Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
-
- #41
Hii kitu mpaka duka lako kudondoka umetumia muda gani mkuu??
Ila hilo duka lilivyokua kubwa ukahisi na ww unahitaji matumizi mengi sasa, mpaka hukuona shida kabisa kuoa.
Demu kukaa nae siku 6 ushampenda tayari duuh we noma.
Samahani una elimu gani mkuu???shukrani mkuu niambie nimsomigani aliye fauru SoMo la mapenzi?? Kisha urudi hapa uniulize Tena Hilo swali😂😂 kingine nipe mda sahihi wakupenda je nidakika ngapi au nimda gani sahihi wa kupenda au MTU kupenda? Mwisho jitahidi kusoma kitu kwa umakini napia jitahidi kukitazama kitu zaidi ya unavyo kuona mkuu
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU no# 4...bas akasema ukifika nyumbani ili uamini kwamba mkeo haendi msibani fanya hivi hakikisha unaficha hisia zako asijue unajua chochote mpaka kunakucha atakapo kuwa anajiandaa kwenda huko anako kuita yeye msibani mwambie mkewangu nikusaidie kuchagua nguo za kuvaa msibani kabla hajakujibu Anza kufanya hivyo kwani anaweza kuku katalia Anza kumchagulia nguo za msibani utaanza kumchagulia nguo za kuvaa msibani Kama vile magauni Madera brauzi na vitenge nk. Ukichagua nguo mwonyeshe mkeo Kisha muulize hii vipi? Ukiona anaikataa usimlazimishe weka na uchague nyingine.kwani ukimchagulia nguo za msibani Kama haendi msibani atazikataa na ukimchagulia nguo za kutokea Kama anaenda kwa mwanaume atazipokea basi nikafanya Kama nilivyo ambiwa nikaanza kumchagulia Gauni frani hivi akalikataa"nkachagua Dela kubwa kubwa akalikataa"nikachagua kibode akapokea nikachagua ka mtindo kakubana akapokea 😨😨 nikampa kitambaa Cha kichwani akakataa nikampa kikoi aka kataa""kwakifupi alichagua nguo za kumvutia mwanaume tuu😉😉 mpaka hapo nikawa nime kamilisha upelelezi wangu Basi nikatoka chemba kidogo nikampigia mtaalam wangu nikamwambia kachagua zakutokea tuu bosi wangu Basi akacheeka akaniambia Sasa unacho takiwa kufanya kabla haha Anza safari mwambie mkewangu Kuna Jambo nataka niongee nawewe kabala huja ondoka Basi mtakapo tulia muulize unauhakika kwamba unaenda MSIBANI akisema ndiyo basi baada ya hapo msikilizishe hiyo Audio baada ya Hilo zoezi nipigie.basi wakuu nikafanya hivyo mama chanja akakaa anisikilize nataka nimwambie Nini Nika muuliza he unataka kwenda msibani kweli?akashtuka akaniuliza huniamin nikamwambia hapana sema nitakumiss Sana lakini kabla naomba tuongee Kwanza kidogo kwa Mara ya mwisho.akadakia kwa mala ya mwisho Nani kakuambia tuna achana?nkamwambi hapana simaanishi hivyo namaanisha kabla hujaondoka tuongee Kwanza Basi akatulia tukakaa kwa utulivu huku nikiwa na hasira hatari lakini sura yangu sikuruhusu hata kachembe ka ndita kaonekane Basi nikamwambia niazime simu yako tafadhali kwakinyongo akanipa simu yake huku akionyesha kuwa na Shaka kidogo.baada ya kunuipa Tena simu nikamuuliza umme wait kuishi na mume mwingine kabla yangu?anajibu niwewe tuu baba yangu.nikamuuliza Tena vipi Nini kilikuvutia ukawa na mimi? Akani jibu ushauri wako, unavyo jituma,Huna makundi,uko bize Sana na na maisha, Basi Nika muuliza kingine?akanijibu Huna hasira na kingine hupendi kunikwaza,nikamwambia nikweli Basi Nika mwambia nashukuru kwa kunipenda kwa HAYO hakika Mimi nipo hivyo lakini Devo Kuna kanyimbo unako humu kwenye simu yako nimeka penda naomba ukasikilize Basi wakuu nikaka play kale ka nyimbo kaka Anza na sauti ya mwamba Halo? Basi mama chanja akaitikia kwa unyonge Halo.UKOWAPI WEWE?mama chanja anajibu nipo kwa dada