Usipuuze uwezo wa Medani wa Jeshi na watu wa Israel

Kwani walikuwa wanajali kuhusu human shield? Si walikuwa wanashusha majengo yakiwa na raia. So hiyo haiwezi kuwa excuse. Mgambo wamewapa moto mwezi mzma.
Hivi we jamaa mbona mbona unafanya dini ya Allah idharaulike hivi na hata kama mtu alikuwa na mpango wa kujiunga nayo anahairisha kabisa kutokana na uwezo wenu wa akili kuwa mdogo.

Mtu anakuambia Simba ni hatari kuliko swala halafu unambishia?


Shame on you
 
Inaitwa gorilla tactics unataka wapigane na f15 na vifaru wakati wao hawana. Hizo mbinu za kivietnam
Wala siyo Gorilla ni ujinga kwasababu
1. Hamas wangekuwa wanaume kweli wangetangaza vita na Israel hapo wananchi wa pande mbili wote wangeondoka sasa hapo ingebaki vita ya wanaume
2. Huwezi kusema una akili wakati umewaruhusu Israel wameingia mpk kwenye mji wako ukaharibiwa. Gaza ni magofu hapo ni kuomba misaasa tena ili wapewe ndiyo wajenge. Kibaya zaidi wakiendelea na huu ujinga waarabu wenzao watachoka kuwasaidia
3. Hamas wangekuwa kweli wana akili wangekaa pale mpakani kuwazuia waisrael wasiingie Gaza
4. Unajua mpaka sasa wapalestina wangapi wamekufa? Hiyo gorilla tactics imesaidia nini kuwaokoa raia wapalestina wasife? Wao ndiyo wanajilinda wasiuawe ila siyo wananchi
5. Hiyo gorilla tactics imesaidia ni kuzuia hasara iliyopatika Gaza? Mji umekuwa magofu
 
Ukitaka kujua UWEZO WAO angalia hizi Documentaries 2 jinsi walivyopiga Waarabu 6 mwaka 1967 na walivyoipiga Misri 1973 hadi ikafanya Raisi wa Misri Al Saadat Akauliwa
 
Wamepigana na mgambo au hawakupigana na mgambo mwezi mzma?
Nlichokiandika hapa kina uhusiano gani na dini?
Mimi nimesema Israel alikuwa napigana na mgambo hata wao Israel wanawaita hamas ni mgambo sasa nashangaa muisrael wa tanzania unakasirika mimi kusema hivyo
 
Kabla ya kuingia gaza Israel walikuwa wanajua hamasi wa mtandao wa mahandaki. Kwanini hawakuwqfuata huko huko chini wakawapiga kama kweli wanauwezo huo unao wasifia.

Wamekaa kupiga mabomu na kuuwa watu wasio kuwa na hatia.
Na wewe jiulize kwanini Hamas walipovamia Israel hawakubaki huko huko wawatafute wanajeshi wote wa Israel wawamalize na kuchukua ardhi ya Israel kuwa yao kama ambavyo wanatamani siku zote? Badala yake wakakimbia kujificha kwenye mashimo, sasa hiyo ardhi wataichukua lini kwa style hiyo ya upiganaji.?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo wewe unaposikia mgambo wa Hamas unafikiri ni sawa na mgambo wa Mbagala?

Hilo ni jina tu ambalo halihusiani na uwezo wa chombo husika
 
Israel ni kubwa jinga unapigana na mtoto afu unajisifu akikutana na Egypt lazima anye
Watu wano kwenye mashimo hawataki kutoka na wametega mabomu wanasubili adui aingie ndani wajilipue wakajilie mabkira kwa midi. NANI ANATAKA HUO UJINGA. Waambie watoke mapangoni
 
Ni majinga...yanawaza mabkira 72 tu
 
Kwa hiyo wewe unaposikia mgambo wa Hamas unafikiri ni sawa na mgambo wa Mbagala?

