Ustawi wa Jamii walivyoharibu maisha yangu, no# 1

 
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU no# 4...bas akasema ukifika nyumbani ili uamini kwamba mkeo haendi msibani fanya hivi hakikisha unaficha hisia zako asijue unajua chochote mpaka kunakucha atakapo kuwa anajiandaa kwenda huko anako kuita yeye msibani mwambie mkewangu nikusaidie kuchagua nguo za kuvaa msibani kabla hajakujibu Anza kufanya hivyo kwani anaweza kuku katalia Anza kumchagulia nguo za msibani utaanza kumchagulia nguo za kuvaa msibani Kama vile magauni Madera brauzi na vitenge nk. Ukichagua nguo mwonyeshe mkeo Kisha muulize hii vipi? Ukiona anaikataa usimlazimishe weka na uchague nyingine.kwani ukimchagulia nguo za msibani Kama haendi msibani atazikataa na ukimchagulia nguo za kutokea Kama anaenda kwa mwanaume atazipokea basi nikafanya Kama nilivyo ambiwa nikaanza kumchagulia Gauni frani hivi akalikataa"nkachagua Dela kubwa kubwa akalikataa"nikachagua kibode akapokea nikachagua ka mtindo kakubana akapokea 😨😨 nikampa kitambaa Cha kichwani akakataa nikampa kikoi aka kataa""kwakifupi alichagua nguo za kumvutia mwanaume tuu😉😉 mpaka hapo nikawa nime kamilisha upelelezi wangu Basi nikatoka chemba kidogo nikampigia mtaalam wangu nikamwambia kachagua zakutokea tuu bosi wangu Basi akacheeka akaniambia Sasa unacho takiwa kufanya kabla haha Anza safari mwambie mkewangu Kuna Jambo nataka niongee nawewe kabala huja ondoka Basi mtakapo tulia muulize unauhakika kwamba unaenda MSIBANI akisema ndiyo basi baada ya hapo msikilizishe hiyo Audio baada ya Hilo zoezi nipigie.basi wakuu nikafanya hivyo mama chanja akakaa anisikilize nataka nimwambie Nini Nika muuliza he unataka kwenda msibani kweli?akashtuka akaniuliza huniamin nikamwambia hapana sema nitakumiss Sana lakini kabla naomba tuongee Kwanza kidogo kwa Mara ya mwisho.akadakia kwa mala ya mwisho Nani kakuambia tuna achana?nkamwambi hapana simaanishi hivyo namaanisha kabla hujaondoka tuongee Kwanza Basi akatulia tukakaa kwa utulivu huku nikiwa na hasira hatari lakini sura yangu sikuruhusu hata kachembe ka ndita kaonekane Basi nikamwambia niazime simu yako tafadhali kwakinyongo akanipa simu yake huku akionyesha kuwa na Shaka kidogo.baada ya kunuipa Tena simu nikamuuliza umme wait kuishi na mume mwingine kabla yangu?anajibu niwewe tuu baba yangu.nikamuuliza Tena vipi Nini kilikuvutia ukawa na mimi? Akani jibu ushauri wako, unavyo jituma,Huna makundi,uko bize Sana na na maisha, Basi Nika muuliza kingine?akanijibu Huna hasira na kingine hupendi kunikwaza,nikamwambia nikweli Basi Nika mwambia nashukuru kwa kunipenda kwa HAYO hakika Mimi nipo hivyo lakini Devo Kuna kanyimbo unako humu kwenye simu yako nimeka penda naomba ukasikilize Basi wakuu nikaka play kale ka nyimbo kaka Anza na sauti ya mwamba Halo? Basi mama chanja akaitikia kwa unyonge Halo.UKOWAPI WEWE?mama chanja anajibu nipo kwa dada tunduma.UNAKUJALINI MBONA UNAKAZI NGUMU SANA WEWE MWANAMKE?? Mama chanja anajibu nakuja kesho.UNASEMAJE WEWE?? nasema nakuja kesho msibani.UNAKUJA WAPI NANI AMEKUFA??amekufa gwila.NANI AMEKUFA MBONA SKUELEWI?Basi mama chanja aka kataa simu😂😂😝😝NYIMBO