Mungu huweka serikali na viongozi kwa wakati na muda anautaka yeye. Warumi 13.
Najuwa kuna watu hamuwezi kupenda ila leo natamani mjiulize ktk serikali ya hayati Magufuli idadi ya viongozi ndani ya serikali yake walitutoka wakati tukiwa tunategemea uwepo wao. Nani angeamini tungempoteza Magufuli japo Mungu alituonyesha watu wake na tukasema.
Mungu anataka kizazi kipya cha uongozi ktk Taifa sio wale walianza na Magufuli. Hakuna anaweza kuamini hili lakini huwo ndio ukweli mchungu kwa wale wanatamani kuona wanaendelea kuwa viongozi. Nguvu kubwa yaweza tumika na kila mnacho ila Mungu hayupo ktk hizo nguvu anataka mabadiliko na mabadiliko hayo sio madogo mabadiliko makubwa kuliponya Taifa.
Mungu anasema ikiwa mtatumia akili na utashi wenu ataingilia ktk namna hakuna mtu anaweza kuamini. Hivyo hatuna budi kuepuka ghadhabu kwa kukaa pembeni. Nakupisha uongozi mpya