Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Ukitaka kula na mjinga msigie huo ni usemi wa uswahilini na wanakula nae vzr kwakua njia za kupiga maisha hazina kizuizi just proposal watu wanakula hela and maisha yanasogea,itafika 3000 kwakua nchi inakopa zaidi kuliko kuzalisha vitu na kuuza nje
 
Tangu 61 tupo kwenye maandishi na kulalamika kwenye keyboard
Natumaini jibu lake umelielewa barabara, kwani kakujibu vizuri sana hapa:

Lisu anasoma sana tunayoyaandika ndio maana anapata moyo na morali kubwa ya kutangulia mbele na kiwaambia wananchi haya tunayoyasema .

Usiposoma na kujua mioyo ya watanganyika inataka nini utakosea sana.

Mfano kwa sasa Mbowe na Lisu ni kama watu wa vyama viwili tofauti kutana na ukweli kwamba mmoja anasoma sana mitandoa na vitabu na kujua kuwa bado watanzania hasa Watanganyika wanachukia sana ufisadi na wizi wa mali za umma.
 
Ila kuna factor nyingine pia kama import - export trade imbalance (ukosefu wa mizania katika uwiano wa biashara ya kuuza nje na kuagiza bidhaa na huduma toka nje ya nchi ) ,mfano mzuri ni Tanzania nchi ambayo inanunua bidhaa na huduma kwa wingi toka nchi za nje tofauti na inavyouza nchi za nje .
Ukosefu huu wa mizania ndio husababisha pia pesa nyingi za kigeni hasa US dollar kwenda sana nje ya nchi kununua bidhaa kama magari ,mafuta ,madawa ,nguo , mitambo nk
Sababu nyingine ni uongozi mbovu na ufisadi wa serikali ya nchi husika , kwenye huu mdororo wa uchumi unaoendelea duniani , ni rahisi sana kuzifahamu nchi zilizotawaliwa na ufisadi na uongozi mbovu katika kumanage pesa za umma .
Na Tanzania ni mfano mmoja wapo .
Nchi inayotembeza bakuli kila siku ni nchi mfu inayoongozwa na corrupt politicians
Seme balance of payments
United States federal reserve /Benki kuu ya Marekani waliraise interest rates ili kupambana na mfumuko wa bei mwaka huu na results Ndio hizo kwamba mitaji na investments denominated in US dollar inakimbia mataifa mengine na kwenda Marekani kununua US government bonds Maana magawio yake ni makubwa
I know all this,Kuna punguwani nilikua nalielewesha
 
Umesahau diesel na petrol kufika 4 000!

 
Siyo kweli, 1961 ilikuwa $1 = Tsh 7. Kama iliwahi kuwa Tsh 5, itakuwa ni wakati wa ukoloni!
Sina kumbukumbu hivyo ila mara ya kwanza nasafiri na mzee ilikuwa miaka ya 70 na alichenji $1000 ila sikumbuki ilikuwa sh ngapi
 
Siyo kweli, 1961 ilikuwa $1 = Tsh 7. Kama iliwahi kuwa Tsh 5, itakuwa ni wakati wa ukoloni!

$35,000 si haba; kwenye madafu takriban 105 hivi!
Uta'accumulate' hadi lini?
Hizo zipo tu zina mpango wake nasubiri few years zingine boss
 
Black market hapa tunduma tunachenji 2800 and I'm sure December lazima ifike 3000 manake wafanyabiashara watanunua sana nje kuliko kuuza nje.
 
Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
na mimi naongezea ka 100 kangu. itakua 3100
 
Ukweli kupanda kwa bei ya dollar against tz shilling ni indicator kubwa ya uchumi WETU kuchuka

Tatizo serikalini kumejaa wanasiasa na machawa hakuna watendaji, na cha kushangaza uchawa umekua kazi rasmi sikuhizi

Nilishangaa kuna chama kimoja Sijui kama kimesajiliwa kinaitwa 👉CHAWA WA MAMA TANZANIA kifupi chake kimenitoka kuna jamaa yupo kwenye hicho chama na wanapata Hadi Safari za matukio mbalimbali ya serikali

Mfano mei mosi iliyopita walikwenda hawa vijana na wapo kuanzia ngazi ya kata Hadi taifa na posho na gharama za Safari wanalipiwa na maradhi yote na wanalala hoteli 🙆🏻‍♂️😢

Hizi zote ni kodi za watanzania viongozi wameacha jukumu lao mama la uwajibikaji wamehamia kwenye kuwekeza kwenye uchawa inasikitisha sana

Uchumi unahitaji utendaji na Sio siasa
 
Kwa namna tunavyo elekea, ulicho project kinawezekana sana mkuu
 
Mfano mei mosi iliyopita walikwenda hawa vijana na wapo kuanzia ngazi ya kata Hadi taifa na posho na gharama za Safari wanalipiwa na maradhi yote na wanalala hoteli
Mkuu 'Muramwaito', mimi nina mashaka sana na hizo pesa kuwa ni za walipa kodi; ingawa hata hilo halitupi nafuu yoyote.
Hizo pesa ni za hawa waarabu wanaotununua sasa. Hivi vi-nchi vya kiarabu vyenye ukwasi mkubwa sasa wanatumia pesa zao kutununua mazima mazima..
Mama kapewa hayo mahela anunue uongozi ili wafadhiri wake waendelee na mipango yao hapa kwetu.
Hata hao wamasai wanaohamishiwa Handeni, hizo hela za kuwajengea vijumba usifikiri mama kaziokota tu mahali, ni kutoka huko huko, ili wenye pesa zao watumie hilo eneo wanakohamishwa wamasai bila ya kubughudhiwa.

Watu ni muhimu tuelewe haya maswala vizuri, ili tunaponunuliwa tuwe tunajuwa hata kama hatuwezi kufanya lolote.
 
Kweli pale Sokoine hawawezi hata kuwafundisha hao vijana kazi hiyo? Hapana, achana na Sokoine, hivi vyuo vya kati tu, havina uwezo huo?

Lakini tunazungukia mambo haya humo humo, ndani kwa ndani wakati tukijuwa, swala siyo ufundi wa kulima mihogo pekee, ni sekta zote, kila mahali, akili zetu sasa ni kutafuta watu wengine waje wafanye. Sisi hatuna tena moyo wala utashi wa kujifanyia wenyewe kwa manufaa yetu wenyewe.

This is a disgrace. Sijapata kuona viongozi wenye akili mbovu kabisa kama hawa waliomo kwenye serikali hii.
Hawa wanalihujumu taifa letu kwa maksudi kabisa, lakini sisi tupo tu tukiwachekea!

Inasikitisha sana.
Hatuna viongozi tuna majangili tupu
 
Dollar haishindani na TZS inashindana na Yen, Pound, Russian Ruble.

Dollar inaweza ikashuka ila TZS inaweza ikashuka pia. Tuombe tuh EWURA watusaidie na bei za mafuta.
 
Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
MAMA ANAZIDI KUPAA NA MADERA YA CCM
 
Umeskia kuhusu BRICS mzee!
Wale mpango mkakati wao ( wa kisiri )ni kuiondoa dollar kwenye utawala wa biashara za kimataifa
Vikwazo vya kiuchumi Marekani alivyomwekea Urusi ni ushindani wa kiuchumi (kati ya mashariki na magharibi)
Mkuu unajua taifa la Marekani hata katika biblia kwenye kitabu cha ufunuo 13 limetajwa ni vile inahitaji ufahamu kutambua

Kwaiyo taifa la Marekani lipo kimkakati Mkuu Ndio maana linanguvu na litaendelea kua na nguvu ya kiuchumi Kwaiyo hakuna jumuia yoyote inaweza kuiondoa Dollar kwenye utawala wa Dunia bali dollar na uchumi wake wa Marekani vitazidi kuimarika na kuimarika kila Leo
 
Back
Top Bottom