Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
- Thread starter
- #101
Kufanya malipo ya usd kwa kutumia acc ya TZS au mitandao ya somu ni dalili za ukosefu wa maarifaTunaotuma pesa mtandaoni iko $1 = TShs 2,858
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanya malipo ya usd kwa kutumia acc ya TZS au mitandao ya somu ni dalili za ukosefu wa maarifaTunaotuma pesa mtandaoni iko $1 = TShs 2,858
Basi nimeula hapo maana nina zero mbili mbeleHigh season is here, nikiotea 350Usd ni milioni na ushee
Mwaka gani huo?Yaani kutoka 1 US $ = Tsh 5 mpaka Elfu 3000 inasikitisha sana.
Toka kwenye keyboard otherwise tunapoteza muda
$375 nadhaniNikiwa na 1M ya madafu nikichange kwa dola ya sasa, kwahy mwisho wa mwaka nitakuwa na Tsh ngapi.?
Tatizo kubwa ni wasomi kama nyie ni wasomi wa nyuma ya keyboard, mtu kama lissu mnaona anataka kuvuruga aman
Hakuna
Nchi iliyoendelea kwa wasomi kujificha nyuma ya keyboard kama wewe kaka
Kika kitu kilianza kwenye maandishi ndio maana wenzetu wanapiga hatua.
Wanaheshimu Idea na kusoma vitabu.
Hata imani na matendo mema yanatokana na maandishi .
Lisu anasoma sana tunayoyaandika ndio maana anapata moyo na morali kubwa ya kutangulia mbele na kiwaambia wananchi haya tunayoyasema .
Usiposoma na kujua mioyo ya watanganyika inataka nini utakosea sana.
Mfano kwa sasa Mbowe na Lisu ni kama watu wa vyama viwili tofauti kutana na ukweli kwamba mmoja anasoma sana mitandoa na vitabu na kujua kuwa bado watanzania hasa Watanganyika wanachukia sana ufisadi na wizi wa mali za umma.
Taasisi zote za serikali zinalipisha watanganyika ada za vibali na leseni kwa Dola bila hata chembe ya aibu hawana imani na shlng ?Hii nchi watangayika wamepumbazwa na wakapumbazika .
Yaani nchi ina soko la ndani la watu mil. 65. Ina amani, ina raslimali za kutosha, imepakana na nchi Nane na Bahari inayopokea soko lote la Nchi za mashariki halafu Imegeuka kuwa nchi ya wachuuzi wasioweza hata kukusanya pesa za ushuru wa bandari na wa viwanja vya ndege.
Baada ya adui kuteka viwanja vya ndege vya Tanganyika na bandari sasa ipo siku atatuambia kuwa hatuna uwezo wa kujilinda tunahitaji ulinzi wa nchi nyingine kutoka Uarabuni kama ilivyo Ufaransa na baadhi ya nchi za Afrika ya Magharibi.
Haiwezakani mpaka hela ya kenya inapanda thanani wakati wahitaji malighafi na chakula kutoka Tanzania .
Wakenya wanaingia mpaka Vijijini kununua vyakula badala ya waTannganyika wenyewe kununua na kuweka kwenye maghala na kuwaizia wageni ili pesa za kigeni zibadolishwe kwenye mifumo rasmi.
Kelele za waziri wa kilimo ni nyingi lakini hatuoni wakijenga masoko mipakani.
One stop center zinatakiwa kwenye mipaka yote ili wanaoingia mipakani kununua mazao waapate masoko mipakani . Na pesa zipitie mifumo rasimi .
Mikopo Inachukuliwa kila siku halafu inaishia kwenye sadari za nje na ndani za kila siku na misafara mirefu inayotumia mafuta kutoka nje kwa kununua magari ya kifahari kila kukikcha .
Majengo ya serikali yanawekwa Furniture kutoka chini kwa mikopo kutoka ulaya .
😁😁🐸👈, akuna mtu anapandisha thamani ya pesa bidhaa zikiwa nyingi sokoni lazima bei ishuke tu!.Unatangaza umbumbumbu wako fedha na uchumi
Madharayake pesa ya ndani itashuka thamani mala dufu kwa kutumia sana pesa za nche.Mkuu naomba unieleweshe kama sisi tukifanya hivyo madhara yake ni nini? Yaani kwamba tuondoe madafu kwenye mzunguko halafu ibaki $ inatamba
UWT mpo tayari kuongozwa hata na shetaniMama aongoze hata miaka 10
Mwigulu anachojali ni kujishikilia pale ili awe na uhakika wa mkono kwenda kinywani tuu.Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!
Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!
Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Kwenda zako chawa mkubwaR.I.P Magufuli
Kenya wanatukimbiza kila konaYaani kutoka 1 US $ = Tsh 5 mpaka Elfu 3000 inasikitisha sana.
Kila safari ya nje anarudi na burungutu la mikopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tutalipa baada ya miaka 40Wao maza anaupiga mwingi sn
Anaupiga mwingi hadi mwingine unamwagikamaza ni mchapakazi haswa
Ukiuliza unaqmbiwa unademkaKutwa anazunguka kukopa badala ya ku-export unategemea nini?
Kuna mazombie wengi sana wanafurahia hilo jina walilobatizwa na Masiah wao jiweNawahurumia sana Wanyonge
Wacha kumgusa Masiah wao,yaani kiongozi wa malaika,shujaa wa AfrikaMagufuli ndiye alituletea Samia, kama sio magufuli tusingekua na rais kama samia. Alaumiwe magufuli kwa hili balaa