Hilo ni jina tu ambalo halihusiani na uwezo wa chombo husika
Kwa uwezo wa Israel support aliyo nayo, mavifaru, mandege ya f15 tena modified maana anapewa hizo ndege na anazimodify zaidi, na uwezo tunaoaminishwa anao, asingesumbuliwa na.mgambo ambao hawana vifaru wala hawarushi ndege zaidi ya rockets mwezi mzima halafu asifiwe kuwa ana jeshi bora mno.
Huwezi kumsifia mwakinyo ni bondia bora kwa kushinda pambano alilopigana na mtu ambaye sina mazoezi wala experience yoyote halafu tukaenda round nane ndipo akanishinda.
Israel kapigana na mgambo wa Hamas... Pigia mstari hilo neno mgambo wa hamas
 
Baada ya kutojiunga nayo imepungukiwa na nn?
Kwann urazimishe kila mtu afuate mtazamo wako?
Kama ni uwezo wa mapambano wote tunaona kwa macho yetu.

Hakuna jeshi bora kwenye medani ya mapambano ambalo linaweza kufanya mambo ya hovyo kama yanayo fanywa na Israel sasa hivi.
 
Una andika mambo mengi bila ya kujua unajianika ni jinsi gani ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri.
 
Kwa hiyo hamtaki wafuasi kwenye dini yenu ee. Kweli nyie mmefikia stage mbaya ya kukata tamaa na dini yenu ya Takbirrr
 
Wame-advance sana kivita sio kama hili jeshi la kuonea raia na kusaka nguo zinazofanana na zao
 
Una andika mambo mengi bila ya kujua unajianika ni jinsi gani ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri.
Nina uwezo mdogo wa kufikiri kama Shekh Ponda, waislamu wote wa free palestina na Hamas.
 
Peleka upuuzi wako huko.
Sema tu wanapigana na wanyonge.

Kipindi Babylon empire (Iraq) inawateka na kuwanyanganya nchi yao wao walikuwa ni wamakonde kipindi kile ?

Kipindi roman empire inawateka na kuwanyang'anya ardhi yao, wao walikuwa ni wasambaa kipindi klle ?

Kipindi Otto Man Empire inawateka na kuwanyang'anya kanaani yao, wao walikuwa wasukuma kipindi kile ?

Kipindi Misri inawatumikisha kwa miaka 439 kama watumwa, wao walikuwa ni wajaluo kipindi kile ?

Kipindi HITLER anawaua karibu milion 6, wao walikuwa na kondooo hawakuwa hata na reaction ?

Israel ni ya kawaida sana, sema tu dini inawa potosha muwaogope kuwa ni special sana.

Israel bika back up ya Marekani na westerners inapigika vizuri mno
 
Anaye underrate IDF akapimwe mkojo. Kama jeshi hili lingekuwa mdebwedo hata kama lina back up za USA nchi za kiaarabu wakekuwa wamelilamba kinyeo, lkn sasa hawa jamaa hawafai na hawaogopi kufa hiyo Never ever.
Kile watu hatuji ni vita ya mtaani kukiwa na majengo na miundo mbinu mingine unaweza ukawa na silaga nzito na ukasanda hata ndege pamoja na kupiga bado inabidi ushuke chini . Infantrier ya Israeli iko biyee
 
Nina uwezo mdogo wa kufikiri kama Shekh Ponda, waislamu wote wa free palestina na Hamas.
Una uwezo mdogo wa kufikiri kama walio kuzaa maana wange kuwa wanaona mbali wangetakiwa kukumwagia nje.
 
kama magaidi ya bokoharam yanavyosumbua nchi 5 za afrika magharibi
 
kama magaidi ya bokoharam yanavyosumbua nchi 5 za afrika magharibi
Kusumbua ni kusumbua tu haijalishi anayesumbua ni panya au nyoka.
Wanamgambo wa hamas wamelisumbua jeshi lenye sifa kede kede mwez mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…