Kwa mwenye akili, hamas peke yao hawawezi kuthubutu kuanzisha ugomvi na IDF. Semeni nchi za kiarabu ziliitumia hamas kulianzisha.Ilikuwa ni obvious kuwa mshindi mwisho atakuwa nani. Mgambo tangu lini akalishinda jeshi lenye silaha zote na backup yote. Hilo halishangazi , jambo ambalo lingeshangaza ni mgambo kulishinda jeshi. Hili pia linaloshangaza ni jeshi kupambana na mgambo mwezi mzima halafu bado liendelee kusifiwa kuwa ni jesho bora.
Sasa ilikuwaje Adolf Hitler akawaua namna ile!Uwezo wa medani haudanganyi ni kitu kinapimwa na uwezo wako nje na ndani ya uwanja wa mapigo. Leo russia anaonekana kuwa tishio sababu ya namna alivyompa mapigo hitler kwenye battle mbalimbali na kushinda. Israel sio overated vita anaijua, si ajabu mataifa ya kiarabu hayatamani kukutana nae front.
Hamas ni migambo tu, hata kifaru au ndege za kivita hawana, hata wenyewe walijua hii vita hawawezi kushinda.Combat war kati ya Marekani na Iraq ilikuwa ndani ya siku 21 tu wamarekani wakawa wamefika Kila sehemu mpaka Saddam international airport mpaka ikulu na Saddam akawa amekimbia kujificha. Kilichofata ni wanajeshi wa Iraq kuvua gwanda na kuvaa kanzu zenye suicide belt ( mabomu ya kujitoa mhanga), road side bomb( mabomu ya kutegwa barabarani,hapa ndio Marekani alipoteza wanajeshi wengi mara tano zaidi ya wale waliokufa kwenye combat war. Wanaohoji Israel kutumia mda mrefu kwenye vita na Hamas wanakosea kwa sababu Hamas hawana miundo mbinu ya wazi ya kijeshi wala Kambi za kijeshi angetaka kumalizia vita kwa siku moja tu( 24 hours) angeweza ila dunia nzima ingehamia Israel kupiga mayowe
Nchi gani mkuu, mbona hawakuwapa silaha za kivita, wala ndege wala vifaruKwa mwenye akili, hamas peke yao hawawezi kuthubutu kuanzisha ugomvi na IDF. Semeni nchi za kiarabu ziliitumia hamas kulianzisha.
Moto ulipowaka wameiuzia hamas kesi wakakaa pembeni.
Waarabu tambueni kuwa Israel ni level nyingine.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Unaweza vip kulinganisha kundi la hamasi lisilokuwa jeshi kamili na lenye siraha za kawaida na viroketi huku wamewekewa blocked. Tofauti na wayahudi feki wa kizungu wanaotumia teknolojia kubwa ya kijeshi huku wakipewa sapoti kwa Kodi za wamarekani.Hakuna kitu kinatisha kwenye historia na maisha yote ya binadamu kama vita, ukiingia kwenye vita ya mtu mmoja mkatwangana mangumi lazima kuna mmoja au wote mtatoka mmeumia. Kushinda ndani ya uwanja wa medani katikati ya mapigo ya moto sio hadithi ni kitu kinatisha sana.
Katika kitu kinanivutia ni uwezo wa medani wa jeshi la israel, hawaogopi kabisa kutoa mapigo na kusonga mbele ukiwaangali body language yao ni kama wapo kwenye sherehe kabisa. Si ajabu waliweza kukabiliana na maadui zake kwa kipindi chote walichovamiwa au kuchokozwa.
Watu wanaobeza uwezo wa hawa jamaa inawezekana hawataki kusoma au uwezo wao wa akili ni mdogo kuweza kupembua mambo. Sina imani kama kuna mtu yuko tayari kwenda front kukabiliana na israel, HAMAS walilianzisha mwisho wa siku wakakimbilia hospitali badala ya kuzichapa.
