Utabiri kuelekea uchaguzi Ukimya wa Mungu haumanishi mmekubalika jambo kubwa litatokea

Utabiri kuelekea uchaguzi Ukimya wa Mungu haumanishi mmekubalika jambo kubwa litatokea

Mbona hamtabiri kuhusu mafanikio na neema ?
Hayo ni baada ya kugeuka, kutubu kuacha UOVU na dhulma ndipo baraka na neema zifuatwe.

Yaani uibe uchaguzi Kisha utegemee kutabiriwa neema, Hilo halipo.
 
Tangia lini na wewe umekuwa Mungu na kuwasiliana na Mungu? Acha kujipa umuhimu wakati ulishapuuzwa. Maandiko yako ya zamani yanakuhukumu kwa kuonekana wewe ni mnafiki na usiye na uzalendo wa aina yoyote ile zaidi ya chuki binafsi tu.
 
Tangia lini na wewe umekuwa Mungu na kuwasiliana na Mungu? Acha kujipa umuhimu wakati ulishapuuzwa. Maandiko yako ya zamani yanakuhukumu kwa kuonekana wewe ni mnafiki na usiye na uzalendo wa aina yoyote ile zaidi ya chuki binafsi tu.
 
Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.

Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpya
ANAANDIKA Mh LISSU

Maria Sarungi-Tsehai, one of Tanzania's foremost and fearless critics of the Samia regime and a dearest friend has been snatched by three unidentified gunmen in the vicinity of Yaya Centre in the Kenyan capital of Nairobi.

A strident opponent of the Magufuli dictatorship, Maria had fled to exile in Kenya since just before the fraudulent 2020 general elections and had been running Chanzo TV, a pro-democracy online platform.

While we hope and pray for Maria's life and safety, we must call upon the Kenyan government and all people of goodwill from around the world to intervene in whatever capacity they can to help secure Maria's safe return to her family.

And we must tell whoever is behind Maria's abduction and disappearance that no amount of terror and violence or intimidation will silence us. That many many more Marias will step forward to take up her fight for democracy and decency in Tanzania.
 
Kwahy Mungu haoni watu wanavyoteseka huko Gaza, Ukraine na kwingineko ila anaona viongozi wa Tz?
 
Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.

Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpya
Hawapishi ila wengi watakufa
 
Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.

Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpya
Me nimekuelewa ndugu, na ndo maana mwaka huu nagombea ubunge hapa mjini Dar es Salaam.
 
Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.

Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpya
Naunga mkono hoja, hili na mimi niliambiwa kwenye HII sauti!.
P
 
Hujasikia tetesi kwamba hatogombea!!?Kuna Uzi humu unauliza eti CCM Ina mbadala was smiah 2025!!?

Yule nabii Musa waziri mkuu wa mbinguni kapiga u turn eti Mama 2025 anapita kwa kishindo eti no mapenzi ya mungu!!

Mimi naendelea kuimba mitano Tena Kwa mama with causion!
Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.

Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpy
 
Ni ngumu sana kuelewa namna Mungu anayofanya kazi zake. Huachia mambo mabaya yenye kuumiza, kutesa na kuvunja moyo yatokee halafu huja kuyafutilia yote.

Lazima tuelewe kila mamlaka iliyopo Mungu ndiyo aliamuru uwepo wa hiyo mamlaka lakini wale wanaoongoza hizo mamlaka huwa wanafanya mambo kwa utashi na akili zao. Utawala wa Magufuli ulikuwa wenye kuumiza na kupumbaza akili za watu.

Lakini Mungu aliamua kumfutilia mbali huyo Magufuli, akaingia Dr Samia na tunaona bado hali ni ile ile kama ya utawala wa Magufuli na bado wapo wanaosifia, wanatesa na kuondoka uhai wa binadamu we zao still Mungu ameamua kuachia yote hayo yatokee.

Mungu ana kusudi lake na kwa imani yangu wakati wake na kwa hekima yake atatuletea Kiongozi bora mwenye kujali na kumtetea watu wake.

Sijui na sielewi kanuni za Mungu zipo Vipi kwenye hili jambo lakini naamini baada ya haya malalamiko, mauaji, mateso na changamoto za kila namna kwa Watu wake atazikomesha na watu wake watapata furaha na amani kwenye nchi yao.
Nabii Lema
 
Back
Top Bottom