Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Mkuu unajua taifa la Marekani hata katika biblia kwenye kitabu cha ufunuo 13 limetajwa ni vile inahitaji ufahamu kutambua

Kwaiyo taifa la Marekani lipo kimkakati Mkuu Ndio maana linanguvu na litaendelea kua na nguvu ya kiuchumi Kwaiyo hakuna jumuia yoyote inaweza kuiondoa Dollar kwenye utawala wa Dunia bali dollar na uchumi wake wa Marekani vitazidi kuimarika na kuimarika kila Leo
Hilo hatuwezi sema maana BRICS iko vizuri, zaidi ya 35% ya pato la dunia linatoka kwao na wanazaidi ya 55% ya idadi ya watu duniani. Na sasa BRICS kila mwanachama anauuza bidhaa kwa kutumia hela yake.
Marekani ana muda mchache sana kabla hajaingia kwenye crisis.
 
Mbowe ni CCM na anazuga pale , hana ishu na hana impact nashangaa why bado ni mwenyekiti.

Yule ni mfia tumbo and mbowe is just a bogus ndio maana hawezi kufanya kazi na cream
Daaaha kaka, nashukuru kwa kujua hili jambo. Je umejuaa mapema au hivi karibuni nataka tu kufahamu?

Mbowe ni ccm by nature and artifical kabisa bila kupepesa macho, huyu ndio anae ua chadema, anakwamisha harakati zote za chadema,

Siku ambayo chadema itampiga chini huyu fisadi mbowe bas ndio siku chadema itaanza kua mpinzani wakweli kabisa.
 
Huwezi kuitabiri kesho hata ukiwa spesho 🎶

Dizasta Vina
 
Back
Top Bottom