Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sawa, haya ifanye 1$ iwe Tsh 5Yeah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, haya ifanye 1$ iwe Tsh 5Yeah.
Nchi ya ajabu sana .Kutwa anazunguka kukopa badala ya ku-export unategemea nini?
Hata hujaelewa kilichoandikwa.Nadhani ww ndio ulaaniwe kwa kusubiri chama cha siasa kikuletee maendeleo
Kwanini usiwaletee hao wachina kwenye hizo kata wanazolima mihongo wakafundisha wakulima wetu?Nchi ya ajabu sana .
wanatuletea wakulima wa china kulima mihogo badala ya kuwapeleka vijana wetu wakajifunze namna ya kulima mihogo china kisha waje walime kwenye ardhi yetu wenyewe na kisha tuwauzie kwa pesa za kigeni.
Kwahy unamlaumu samia kwenye ishu gnHata hujaelewa kilichoandikwa.
Yaani ni mambo ya hovyo snSasa nchi mtu kama baba Levo anakaa kwenye media na anapewa coverage unatarajia nini?
CCM hawana akili ya kuendesha nchiNchi ya ajabu sana .
wanatuletea wakulima wa china kulima mihogo badala ya kuwapeleka vijana wetu wakajifunze namna ya kulima mihogo china kisha waje walime kwenye ardhi yetu wenyewe na kisha tuwauzie kwa pesa za kigeni.
Maza nchi imemshinda haswaJana ilikuwa Ths. 2,708/$
Wamejikita kwenye wizi wa mali za ummaCCM hawana akili ya kuendesha nchi
Kufundisha vijana wetu kulima mihogo?Nchi ya ajabu sana .
wanatuletea wakulima wa china kulima mihogo badala ya kuwapeleka vijana wetu wakajifunze namna ya kulima mihogo china kisha waje walime kwenye ardhi yetu wenyewe na kisha tuwauzie kwa pesa za kigeni.
Nakumbuka mwaka 2004 doral moja ilikua Tsh 500.Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!
Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!
Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Magufuli ndiye alituletea Samia, kama sio magufuli tusingekua na rais kama samia. Alaumiwe magufuli kwa hili balaa
Kwanini usiwaletee hao wachina kwenye hizo kata wanazolima mihongo wakafundisha wakulima wetu?