NZUULI IKAWA IMEISHA Basi Devo akasimama akanikazia macho akasema itakuja uniuwe wewe mwanaume. Nikamjibu sita kuuwa Ila KITAKUUWA UNACHO KPENDA. Kwani kinacho uwa MTU nikile anacho kupenda NIKACHOLOPOKA Tena chemba Nika mpigia mtaaram wangu nilivyo fanya akacheeka Kisha akaniambia Sasa mwambie mkewangu twende nikusindikize stendi. Nika uliza nimsindikize Tena stendi?akanijibu bado unampenda nikajibu hapana akaniambia nataka akipenda asirudi Mimi nimeona huyo kwako nikifo atakuuwa vipi unaonaje.nikasema hapo sawa Basi akasema fanya hivyo🙄🙄🙄Basi wazee mgonjwa hachagui dawa Cha msingi apone nikaludi kwa mama chanja trip hii alikuwa haniangalii husoni huku akisema ah Ila mm Basi tu" Basi tuu liwalo naliwe"sjui nna mkosi gani Mimi" nikamwambia twende nikusindikize mamaa Basi nikamsindikiza mpaka mpaka karibu na stendi huku akijisemesha njia nzima Ila baasi tu.hii dunia hii.visimu Sio vizuli hivi Basi kabla hatuja fika stendi hatua kama 20 akanisimamisha akaniambia ishia hapa nime fika me killing machine Basi Mimi nikasema sawa mama narudi kibandani. Safari njema nikamkabidhi begi nikageuza nikiwa na maumivu niliona skutendewa haki na doctor wangu skumgusa hata kiganja..... Kesho nisiku pia wakuu tunaendelea
 
Epsode
 

Aliruka somo la undishi
Hivi kitabu Chako kile ulicho kiandika mwaka Jana kina itwaje mkuu?? Msaada naomba kuku mbushwa tuu
 
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU NO.5#..baada ya kuagana na Devo nikaenda zangu kibandani nikaendelea na kazi zangu za Kila siku ilipita mwezi mmoja hakuwahi nipigia simu Wala mimi sikumpigia simu nika pambana ku hakikisha nairudisha ofisi yangu kwani ilikuwa tayali imeteteleka mungu mwema ndani ya mwezi mmoja Hari ilitengamaa nikiwa Bado pale kibandani na endelea na kazi yangu GAFRA nikaskia sauti ya devo mgahawani kwa Dada ake akiongea skuamini nikatega skio vizuri nikahisi alikuwa yeye kabisaa lakini Bado skuamini mpaka nikaamua kumtuma bwana mdgo mmoja ndipo nilipo kuja kuamini BAADA ya yule dogo kuniambia alikuwa yeye"skuamini nili ishiwa nguvu nikajiuliza je atakuwa taira kweli? Skujali nikaendelea na Mambo yangu BAADA ya Kama nusu saa akaja moja kwa moja mpaka kibandani bila saramu wala Nini na kuniambia naomba funguo na Hera ya mboga nikamuuliza unaongea na Mimi? Akajibu ulijua unaongea na Nani? Basi nikamtazama kwa mdaa Kisha nikampa funguo na Hera ya mboga akaondoka bila kuaga nikacheka huku nikisema kweli taahira wewe ilipo fika jioni nikarudi nyumbani ndipo nikamkuta amekaa katuria turii chakura kipo tayali mezani nikataka Nile hakili ikaniambia acha kaoge Kwanza. Basi kwakuwa umeme ulikuwa umekatika nikachukua simu yake iliyo kuwa pale mezani kwani yakwangu ilikuwa tayali imeni ishiwa chaji BAADA ya kuchukua simu GAFRA akaikwapua simu nakusema niachie simu yanguuu kwasauti kalii nikaona isiwe kesi nika mwachia simu yake chaajabu BAADA ya kumwachi a simu akaondoka moja kwa moja mpaka chooni kule chooni alikaa kwa katibu nusu saa Basi ikabidi nimfuate nilipo mfuata kule chooni nikamkuta ameshika simu afu Kama anachati hivi nikashangaa kidogo nikamuuliza hivi unatatizo gani wewe