Utabiri kuelekea uchaguzi Ukimya wa Mungu haumanishi mmekubalika jambo kubwa litatokea

Utabiri kuelekea uchaguzi Ukimya wa Mungu haumanishi mmekubalika jambo kubwa litatokea

Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.

Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpya
Neno la Mungu ni ndio na amini.
 
Tutegemee watu kututoka , wasio katika mpango wa Mungu.
 
Mungu anasema tangu kuumbwa kwa dunia hajawahi shindana na mwanadam hivyo tukumbuke hili
 
Tangia lini na wewe umekuwa Mungu na kuwasiliana na Mungu? Acha kujipa umuhimu wakati ulishapuuzwa. Maandiko yako ya zamani yanakuhukumu kwa kuonekana wewe ni mnafiki na usiye na uzalendo wa aina yoyote ile zaidi ya chuki binafsi tu.
Kusanya machozi , usiyatumie hovyo hovyo
 
Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.

Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpya
Sasa si ungemalizia kwa kusema kwa herufi kubwa kabisa kuwa IF THERE'S NO REFORMS, THERE WILL BE NO ELECTION. Kwanini unaona aibu mwana CCM wewe...?

Bwana TumainiEl kwa hali ya nchi na taifa hili lilipofikia sasa, huwezi kuota na kufikiri kupata mabadiliko ya kiuongozi na utawala wa nchi na taifa hili unless umewaza na kufikiri kwanza namna ya kubadili mifumo ya uchaguzi inayowaweka hao viongozi/watawala...

Nevertheless, I completely agree with you that, this country and nation will experience big and unexpected political and economical changes that will leave the current dictatorial leadership astonished - asking themselves, "....what exactly happened....?"

Ni ukweli usiopingika kuwa, dunia na Watanzania hawataamini akili na macho yao pale watakapojua kuwa, waliowadhania kuwa ndio wataongoza serikali ya nchi hii tena kwa kupita kwa kishindo na bila kupingwa, wameangukia pua zao na kutupiliwa mbali kuleee ktk namna ya fedheha na aibu kubwa...!!

Hapo ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno maana hakika wataanza kulipia gharama ya uovu na uhalifu walioitendea nchi/taifa hili na watu wake kwa miaka zaidi ya 64 iliyopita hata sasa...!!
 
Back
Top Bottom