tunduma.UNAKUJALINI MBONA UNAKAZI NGUMU SANA WEWE MWANAMKE?? Mama chanja anajibu nakuja kesho.UNASEMAJE WEWE?? nasema nakuja kesho msibani.UNAKUJA WAPI NANI AMEKUFA??amekufa gwila.NANI AMEKUFA MBONA SKUELEWI?Basi mama chanja aka kataa simu😂😂😝😝NYIMBO NZUULI IKAWA IMEISHA Basi Devo akasimama akanikazia macho akasema itakuja uniuwe wewe mwanaume. Nikamjibu sita kuuwa Ila KITAKUUWA UNACHO KPENDA. Kwani kinacho uwa MTU nikile anacho kupenda NIKACHOLOPOKA Tena chemba Nika mpigia mtaaram wangu nilivyo fanya akacheeka Kisha akaniambia Sasa mwambie mkewangu twende nikusindikize stendi. Nika uliza nimsindikize Tena stendi?akanijibu bado unampenda nikajibu hapana akaniambia nataka akipenda asirudi Mimi nimeona huyo kwako nikifo atakuuwa vipi unaonaje.nikasema hapo sawa Basi akasema fanya hivyo🙄🙄🙄Basi wazee mgonjwa hachagui dawa Cha msingi apone nikaludi kwa mama chanja trip hii alikuwa haniangalii husoni huku akisema ah Ila mm Basi tu" Basi tuu liwalo naliwe"sjui nna mkosi gani Mimi" nikamwambia twende nikusindikize mamaa Basi nikamsindikiza mpaka mpaka karibu na stendi huku akijisemesha njia nzima Ila baasi tu.hii dunia hii.visimu Sio vizuli hivi Basi kabla hatuja fika stendi hatua kama 20 akanisimamisha akaniambia ishia hapa nime fika me killing machine Basi Mimi nikasema sawa mama narudi kibandani. Safari njema nikamkabidhi begi nikageuza nikiwa na maumivu niliona skutendewa haki na doctor wangu skumgusa hata kiganja..... Kesho nisiku pia wakuu tunaendelea
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU no4# Basi baada ya kumuacha aendelee na safari yake nika amua kumpigia simu yule mtaaram wa maswala ya mapenzi na ndoa. Nika mwambia kilicho jili. akaniambia niafadhali ungempiga au ungemwambia neno lolote baya kuliko vile ulivyo mtendea kwani nilazima atakuwa na mengi anayo jiuliza mengi anayo yawaza.kwahiyo kwanamna yoyote Ile lazima atakupigia simu"akiku pigia simu muulize umefika wapi?" Na akiniambia alipo katoka safari yake mtakie Safari njema Kisha mwambie mkewangu utakapo Rudi huku uje na zawadi nzuri ninayo ipenda Kisha muulize je unajua nizawadi gani? Akikujibu sjaijua niambie Basi mwambie niletee dozens of condoms ambazo zitakuwa special kwa ajili ya ku sax nawewe"ukimwambia hivyo Basi Kama ana hakili timamu hatarudi kwako kamwe Ila Kama nitaira au ana matatizo ya hakili. Basi ni lazima atarudi Tena kwako Basi Nika mshukuru mtaaram wangu nikaendelea na kazi yangu pale kibandani baada ya mda sikumbuki ilikuwa nimda gani baada ya yeye kuondoka Ila naa mini ilikuwa baada ya li saa simu yangu ika ita na nilipo angalia kwenye display Basi niliona jina la Devo mkewangu nikapokea nika mtakia Hari ya safari Kisha nikamuuliza ume fika wapi mpaka Sasa Basi akani jibu ndiyo anaelekea songwe Basi Nika mpa pole ya Safari Kisha nikamwomba ani letee zawadi nzuuri ya kondoms kwa ajili ya kuzitumia kipindi nalala naye Basi akaka akanijibu kwa unyonge sawa bhana Kisha akaka kata simu baada ya tukio Hilo nilikuwa MTU wa pombe Kali Sana na baada ya wiki moja akarudi tunduma Basi rafiki yangu yule kaka mkubwa bwana MARTINI akaja pale kibandani aka agiza sigara na peps. Basi Nika muudumia baada ya dakika kadhaaa akaniambia nimemwona DEVO hapa" nikauliza kweli?akaniuliza kwahiyo mkeo mpaka anafika hapa hujui? Nilishangazwa kidogo na nililijiuliza pia mbona hajaniambia? Nikajiuliza Tena huyu martini amejuaje mkewangu hakuwepo na wla sja wai nikajiuliza pia he yule mtaaram alini danganya