Usitafute utajiri, utajiri ni matokeo. Tafuta kibali cha Mungu

Usitafute utajiri, utajiri ni matokeo. Tafuta kibali cha Mungu

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kitu muhimu ni kuomba Mungu akupe kibali au upendeleo.

Mengine yote ni matokeo ya kibali ulichopewa na Mungu.

Ukipewa kibali na cha uzima, hakuna mfumo au mtu wa kukunyang'anya haki ya kuishi.

Ukipewa kibali cha utajiri, unaweza kuwa mkulimq mkubwa kwenye ardhi isiyo na rutuba kama Isaka na Ibrahimu.

Ukipewa kibali unaweza kupita katikati ya maadui na wasikufanye chochote kama Yakobo.

Ukipewa kibali unaweza kuwa houseboy mwenye influence kuliko baba Mwenye nyumba. Diwani mwenye ushawishi kuliko Rais kama Yusufu.

Katika maombi yako usisahau kuomba kibali kutoka kwa Mungu.
 
Au usikute yeye huko tunapokua tunamsema anasema

BADO HAMJASEMA...
NA MTASEMA..
YANI MPAKA MSEMEEEE

Because-of-his-mercy-500x328.jpg
 
Kitu muhimu ni kuomba Mungu akupe kibali au upendeleo.

Mengine yote ni matokeo ya kibali ulichopewa na Mungu.

Ukipewa kibali na cha uzima, hakuna mfumo au mtu wa kukunyang'anya haki ya kuishi.

Ukipewa kibali cha utajiri, unaweza kuwa mkulimq mkubwa kwenye ardhi isiyo na rutuba kama Isaka na Ibrahimu.

Ukipewa kibali unaweza kupita katikati ya maadui na wasikufanye chochote kama Yakobo.

Ukipewa kibali unaweza kuwa houseboy mwenye influence kuliko baba Mwenye nyumba. Diwani mwenye ushawishi kuliko Rais kama Yusufu.


Katika maombi yako usisahau kuomba kibali kutoka kwa Mungu.

It make sense mkuu,

Kibali ,Mungu anakupambania upate nafasi kwnye mioyo ya watu

Kubali kinakufanya usiwe mtu wa kupuuzwa

Kibali kinafungua milango usijue nn chakufanya nayo

Kibali kinakupunguzia maisha ya majasho na kustruggle



TUOMBE KIBALI CHA MUNGU,kitufae katika kufanya maisha !
 
Un

Una watoto? Kama unao hua hawakuombi mahitaji yao?
Je Mungu hajui mahitaji yako?

Wewe kama Baba, Huwa si lazima unajua mtoto wako na familia yako inahitaji chakula, malazi na makazi?

Kwani ni mpaka mwanao aku kumbushe na kukwambia " Baba tunahitaji kula" ndio ununue chakula?

Ninyi huwa mnasema kwamba, Mungu ni mwenye kujua yote ,na Mungu ni muweza wa yote.

Sasa naku uliza hivi [emoji116]

Mungu mwenye kujua yote, Je hajui mahitaji yako unayo yahitaji mpaka umuombe wewe?
 
Je Mungu hajui mahitaji yako?

Wewe kama Baba, Huwa si lazima unajua mtoto wako na familia yako inahitaji chakula, malazi na makazi?

Kwani ni mpaka mwanao aku kumbushe na kukwambia " Baba tunahitaji kula" ndio ununue chakula?

Ninyi huwa mnasema kwamba, Mungu ni mwenye kujua yote ,na Mungu ni muweza wa yote.

Sasa naku uliza hivi [emoji116]

Mungu mwenye kujua yote, Je hajui mahitaji yako unayo yahitaji mpaka umuombe wewe?
MUNGU anakupenda
 
It make sense mkuu,

Kibali ,Mungu anakupambania upate nafasi kwnye mioyo ya watu

Kubali kinakufanya usiwe mtu wa kupuuzwa

Kibali kinafungua milango usijue nn chakufanya nayo

Kibali kinakupunguzia maisha ya majasho na kustruggle



TUOMBE KIBALI CHA MUNGU,kitufae katika kufanya maisha !
Mungu Alishindwaje kuumba binadamu walio na vibali?

Je Mungu huyo hakujua kwamba unahitaji uwe na kibali?

Kwa nini mpaka aombwe?

Yeye Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo, Alishindwaje kuumba binadamu wote wawe na vibali?

Huyo Mungu yupo kweli?
 
MUNGU anakupenda
Mungu mwenye upendo, Na angekuwa Anatupenda.

Je angeruhusu uovu, dhambi, mateso, ukatili na ubaya, Viwepo Duniani?

Mungu huyo ana tupenda kweli?

Mungu mwenye upendo, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na Uovu wala ubaya wa aina yeyote ile?

Mungu mwenye upendo, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda dhambi na mabaya?

Huyo Mungu anatupenda kweli?
 
Back
Top Bottom