Usitafute utajiri, utajiri ni matokeo. Tafuta kibali cha Mungu

Umeongea,watu huwa tunaombea matokeo badala ya kuombea mifumo inayoleta matokeo
 

Banish Poverty

Ingredients:

A small bowl

Salt

Sugar

Rice

An open safety pin

Fill the bowl with equal amounts of sugar, salt and rice. Put the open safety pin in the middle of the bowl. As you do so use your own words to ask the elements or the deities you believe in to ensure that no matter how long you live you will always have food in your stomach, money in your

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeingiza upumbavu wako kwenye mada nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa utaonaje hiko kibali cha Mungu bila kukomaa kutafuta mafanikio na utajiri?
 
Un

Una watoto? Kama unao hua hawakuombi mahitaji yao?
Nikiyajua mahitaji yao siwezi kusubiri waombe. Yale nisiyoyajua nitasubiri waombe.

Natumai Mungu yuko hivyo pia kama Mimi, au?
 
Ukioa mwanamke mwenye kibali hata kama hauna kazi unapata kazi.
Au mambo yako kufunguka.
Thus wenye elimu hii awaoi hovyo au kudate hovyo
 
Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa...

Mungu anataka umtafute yeye kwanza alafu ukishamjua...

Mengine atakupatia...
Amejificha wapi? Anamuogopa nani?
 
Mtoto wako asipoomba utampa?,kuomba ni kuonesha unyenyekevu
Baba mwenye watoto na familia, Je hajui mahitaji ya watoto wake hadi aombwe?

Kwamba chakula kiki isha ndani, Mpaka mtoto amwombe chakula?

Wewe kama Baba hujui wajibu wako wa kutimiza mahitaji kwa mwanao?

Je Mungu hajui mahitaji ya wanadamu mpaka akumbushwe na aombwe?

Mungu muumbaji wa wanadamu kama mnavyo dai, Anashindwaje kujua mahitaji ya binadamu mpaka aombwe?
 
Kwani unayajua mahitaji yote ya wanao hata wasiyokuomba
 
Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa...

Mungu anataka umtafute yeye kwanza alafu ukishamjua...

Mengine atakupatia...
Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu, Kama ufalme wa mbinguni ndio una paswa kutafutwa?

If God wanted us in Heaven, Why he created us on Earth?

Kama Mungu alitaka tuishi mbinguni, kwa nini alituumba duniani?

You cannot wish for a house of Gold in Heaven while you have never touched Gold right here on Earth.

If you fail to live on Earth, Heaven is an illusion.
 
Sio lazima upewe kwa faida yako wakati mwingine pia Mungu ufanya kazi kwa utaratibu wake umpa mtu kwa wakati.Pia alazimishwi na mwanadamu.
Maisha ya Dunia si zaidi ya kula na kunywa
 
Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa...

Mungu anataka umtafute yeye kwanza alafu ukishamjua...

Mengine atakupatia...
Na ukiisha tafuta sana ufalme wake, na neno lake likiisabpanda mbegu moyoni automatic unaanza kuona yanini kusumbukia mali? Unaanza kuona fedha na dhahabu ni vyake lakini yote ya duniani ni ubatili mtupu kama alivyosema tajiri Seleman. Kisha unaanza kuona yanini , unajisemea ntaweka hazina mbinguni tu ambako hamna wezi wala kutu sio duniani. hahaha Mungu Fundi aiseeee
 
Umezaliwa huna hata nguo
Unahangaika na maisha miaka yote uliyo hai, unapata ulichofanikiwa halafu unaondoka mtupu tena kama ulivyokuja

Maisha Raha Sana
 
Kwani unayajua mahitaji yote ya wanao hata wasiyokuomba
Kwa vile mimi ni mwanadamu sifahamu mahitaji yote, Mpaka mtoto ani ambie mahitaji yake.

Sasa tuje kwa Mungu anaye daiwa kuwa ni muweza wa yote na mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele,

Anashindwaje kufahamu mahitaji ya viumbe wake mwenyewe?

Je Mungu hajui mahitaji yako unayo yahitaji mpaka umuombe na umkumbushe?

Je Mungu hajui wajibu wake wa kukutimizia mahitaji yako mpaka umuombe?

Kwamba Mungu aliumba viumbe bila kujua mahitaji yao mpaka aje akumbushwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…