Ziliwatuma halafu zikawanyima silaha. Nchi za kiarabu wenyewe wanafiki wangekuwa wamoja mbona wangesumbua sana ndio maana hata juzi wameshindwa kufikia makubaliano. Hamas kalianzisha mwenyewe and mind you hamas si jeshi la palestina wala serikali ya palestina. serikali ya palestina iko hoii hata haina nguvuKwa mwenye akili, hamas peke yao hawawezi kuthubutu kuanzisha ugomvi na IDF. Semeni nchi za kiarabu ziliitumia hamas kulianzisha.
Moto ulipowaka wameiuzia hamas kesi wakakaa pembeni.
Waarabu tambueni kuwa Israel ni level nyingine.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Israel alikuwa anapigana na mgambo hata wao wana waaddress hivyo kuwa Hamas ni mgambo
Una hoja nzuri lakini umeharibu kuchanganya na hasira zako against a certain religious doctrine please usifanye hivyo tujadili uwezo wa kupeana mapigo kwenye uwanja wa kupimana uwezoNi rahisi kupigana na jeshi lililoapa kulinda raia wake; yaani Jeshi ambalo lipo mbele na nyuma yake kuna raia.
Hamas ni waoga kuliko raia, wanajificha nyuma ya watoto na kinamama. Kuwaangamiza wapumbavu kama hawa ni lazima uangamize pia raia ambao wamefanywa ngao yao.
IDF inajitahidi kupunguza madhara kwa raia, lazima muda mrefu utumike.
Najua haya yote unayajua ila yale mafundisho ya Kishetani mnayopewa kwamba ukifa unakwenda ahera kutunukiwa mabikra 72 ndiyo inayokupa moyo wa kuwa mpumbavu!!
Mfundisho ya hovyo kabisa, eti uue watu kisha ukaruhusiwe kufanya umalaya Ahera. Hovyo kabisa
Unapaswa kuwa rational kuweza kuona au kujadili juu ya uwezo wa medani wa jeshi flani masalani the bravest IDF. Propaganda ni silaha muhimu sana kama unataka kupata morale victory na kumchanganya adui akuogope au kukimbia kabisa nje ya uwanja wa mapigo. Ukiona jeshi lolote la nchi limeshinda vita ujue basi sector ya propaganda imework vizuri. Utayachukia tu lakini majamaa sio maoga, yanasonga mbele sio mchezo.Israel hawana lolote ila ni Masters wa Propaganda tu. Hata ile operation Entebbe walipigwa tag na USA. Ni weupe sana
IDF walishafanya kila kitu, encirclement, cutt of supply ila kinachoonekana israel wakataka kuliangamiza kabisa hili kundi na facilities zake. Ukisema kwanini wetumia muda mrefu unataka wafanye miujiza maana operation ina changamoto zake hasa pale adui anapojichanganya na raiaHamas hawana kifaru wala fighter jets wala anti missile defense system unazani kwa nn vita imechukua zaidi ya mwezi? Tafakali jombaa
Mimi niko upande wako unless hukunielewa. Nilikuwa najaribu kumuuliza/ kumuelewesha mtu mmoja hapo juu anaye hoji credibility ya IDFIDF walishafanya kila kitu, encirclement, cutt of supply ila kinachoonekana israel wakataka kuliangamiza kabisa hili kundi na facilities zake. Ukisema kwanini wetumia muda mrefu unataka wafanye miujiza maana operation ina changamoto zake hasa pale adui anapojichanganya na raia
Hao Hamas wamejificha kwenye mahandaki hawataki kutoka wapigane ana kwa ana.Mgambo tu wamepigana nao mwez mzima wakiwa na support na mavifaa na mandege na ma kila kitu.
Je, wangepigana na nchi kama Ukraine ambayo nayo inapewa support si wangetoka kamasi.
Kumbuka hao mgambo wanaopigana nao hawana hata ndege za kivita wala vifaru.
