Kweli pale Sokoine hawawezi hata kuwafundisha hao vijana kazi hiyo? Hapana, achana na Sokoine, hivi vyuo vya kati tu, havina uwezo huo?
Lakini tunazungukia mambo haya humo humo, ndani kwa ndani wakati tukijuwa, swala siyo ufundi wa kulima mihogo pekee, ni sekta zote, kila mahali, akili zetu sasa ni kutafuta watu wengine waje wafanye. Sisi hatuna tena moyo wala utashi wa kujifanyia wenyewe kwa manufaa yetu wenyewe.
This is a disgrace. Sijapata kuona viongozi wenye akili mbovu kabisa kama hawa waliomo kwenye serikali hii.
Hawa wanalihujumu taifa letu kwa maksudi kabisa, lakini sisi tupo tu tukiwachekea!
Inasikitisha sana.