hujiskii kinyaa? hebu Rudi ndani akaonekana Kama anasita hivi Basi Nika mshika mkono kwa nguvu nakumvutia nje nakumbuka Ile siku kulikuwa nakamvua kidogo Basi pale nje kulikuwa na dishi lililo kuwa lime kingwa maji tayali na limejaa Basi nikiwa nipo nyuma yake yeye yupo mbele yangu GAFRA akainama nakulibeba lile dishi lililo jaa maji nakuni mwagia mwilini huku akisema mbwa wewe"Kama mnavyojua maji ya baridi jumlisha baridi ya masika nailed kumwagiwa gafra hahaaa ndugu zanguni kilicho fuata pale nikajikuta Nina nguvu za ajabu nili mvamia GAFRA nakumbuka ndani kulikuwa na cheni za mtofyo zile huwa zinakuwa Kama shanga BAADA ya kumvamia nilimlamba mtama mashuhuri pale na kabra hajafika chini nilimzuia Kisha Nika msukuma akaangukia kifua huku akijizuia kwa mikono kabra hajakaa sawa nili mshika kiunoni bahati nzuri alikuwa amevaa track suit nakitenge baasi ndugu zangu Nika kusanya chupi track suits Tait nikamshika vizuuri kiunoni pale nyuma Kisha nikamnyenyua akawa yupo baranced nikamrusha kuelekea mlangoni yaani mlango alifungulia kichwaa chake kwa kuu bamiza nilipo fika pale ndani sebureni nikavuta ilecheni ya mtofyo nilipiga mpaka ika katika katika kwa bahati mbaya mlango uliacha kamwanya alipo nicholopoka huku akipiga kelele nakufaaa akanyooka moja kwa moja mpaka mlangoni kwa jirani nakuingia mle ndani Nika note kitu nikagundua huyu ndiye mshauri wake Nika Choma humo humo huku akichezea kichapo akaingia mpaka chumbani kwa jirani ambako nilikuta wapo kitandani wakiwa uchi 😀😀😀skuwa nashida nao kwani nilikuwa nime vurugwa niliendelea kugawa kichapo Basi jirani na mke wake Waka choropoka kwaspidi wakajifunika vitenge wakatoka nje nakufunga mlango kwa nje niliendelea kugawa kichapo mpaka mtu akaanza kuunguruma Kama mbwa Koko anae sogerewa na mbwa Koko mwenzie kipindi akila mfupa baasi pale nikawahi komeo ya ndani nikafunga kwandani ili mtu yeyote asiingie kisha nikaturia nikakaa kwenye Kochi kimyaa huku chini mtu anakoroma.nje naskia minong'ono ya wtu.Basi pale nikagundua nime zungukwa. Basi nikaskia sauti ya barozi akisema hapa hakuna Cha kuzungumza nae huyu nikuvunja mlango Kanata piga kamba Kisha polisi Basi DEVO AKAZINDUKA AKAPIGA KELELE NAKUFAAA nika mwambia turia wewe ntakuwa kweli. barozi akauriza kinafki umemaliza kupiga baba?😀😀nikamjibu tayali mzee! tuingie nikamjibu ngoja niwa fungulie BAADA ya kuwa fungulia ndipo nikagundua kulikuwa na mbarozi watatu wakwanza akauliza kwanini unafanya hivi?wapili akasema hakuna haja ya kuuliza hapa nkupeleka mtu polisi! wa tatu akasema lazima Kuna sababu so hivi hivi mbona kijana Ana onekana nimstaarabu katufungulia tumeingia Basi yule wapili akasema ehee tueleze wewe mwanamke imekuaje? Basi Devo AKAZINDUKA alionekana nimwenye maumivu makali na kwenye kuonewa mnyonge nakuanza kuzungumza huku akilia akisema...INAENDELEA
 
