Marcellojr
JF-Expert Member
- Jun 29, 2021
- 298
- 773
kwangu mimi ni dem anakula sound ya nguvu na pumbu nampiga la maana....manina sakeKutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.
Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.
Mkono mtupu Haulambwi.
Mkuu labda unachukuwa wanawake matakataka,,Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.
Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.
Mkono mtupu Haulambwi.
hata 101% ni wewe tuuHata 87% mkuu ni wewe tu.
Napingana na wewe ke haitaji pesa kupata mwenza, tena ke wenye pesa hawana soko kutokana na ujuaji na kiburi.Tafuta pesa na uishi maisha mazuri, uwe ke au me lazima utapata mwenza.
Unakunaoana na unao hang nao out, uki hang out na wakina Uchebe ndiyo watakao kuoa.Napingana na wewe ke haitaji pesa kupata mwenza, tena ke wenye pesa hawana soko kutokana na ujuaji na kiburi.
Mwanamke mwenye pesa atawapata kina "Uchebe" na WALA SIO HIGH VALUE MEN.
HAKUNA CHA KUHANGA OUT WALA KUHANG IN, wanawake wangi sana mnajidanganya pakubwa kua kupata fedha patawapa mahusiano bora ila ukweli mnautambua, utatombw.a sana na "unao hanga out" nao ila wakati wa kuoa mwanaume HAOI ANAE HANG OUT NAE wanaume sio wavivu kiasi hicho linapokuja swala la kuchagua MKE BORA.Unakunaoana na unao hang nao out, uki hang out na wakina Uchebe ndiyo watakao kuoa.
Basi sawaHAKUNA CHA KUHANGA OUT WALA KUHANG IN, wanawake wangi sana mnajidanganya pakubwa kua kupata fedha patawapa mahusiano bora ila ukweli mnautambua, utatombw.a sana na "unao hanga out" nao ila wakati wa kuoa mwanaume HAOI ANAE HANG OUT NAE wanaume sio wavivu kiasi hicho linapokuja swala la kuchagua MKE BORA.
Binafsi nimetomb.a sana micoperate ladies na career women ila sijaoa hata limaja kati yao siku nikaenda ziara kikazi nikakutana na mwanamke na baada ya kufahamiana ilifit bara bara vigezo vya mke na ndio nimeoa na bado naendelea kuchakata macareer women "ninao hang nao"
Basi sawa
Na Katika wale kumi na 11 Kuna unao waafir....a auKiwango kinategemea na mwonekano, more tako more money.
[emoji3][emoji3] shangaa wewe mkuuMbona hao malaya wana gharama hvy jamani, yani 50k malaya mmoja.?
Unayekutana nae mchana na kumpa 50k na hiyo business card, wengine wanakutana nae usiku, wanampata kwa 5000/=. Acha Kila mmoja aenjoy kwa methods zakeKutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.
Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.
Mkono mtupu Haulambwi.
Saa Ni staili ipi imetumika wee kuliaWacha wee Mbona kwenye kidaftari cha kumbukumbu sijaona aliyenikula kwa staili hiyo[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hakuna cha kuacha ushindi kirahisi, ukweli anautambua bayana mario ndio wanashoboka na wanawake wenye vijisent real men want beautiful fertile natural women.Unaachaje ushindi kirahisi hivo,,, au umeshaanza kuwa Bibi heheh..
Fact!!!Ukiwa na hela, utakula 80% ya mbususu utazohitaji.
Hata 92% ni wewe tuHata 87% mkuu ni wewe tu.
Wacha wee...so unakula hela na simu hupigi.Nikikutana na wewe hela yako nachukua nakupa na matumaini ya kukutafuta,hapo utasubiri simu yangu mpaka Yesu arudi!!!
Kweli bwana gari ndio kila kitu....maana kwa hii bodaboda tuu nawala hivi je ukiwa na range rover sii utakuwa unawakwepaMkuu labda unachukuwa wanawake matakataka,,
Ukikuta mwanamke mwenye utimamu wa akili na maadili humpati ng'ooo.
Kuna rafiki yangu alilipa bill ya mrembo ShopRite mlimani city,
Jamaa alilipa 250,000 hivi bill ya shopping..
Kwa style kama hiyo ya kuchukuwa namba za simu za mrembo..
Tulikutana na mrembo yule kwenye foleni ya kulipa.
Jamaa akamsifia Sana mrembo,
Akamuomba cashier achanganye bill pamoja na yake..
Baada ya malipo jamaa aliomba namba,
Akapewa kwabinde Sana,,
Baada ya siku kadhaa jamaa alipoona hatafutwi,
jamaa akampigia yule mrembo simu,
Imepita miezi kadhaa sasa mrembo hapokei simu hadi leo..
Ukisema uchawi wa mwanamke ni gari hapo 80% nakubaliana na wewe..
Wanaume wenye magari walio wengi wanabebwa na magari yao lakini hawana mbinu zozote mbadala..
Wanawake wengi ni malimbukeni wa magari,
akikutana mwanamke ambaye siyo limbukeni wa gari anapata shida Sana kumpata.,
Mwanamke akiona gari ni Sawa na mbwa na chatu.