa jeshi la israel, hawaogopi kabisa kutoa mapigo na kusonga mbele ukiwaangali body language yao ni kama wapo kwenye sherehe kabisa. Si ajabu waliweza kukabiliana na maadui zake kwa kipindi chote walichovamiwa au kuchokozwa.

Watu wanaobeza uwezo wa hawa jamaa inawezekana hawataki kusoma au uwezo wao wa akili ni mdogo kuweza kupembua mambo. Sina imani kama kuna mtu yuko tayari kwenda front kukabiliana na israel, HAMAS walilianzisha mwisho wa siku wakakimbilia hospitali badala ya kuzichapa.
Yaani wote wakawa wagonjwa vitandani hahahaaa
 
Ilikuwa ni obvious kuwa mshindi mwisho atakuwa nani. Mgambo tangu lini akalishinda jeshi lenye silaha zote na backup yote. Hilo halishangazi , jambo ambalo lingeshangaza ni mgambo kulishinda jeshi. Hili pia linaloshangaza ni jeshi kupambana na mgambo mwezi mzima halafu bado liendelee kusifiwa kuwa ni jeshi bora.
Na backup ya majeneral wa marekani na masaada wa 10b usd
 
Ukiitoa hiyo tech ya drone aliyoitumia kuvunja magorofa na hivyo hovyo wanakitu gani cha ziada hamasi wangekuwa na uwezo japo kwa asilimia 10 ya walio nao Israeli maisha si yangekuww maguma sana
Ulitaka watumie mawe! Hawana mawe na hizo silaha lazima wazitumie
 
Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
Acha ubwege wewe Hamas hayupo tena ni Panya tu.
Hao wako safarini Iran na Lebanon.
Kaa hapo uisome
 
Hamas hawana kifaru wala fighter jets wala anti missile defense system unazani kwa nn vita imechukua zaidi ya mwezi? Tafakali jombaa
Hiyo gaza si ni kama sehema yake maana arakuwa anaijua kigeographia. Je engekuwa anapigana na nchi asiyoifaham mikapaka yake , yaana ni kama sis Tanzania ipambane na wanamgambo kutoka rukwa
 
Unaweza vip kulinganisha kundi la hamasi lisilokuwa jeshi kamili na lenye siraha za kawaida na viroketi huku wamewekewa blocked. Tofauti na wayahudi feki wa kizungu wanaotumia teknolojia kubwa ya kijeshi huku wakipewa sapoti kwa Kodi za wamarekani.

Ilinganishe Israeli na Irani hapo utakua umetenda haki.
Ndio maana anarusha tu drone kwenda kubomoa kwa kuwa wanajua hata ikipita hapo juu ya bati hamna mwenye uwezo wa kuishusha
 
IDF walishafanya kila kitu, encirclement, cutt of supply ila kinachoonekana israel wakataka kuliangamiza kabisa hili kundi na facilities zake. Ukisema kwanini wetumia muda mrefu unataka wafanye miujiza maana operation ina changamoto zake hasa pale adui anapojichanganya na raia
Mbona walikuwa wwna wanarusha mabom hovyo hovyo mpaka wanawaua wfanyakazi wa UN
 
Una uwezo mdogo wa kufikiri kama walio kuzaa maana wange kuwa wanaona mbali wangetakiwa kukumwagia nje.
Kwa kuwa waliokuzaa wanauwezo mdogo wa kufikiri na uliwasikia wakisema bora wangekumwagia nje basi unamwambia kila mtu kwa kuwa waliokuzaa walikuambia hivyo
Ona uwezo wako mdogo wa kufiri na waliokuazaa
  • Mnatumia milion 5 kuwapelekea waarabu Macca watajirike ili umponde jiwe shetani. Unaweza kumponda jiwe shetani? Wenye uwezo mdogo ndiyo wanamponda jiwe shetani
  • Mnaamini huko akhera allah atawapa mabira 72 na mito ya pombe. Wanawake watepewa nini au aliyekuzaa naye atakuwa miongoni mwa mabikra 72?
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72; Pokea Bikra 72 kwa jina allah

- Mnaamini allah aliyesema jua linazama kwenye matope.
Hapo ulipo ni mtumwa wa maarabu ila kwakuwa una uwezo mdogo wa kifikiri hutambui hili. Kasome Zanzibar revolution inahusu nini
Akhera wanazungumza kiarabu kwahiyo weka bidii kujifunza kiarabu utashindwa kusoma Quran maana kule wanazungumza lugha moja ya kiarabu na utaswali kwa kiarabu maana allah anasikia lugha moja tu
 
Israel ina uwezo wa kawaida kama mataifa mengine mambo mengine mna ikuza tu.
Sio kweli kabisa, ingekuwa hivyo basi sasa hivi isingekuwepo hapo ilipo. Israel is another force and if you don't believe ask the Arab Countries.
 
Hamas hawana kifaru wala fighter jets wala anti missile defense system unazani kwa nn vita imechukua zaidi ya mwezi? Tafakali jombaa
Angejua hana hizo silaha asingeenda ile tarehe 07/10/2023 kwenda kumvamia mwenye hizo silaha.
 
Back
Top Bottom