kwamba hato rudi? Nikakumbuka pia vile mtaaram wangu alipo niambia kwamba Kama ana hakili timamu hato rudi Ila Kama Hana hakili timamu au taira atarudi tu,.. Basi nikajiuliza kwahiyo huyu atakuawa taira? Je nilikuwa naishi na taira? atakuwa ni taira huyu Devo nikiwa najiuliza HAYO maswali Gaga nikaskia MTU ananiambia nipe funguo za nyumbani. skuamini naskia sauti yanani nilipo inua jicho ndipo nikaiona sura ya Devo akiwa Hana hata kachembe ka aibu nilikuwa Sina neno zaidi ya kuzama mfukoni na kumpa funguo huku moyoni nikijesemea taira wewe😂😂baada ya kumpa funguo yule martini huku akicheka akaniuliza si umeona nilicho kuwa nakuambia so huyo hapo? Nika mgeukia Kisha nika muuliza sawa umeongea kweli!lakini ilikuaje MKE wangu hayupo? akanijibu Kuna siku tulikaa wote humu ofisini kwako ukaniambia brother najiskia njaa nataka nika agize chakula.nkakuuliza shemeji hajakulete a leo??ukanijibu amesafiri unakumbuka basi nikaitikia ohooo lumbee lakin nikiwa Sina uhakika Kama nilisha wahi kumwambia hivyo,! Basi ndugu zangu ilipo fika usiku Nika funga kakibanda kangu nikarudi nyumbani nakumbuka ilikuwa jioni na kamvua kalikuwa kana nyesha nyesha japo kwa mbaali wataaramu wetu walugha ya kiswahili wanaita manyunyu Basi Nika fika nyumbani nikamkuta mama chanja yupo ndani na kwa bahati nzuuri au mbaya umeme ulikuwa umekatika Basi na Mimi simu yangu ilikuwa imeni ishia chaji Kama mnavyo jua Tena smart zetu hizi kwenye ma batteries 😄😄 nikaona nichukue simu yake niitumie kupenda msarani Basi mama chanja huku akisema usiguse simu yanguu akainyakua simu yake na kutoka nayo nje ya geti ilikuwa kwenye saa tatu na nusu za usiku Basi Nika elewa kwamba bira Shaka anaogopa Nita mtega Tena! lakini nikajiuliza kwanini aogope? Je kunajambo bado anani ficha je hajaji funza bado? Kisha jibu lingine likaja okeey kumbe nitahiraaa Basi nikatulia pale nikajngeza kwa kiberiti nilichokuwa pale mezani nikaenda msalani.nikarudi ndani chakushangaza nilipo Rudi ndani skumkumkuta"inabidi nijiongeze kumtafuta kwni ilikuwa no usiku istoshe anakila dalili za utaira Basi nilpo Toka nje skumuona nikaita kimya nikaiona labda chooni lakini mbona nimetokea huko?nikaiona hapana ngoja nikaone tuu Basi nilipo fika chooni hakuna MTU nikafungua mlango wa bafuni nikamwomba katulia Kama jini Nika uliza vipi wewe kimya nikamkuta kwanguvu huku nikimuuliza utakaeje chooni unahakili timamu wewe? Basi nikamtanguliza mbele nika mwambia ingia ndani wewe acha kuniletea Mambo ya ajabu Basi mbele yake kulikuwa na sushi lime kingwa maji ya mvua Basi bwana Devo gafra anachukua like dishi lililo kwa lime jaa maji ya mvua nakuni mwagia Yale maji mwilini huku akisema niachee wakubwa zangu skuamini kile kitendo nilicho kufanya pale nilijikuta Nipo chumbani kwa jirani🙄🙄jirani yangu yupo nje na mkewe🙄🙄mkewangu yupo sebreni anaomba afunguliwe mlango kabra haja dedi😂😂😂 Mara nje naskia MKE wa jirani ANASEMA hatufungui mpaka aje barozi Basi sjakaa sawa naambiwa msaada chumba chapili Moto unawaka nguo sjui zinaungua sjakaa sawa naskia barozi ANASEMA hapa hakuna haha nipolisi tuu Basi pale Nika gundua nimfanya kitu mbaya nipo chumbani kwa jirani"NDUGU ZANGU ITAENDELEA KESHO
Hivi kitabu Chako kile ulicho kiandika mwaka Jana kina itwaje mkuu?? Msaada naomba kuku mbushwa tuuAliruka somo la undishi
Mwana mbona kimya? Icheki hpo chi ni
Pamoja ndugu yanguNasubiri kwa hamu sana
Duh lete stor
Ipo hapo chini boss wangu👇👇👇👇Mwamba valuer imemzima mpaka leo