Usitafute utajiri, utajiri ni matokeo. Tafuta kibali cha Mungu

Usitafute utajiri, utajiri ni matokeo. Tafuta kibali cha Mungu

Mleta maada anasema kweli nyie mnaopinga na kuhoji sijui Mungu hayupo sijui kwann hadi aombwe..kaaa mkijua kibali ni halisi..

BInafsi nje ya biashara ya mikopo wife nimemwajiri kwenye duka la nguo za kike za ndani kama msimamiz mkuu...
Awali tulikua na mauzo madogo sana hadi nilipojua hyo Siri sio bidiii inayofanikisha jambo but bidii plus kibali..kibali kinafanya mamb kuwa simple sana na ni ngumu kumweleza mtu akaelewa coz unaweza fikiri ni uchaw flani..

In short mauzo uko yaliboost na yapo high sana wapinzan wanahangaika kujua wife anatumia uganga Gani...

Mnaobisha endeleeni na ubish wenu na kutegemea nguvu na akili zenu but am warning you guys msije ingia kwenye lain zangu ktk biashara mtafunga zenu asubuh tuuu...

Huwezi shindana na Mtu mwenye kibali never!!!

Mtu mwenye kibali ni sawa na Mtu anayepandisha ghorofan Kwa kutumia lift while wewe huna kibali unatumia ngazi..lazma ifike umechoka na umechelewa
 
Sio lazima upewe kwa faida yako wakati mwingine pia Mungu ufanya kazi kwa utaratibu wake umpa mtu kwa wakati.Pia alazimishwi na mwanadamu.
Maisha ya Dunia si zaidi ya kula na kunywa
Kama maisha ya Dunia ni zaidi ya kula na kunywa, Hebu acha kula na kunywa tuone kama utaishi?

Mungu aliumba Binadamu pasipo kuwapa mahitaji yao yote ili tuje tumkumbushe kwa kumuomba, kisha yeye ndio aamue anatoa ama hatoi?

Je yeye hajui mahitaji yako, Mpaka umkumbushe?

Basi Mungu huyo ana upendeleo sana.

Na si mwema wala mwenye upendo.
 
Mleta maada anasema kweli nyie mnaopinga na kuhoji sijui Mungu hayupo sijui kwann hadi aombwe..kaaa mkijua kibali ni halisi..

BInafsi nje ya biashara ya mikopo wife nimemwajiri kwenye duka la nguo za kike za ndani kama msimamiz mkuu...
Awali tulikua na mauzo madogo sana hadi nilipojua hyo Siri sio bidiii inayofanikisha jambo but bidii plus kibali..kibali kinafanya mamb kuwa simple sana na ni ngumu kumweleza mtu akaelewa coz unaweza fikiri ni uchaw flani..

In short mauzo uko yaliboost na yapo high sana wapinzan wanahangaika kujua wife anatumia uganga Gani...

Mnaobisha endeleeni na ubish wenu na kutegemea nguvu na akili zenu but am warning you guys msije ingia kwenye lain zangu ktk biashara mtafunga zenu asubuh tuuu...

Huwezi shindana na Mtu mwenye kibali never!!!

Mtu mwenye kibali ni sawa na Mtu anayepandisha ghorofan Kwa kutumia lift while wewe huna kibali unatumia ngazi..lazma ifike umechoka na umechelewa
Kibali ni nini?

Elezea na fafanua kwa upana?

Sio kuongea dhana za kufikirika, Fictions na illusions.
 
Na ukiisha tafuta sana ufalme wake, na neno lake likiisabpanda mbegu moyoni automatic unaanza kuona yanini kusumbukia mali? Unaanza kuona fedha na dhahabu ni vyake lakini yote ya duniani ni ubatili mtupu kama alivyosema tajiri Seleman. Kisha unaanza kuona yanini , unajisemea ntaweka hazina mbinguni tu ambako hamna wezi wala kutu sio duniani. hahaha Mungu Fundi aiseeee
Kama Hazina zetu zipo mbinguni Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?

Kama Mungu alitaka tuishi mbinguni kwenye hazina za milele, Kwa nini ali umba Dunia?

Kwa nini alituumba duniani na si mbinguni kwenye hazina za milele?

Fafanua na Elezea kinaga ubaga.
 
Huyo Mungu kwanini mpaka aombwe?
Ni mdhalikishaji anapenda umwinyi wa kunyenyekewa hata kwenye jambo ambalo linaonekana ni jukumu lake.

Kama yeye anasema chakula, pesa havina umuhimu kwake. Sasa kwanini kuvitoa free kwa watu ambao wana uhitaji amekuwa mgumu?