Hoja yangu ipo clear, najadili uwezo wa medani wa hawa watu, the have got unbreakable spirit against the threats or war itself. Uwezo wao sio wa kujadili maana historia iko wazi ukiingia nao front shughuli unayo. Kuhusu iran amekuwa overated sana angalau sadam hussein alikua mwanaume wa vitendo. Siwezi kulinganisha HAMAS na IDF itakua utoto ila wazuyuni tuwape maua yao they are fearless men of the world.Unaweza vip kulinganisha kundi la hamasi lisilokuwa jeshi kamili na lenye siraha za kawaida na viroketi huku wamewekewa blocked. Tofauti na wayahudi feki wa kizungu wanaotumia teknolojia kubwa ya kijeshi huku wakipewa sapoti kwa Kodi za wamarekani.
Ilinganishe Israeli na Irani hapo utakua umetenda haki.
Kingine hao Hamas wamejificha kwenye mashimo hawataki kutoka.IDF walishafanya kila kitu, encirclement, cutt of supply ila kinachoonekana israel wakataka kuliangamiza kabisa hili kundi na facilities zake. Ukisema kwanini wetumia muda mrefu unataka wafanye miujiza maana operation ina changamoto zake hasa pale adui anapojichanganya na raia
Inaitwa gorilla tactics unataka wapigane na f15 na vifaru wakati wao hawana. Hizo mbinu za kivietnamHao Hamas wamejificha kwenye mahandaki hawataki kutoka wapigane ana kwa ana.
Halafu unakuja kujitapa Hamas wanaweza kupigana vita. Watu wamefuatwa mpk kwao, angalia nyumba zao yamebaki magofu.
Wakisema Israel ipige mabomu sehemu yote bila kujali kuna raia mnaanza kuandamana na shekh wenu Ponda.
Hamas wanaogopa kufa na wapo kwenye mashimo km panya, wameshazoea kuvizia wananchi na kuua ila likija suala la vita wanakimbilia kwenye mashimo kujificha.
Nyinyi tz si mliishinda Uganda mwaka 1978?, Hebu jaribuni kuiparamia Uganda sasa hivi mkione cha mtema kuni.Uwezo wa medani haudanganyi ni kitu kinapimwa na uwezo wako nje na ndani ya uwanja wa mapigo. Leo russia anaonekana kuwa tishio sababu ya namna alivyompa mapigo hitler kwenye battle mbalimbali na kushinda. Israel sio overated vita anaijua, si ajabu mataifa ya kiarabu hayatamani kukutana nae front.
Unawezaje kumkamata panya buku aliyejificha shimoni kwa muda mfupi?Hamas hawana kifaru wala fighter jets wala anti missile defense system unazani kwa nn vita imechukua zaidi ya mwezi? Tafakali jombaa
Maneno yako uliyo yaandika yamaonesha kuwa umejaa mavi kichwani badala ya ubongo, hapa hakukuwa na haja ya kuanza kukashifu dini ya watu kwa sababu mtoa mada hakuna sehemu alipo taja dini hapa.Ni rahisi kupigana na jeshi lililoapa kulinda raia wake; yaani Jeshi ambalo lipo mbele na nyuma yake kuna raia.
Hamas ni waoga kuliko raia, wanajificha nyuma ya watoto na kinamama. Kuwaangamiza wapumbavu kama hawa ni lazima uangamize pia raia ambao wamefanywa ngao yao.
IDF inajitahidi kupunguza madhara kwa raia, lazima muda mrefu utumike.
Najua haya yote unayajua ila yale mafundisho ya Kishetani mnayopewa kwamba ukifa unakwenda ahera kutunukiwa mabikra 72 ndiyo inayokupa moyo wa kuwa mpumbavu!!
Mfundisho ya hovyo kabisa, eti uue watu kisha ukaruhusiwe kufanya umalaya Ahera. Hovyo kabisa