Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Tofauti ya binadamu na wanyama, ni binadamu kustaarabika kuliko wanyama kwa kujiwekea utaratibu wa mahusiano; ila hisia za binadamu hazina tofauti na wanyama, chochote anachokiona mbele, kama kinamvutia kitamshawishi tuSwali ni je wanakuwa na malengo na hao wanawake as in watawaoa? Kama hawawaoi sasa kwanini wanataka wanawake ndiyo wajicommit kwenye hayo mahusiano?
Hii mdau umeitoa kwa uchungu sana.Mizinga inaumiza
😂😂😂hamna mkuuHii mdau umeitoa kwa uchungu sana.
Alafu siki Hizi hakuna na Cha anaefanya kazi wala asiefanyaaa yani wote ni kuombaa helaaa tuu.. Nlipata mfanyakazi akawa anajidai haiombi hela mwanzoni ikapita week aisee akaanza shida za 20K mara nikopeshe niongeze mtaji ooho.. Nikabwaga nikapata mchaga yani yeye mamaee mkikutana utasikia mwanaume anatakiwa amuhudumie mpenzi wake beib sasa wew unafanyaje kila ukimlaa anataka at least 30K yani ni sawa na unanunua utamu japo mnato anao sasa ni bora kununua Malaya tu ishu malaya huduma chap chap...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Alidai simu mwisho wa mwezi kama ameniona tena...Dah!,
Mimi nilipata mfanyakazi ila kwa vizinga yaani unaweza sema hana kazi lol,
Eti ndani ya mwezi mmoja mwanamke anataka macho 3
Nikamwambia nimeghairi mahusiano na wewe,na sina sababu kwanini nimeghairi...
Alokwambia Wanaume za watu tu ndo wanapigwa mizinga alikuona lofaa..Ila we jamaa bhana yaani unavyolalamikaga utafikiri hujaoa! Kwani mmelazimishwa kuchepuka mkiona michepuko gharama si mtulie na wake zenu?
Na mimi nasema wanawake waendelee kukaza hivyo hivyo hakuna kulegeza kamba! Kwani na ninyi mkiacha hizo pesa zenu kuna nini kingine mnachowapa?
Msitegemee msaada wala mapenzi ya dhati kwa wanawake ambao hamna malengo nao wala hamuwezi kuwaoa hasa ninyi waume za watu! Tulieni na ndoa zenu!
Hujajibu swali langu MkuuTofauti ya binadamu na wanyama, ni binadamu kustaarabika kuliko wanyama kwa kujiwekea utaratibu wa mahusiano; ila hisia za binadamu hazina tofauti na wanyama, chochote anachokiona mbele, kama kinamvutia kitamshawishi tu
Rudia tena kusoma mistari miwili ya mwanzo kwenye Aya yangu ya mwishoAlokwambia Wanaume za watu tu ndo wanapigwa mizinga alikuona lofaa..
Tatizo wote wana hisiaHujajibu swali langu Mkuu
afadhali chuma uleteKuna wenzetu hawana tofauti na chuma ulete
Enweiz mtupege tu hizo pesa Kwani mnatafuta kwa ajili ya Nani..!!!!🤣
Fanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.
Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.
Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.
Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
Mwanangu wahuni tukikutana demu wa hivi huwa tunamwaga ulezi chini,wakat kuku anadonoa ulezi unapita nae shaaaaFanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.
Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.
Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.
Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Case closed.Kaa karibu na soap/lotion au hata oil halafu futa namba zoote za madem
Sio kwa usawa huu mlongo, utaishiwa kugalagazwa na huudumiwi, eti usiombe usubiri kupewa mbna had malaika watachoka kusujudu na kuabudu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo nae kaahh!![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]yaani kakufanya kibubu mwee!
In short kwa mtoto wa kike, mwanaume anaekupenda hutumii nguvu nyingi kuomba chochote,atakupa tu!atakuhudumia bila nguvu kuubwa kabisa!
Ila ukiona unatumia nguvu kubwa ujue sio wako huyo na hakuhitaji!!!
JamiiForums mobile app
Wee unapata utamu wake, naye anapata pesa zako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitu wanachotakiwa wakielewe, ni kuwa tunahitajiana, na sio kumgeuza mwenzako kuwa kitega uchumi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila cc wee nn khaaahKuna wenzetu hawana tofauti na chuma ulete
Enweiz mtupege tu hizo pesa Kwani mnatafuta kwa ajili ya Nani..!!!![emoji1787]
Hujawahi kukosea mommah, umepiga penyewe Pentagon kabisaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila we jamaa bhana yaani unavyolalamikaga utafikiri hujaoa! Kwani mmelazimishwa kuchepuka mkiona michepuko gharama si mtulie na wake zenu?
Na mimi nasema wanawake waendelee kukaza hivyo hivyo hakuna kulegeza kamba! Kwani na ninyi mkiacha hizo pesa zenu kuna nini kingine mnachowapa?
Msitegemee msaada wala mapenzi ya dhati kwa wanawake ambao hamna malengo nao wala hamuwezi kuwaoa hasa ninyi waume za watu! Tulieni na ndoa zenu!
🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila cc wee nn khaaah