Oh wait.... Kuna kitu nimekumbuka.

Kwenye kitabu cha Revelation 21:21
imeelezwa kuwa Mbingu yake ina mtaa ambao ni dhababu tupu.

So kumbe bado dhababu ni still valuable kwa Mungu. Tunapolalamika kwanini hatupi rizki tukumbuke kuwa naye ana kazi nazo hizo dhahabu sasa akikupa wewe ye atabaki na nini.

Tuwe tunaangalia Sometimes
 
Banish Poverty

Ingredients:

A small bowl

Salt

Sugar

Rice

An open safety pin

Fill the bowl with equal amounts of sugar, salt and rice. Put the open safety pin in the middle of the bowl. As you do so use your own words to ask the elements or the deities you believe in to ensure that no matter how long you live you will always have food in your stomach, money in yourView attachment 2742218

Sent using Jamii Forums mobile ap

Mlozi you seem to know the hidden isssue in this Crazy world
 
Kama maisha ya Dunia ni zaidi ya kula na kunywa, Hebu acha kula na kunywa tuone kama utaishi?

Mungu aliumba Binadamu pasipo kuwapa mahitaji yao yote ili tuje tumkumbushe kwa kumuomba, kisha yeye ndio aamue anatoa ama hatoi?

Je yeye hajui mahitaji yako, Mpaka umkumbushe?

Basi Mungu huyo ana upendeleo sana.

Na si mwema wala mwenye upendo.
Utapewa vipi bila kuomba Mungu ni wa kanuni
 
Kama maisha ya Dunia ni zaidi ya kula na kunywa, Hebu acha kula na kunywa tuone kama utaishi?

Mungu aliumba Binadamu pasipo kuwapa mahitaji yao yote ili tuje tumkumbushe kwa kumuomba, kisha yeye ndio aamue anatoa ama hatoi?

Je yeye hajui mahitaji yako, Mpaka umkumbushe?

Basi Mungu huyo ana upendeleo sana.

Na si mwema wala mwenye upendo.
Utapewa vipi bila kuomba
 
Kibali ni nini?

Elezea na fafanua kwa upana?

Sio kuongea dhana za kufikirika, Fictions na illusions.
Kibali ni neno linalotumiwa na wakristo..Kwa waislam wanaita nyota!! waganga kama kina mshana Wana jina wanalojua wao..

Kiufupi ni nguvu flani ya kiroho ambayo inakurahisishia jambo lolote unalotaka kufanya au unalofanya..

Mfano..hyo nguvu inauwezo wa kukufanya Kila unalosema watu wakusikilize na kukuamini,,au unapoenda kwenye interview ya watu elfu Moja anatakiwa mmoja utaonekana ww ndio sahihi Zaid ya wengine hata kama wamekuzid vigezo...Kwa wafanyabiasha tunaitumia ili wateja waje kwetu tuuu..unakuta mpo ishirin wote mnauza bidhaa Moja na bei Moja, customer care inafanana but Kwa siku mauzo Yako ww ni laki nne au Tano always wakati wenzako daily wanacheza na elfu themanin...wateja wanajikuta wanakuja kwako sijui ni nguvu gan uko inapelekea waje kwako tuu but kwa upande wako ni hicho kibali....

Namna ya kupata kibali ndio issues nyingine wakristo Wana namna yao, waislam Wana namna yao,wabudha Wana namna yao.
Kibali ni nini?

Elezea na fafanua kwa upana?

Sio kuongea dhana za kufikirika, Fictions na illusions.
 
Kwa vile mimi ni mwanadamu sifahamu mahitaji yote, Mpaka mtoto ani ambie mahitaji yake.

Sasa tuje kwa Mungu anaye daiwa kuwa ni muweza wa yote na mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele,

Anashindwaje kufahamu mahitaji ya viumbe wake mwenyewe?

Je Mungu hajui mahitaji yako unayo yahitaji mpaka umuombe na umkumbushe?

Je Mungu hajui wajibu wake wa kukutimizia mahitaji yako mpaka umuombe?

Kwamba Mungu aliumba viumbe bila kujua mahitaji yao mpaka aje akumbushwe?
Umpa mtu kwa wakati wake
 
Utapewa vipi bila kuomba Mungu ni wa kanuni
Watoto wachanga wanao zaliwa na matatizo ya ulemavu, unjiti, vichwa vikubwa, uchizi na kasoro nyingine nyingi za kimwili.