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU NO..6# Devo aliendelea kuzungumza mbele za watu. huku akilia nanukuu. yaani jamani huyu mwanaume! msimwone hivi.amenipa hela ya mboga.shilingi alfu 2 "nimenunua chainizi.nimepika anafika ndani. anasema anataka nyama nikamjibu mme wangu mbona umenipa Hera kidogo ?"akaanza kunipiga"yaani yeye anataka nyama tuu"mboga za majani hali. huku akilia Devo kilio Cha kinafki.kinacho fanana na ukweli""mwisho wakunukuu.basi BAADA ya hapo akadakia barozi mmoja linaloho mbaya sana hilo etii??mnasubili Nini tulipeleke ndani hili😀😀kijana unavutabange za wapi?nikamjibu mzee umemsikia alivyo ongea je Mimi umeniskiliza? Basi mama mmoja miongoni mwao akadakia kweli acha tumsiklize na yeye hatuwezi jua. Ehee ongea kijana akadakia mwingine miongoni mwao nakumbuka alikuwa mzee kijana hivi.basi BAADA ya hapo nikaanza kuelezea Kama ilivyo kuwa kuhusu kwenda msibani, kumtega kwenye simu, mpaka kunimwagia maji, na kuanza kupigana!Basi palebarozi aka dakia aka sema kijana naomba unifundishe hako kambinu ka kutega simu😂😂 wengine wakadakia kweli ilikuwa HIVYO? namimi nifundishe Tena Sasa hivi😀😀binafsi Nika gundua nimesha wagawanya tayari sjakaa sawa nikaskia Dada ake mtaarifu kama.mama Debo Ana Seema nikweli jamani" naomba mnisikilize huyu nimdogo wangu anamume mbeya na kuhusu kupigiwa simu Mimi nilimwambia mme wake ampigie simu huyu mdogowangu, nakuhusu msiba nimimi nilimwambia Kuna msiba lengo langu aende nyumbani akifika kule akutane na mumewe waendelee na MAISHA kwanini awe na ndoa mbilii Dada ake akiongea kwa uchungu?Basi nikaskia watu wanasema kumbe ndiyo hivyoo.. gafra mama mmoja akamuuliza Devo eti wewe mtoto unawezaje kuishi na ndoa mbili? kwa wakati mmoja? Basi Devo akajibu siyo kweli mama.Mwingine akadakia wewe wewe acha kubisha je. huyu siyo Dada ako?akajibu nidada angu! Sasa unabisha Nini?kwahiyo yeye nimjinga kuya ongea haya? sjakaa sawa nikaskia barozi mmoja anasema wewe ni Dada yake?huku akimuuliza mama Debo.mama Debo akajibu ndiyo.umesema mdogo wako Ana mume ?mama Debo akajibu ndiyo.nahuyu Ninani barozi alimuuliza mama debo? Mama Debo akajibu simjui labda atuambie yeye ninani?basi Basi barozi akarudi kwa Devo akamuuliza huyu ninani wewe mtoto?Basi Devo akajibu huyu ni siyo mme wangu Ila aliniomba alale tu kwani Hana pakulala Hana nahiki chumba nicha kwangu.nimekipanga Mimi siyo yeye.mama mmoja akadakia subili kidogo umesema hiki chumba nichako? Devo akajibu ndiyo.mama akauliza Tena umepata wapi pesa zachumba? Devo akajibu nilikuwa nachanga mchango.yule mama akamuuliza Tena hizo pesa za mchango ilikuwa unapata wapi? Devo akajibu nafanya kazi kwa Dada Ana Nipa alfu mbili Kila siku.sasa kabla yule Dada hajauliza swali lingine Dada ake Devo akadakia hapanaa hapanaa huyu Hera za chumba amepata kutoka kwa huyu mwanaume Basi nikaskia yoweee arudi kwa mumewe huyooo aondoke hapaa hatumtaki mgombanishi atamuuwa mwanaume wa watu anandoa mbili huyooo kadri WALIVYO kuwa wanaongea ndivyo WALIVYO kuwa Wana msogelea mala nikaskia wanasema nyenyukaa tokaaa chumba Cha mwanaume hikiii nenda kwa mumewako mbeyaaa mungu mwema ndugu zangu Devo akafukuzwa kwa nyimbo na vigeregere na wamama wenzie Basi Mimi nikatoka pale kwa jirani nikaenda ndani kwangu Nika kuta pamevurugika siyo kidogo.nikalala kibabe nikaona kesho nta fanya usafi nikalala pembeni naka value INADELEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…