Je watoto hao ni mpaka wawe wakubwa na waombe Mungu awaponye na matatizo hayo?

Je Mungu huyu, Hajui kwamba watoto hawa hawana uwezo wa kumuomba kwa vile hawana ufahamu wowote ule wa kiakili na hawawezi kuongea?

Mungu huyo anakua hafahamu kwamba watoto hawa wanahitaji msaada wake awaponye angali wawapo tumboni mwa mama zao?

Kama kanuni ni kuomba, Kwa nini watu wanapo mwomba Mungu awaponye magonjwa kama kansa, Hawaponi?

Kwa nini watu wanapo omba Mungu Awa epushe na majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi, vimbunga Huishia kufa pasipo kujibiwa chochote?

Kwenye Ajali mbalimbali licha ya kwamba Abiria Husali na kuomba sana Mungu awaepushe na ajali hizo wawapo safarini, Huishia kufa na kupata majeraha?
 
Umpa mtu kwa wakati wake
Mtoto mchanga anaye zaliwa na matatizo ya ulemavu kama unjiti, vichwa vikubwa, uchizi na kasoro nyingine nyingi za kimwili.

Je Mungu anasubiri mtoto huyu, Akue kisha aje aanze kumuomba ndio amponye?

Je wakati ambapo mtoto huyu yupo tumboni, Mungu alikuwa hajui kwamba anapaswa kumponya?
 
Kibali ni neno linalotumiwa na wakristo..Kwa waislam wanaita nyota!! waganga kama kina mshana Wana jina wanalojua wao..

Kiufupi ni nguvu flani ya kiroho ambayo inakurahisishia jambo lolote unalotaka kufanya au unalofanya..

Mfano..hyo nguvu inauwezo wa kukufanya Kila unalosema watu wakusikilize na kukuamini,,au unapoenda kwenye interview ya watu elfu Moja anatakiwa mmoja utaonekana ww ndio sahihi Zaid ya wengine hata kama wamekuzid vigezo...Kwa wafanyabiasha tunaitumia ili wateja waje kwetu tuuu..unakuta mpo ishirin wote mnauza bidhaa Moja na bei Moja, customer care inafanana but Kwa siku mauzo Yako ww ni laki nne au Tano always wakati wenzako daily wanacheza na elfu themanin...wateja wanajikuta wanakuja kwako sijui ni nguvu gan uko inapelekea waje kwako tuu but kwa upande wako ni hicho kibali....

Namna ya kupata kibali ndio issues nyingine wakristo Wana namna yao, waislam Wana namna yao,wabudha Wana namna yao.
Kwenye maisha kuna Bahati (Luck) ambapo binadamu yeyote anaweza kuipata pasipo kutarajia.

Na bahati hii, Haina uhusiano wowote na nguvu za kiroho kwa sababu huweza kumtokea mtu yeyote.

Wateja kuja sana kwenye biashara yako si kwamba eti una kibali na si kwamba wewe pekee ndio una wateja wengi hapo mtaani kwako au kwenye biashara yako.

Wateja kuwepo kwa wingi kwa mfanyabiashara fulani, inategemea na vitu vingi sana kama kauli nzuri kwa wateja, ubora wa bidhaa zako, namna unavyo toa huduma, muda wa biashara yako ulipo ianza na uzoefu wako wa kujuana na wateja n.k

Hapa hakuna kibali wala nguvu yeyote ile.

Kama unabisha, Jaribu kwenda kinyume na kanuni hizo uwe na kauli mbaya kwa wateja, utoe huduma mbovu, uza bidhaa zisizo na ubora tuone kama hicho Kibali chako kitafanya kazi.

Point yangu ni kwamba, HAKUNA uhusiano wa kibali na mafanikio ya mtu kwenye nyanja za kimaisha.

Kibali ni dhana ya kufikirika. Haipo.
 
Hapo huwa sielewi,

Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote halafu tukitaka kitu mpaka tumuombe tena?
Sawa na baba ana uwezo lakni anashindwa kuwatimizia watoto wake mahitaji yao mpaka aombwe
 
Mtoto mchanga anaye zaliwa na matatizo ya ulemavu kama unjiti, vichwa vikubwa, uchizi na kasoro nyingine nyingi za kimwili.

Je Mungu anasubiri mtoto huyu, Akue kisha aje aanze kumuomba ndio amponye?

Je wakati ambapo mtoto huyu yupo tumboni, Mungu alikuwa hajui kwamba anapaswa kumponya?
Walemavu wapo ili utukufu wa Mungu ujirihidhirishe.
 
Back
Top Bottom