Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Tatizo kubwa ni wasomi kama nyie ni wasomi wa nyuma ya keyboard, mtu kama lissu mnaona anataka kuvuruga aman

Hakuna
Nchi iliyoendelea kwa wasomi kujificha nyuma ya keyboard kama wewe kaka


Lisu anasoma sana tunayoyaandika ndio maana anapata moyo na morali kubwa ya kutangulia mbele na kiwaambia wananchi haya tunayoyasema .

Usiposoma na kujua mioyo ya watanganyika inataka nini utakosea sana.

Mfano kwa sasa Mbowe na Lisu ni kama watu wa vyama viwili tofauti kutana na ukweli kwamba mmoja anasoma sana mitandoa na vitabu na kujua kuwa bado watanzania hasa Watanganyika wanachukia sana ufisadi na wizi wa mali za umma.
 
Lisu anasoma sana tunayoyaandika ndio maana anapata moyo na morali kubwa ya kutangulia mbele na kiwaambia wananchi haya tunayoyasema .

Usiposoma na kujua mioyo ya watanganyika inataka nini utakosea sana.

Mfano kwa sasa Mbowe na Lisu ni kama watu wa vyama viwili tofauti kutana na ukweli kwamba mmoja anasoma sana mitandoa na vitabu na kujua kuwa bado watanzania hasa Watanganyika wanachukia sana ufisadi na wizi wa mali za umma.

Mbowe ni CCM na anazuga pale , hana ishu na hana impact nashangaa why bado ni mwenyekiti.

Yule ni mfia tumbo and mbowe is just a bogus ndio maana hawezi kufanya kazi na cream
 
Hii nchi watangayika wamepumbazwa na wakapumbazika .

Yaani nchi ina soko la ndani la watu mil. 65. Ina amani, ina raslimali za kutosha, imepakana na nchi Nane na Bahari inayopokea soko lote la Nchi za mashariki halafu Imegeuka kuwa nchi ya wachuuzi wasioweza hata kukusanya pesa za ushuru wa bandari na wa viwanja vya ndege.

Baada ya adui kuteka viwanja vya ndege vya Tanganyika na bandari sasa ipo siku atatuambia kuwa hatuna uwezo wa kujilinda tunahitaji ulinzi wa nchi nyingine kutoka Uarabuni kama ilivyo Ufaransa na baadhi ya nchi za Afrika ya Magharibi.

Haiwezakani mpaka hela ya kenya inapanda thanani wakati wahitaji malighafi na chakula kutoka Tanzania .

Wakenya wanaingia mpaka Vijijini kununua vyakula badala ya waTannganyika wenyewe kununua na kuweka kwenye maghala na kuwaizia wageni ili pesa za kigeni zibadolishwe kwenye mifumo rasmi.

Kelele za waziri wa kilimo ni nyingi lakini hatuoni wakijenga masoko mipakani.

One stop center zinatakiwa kwenye mipaka yote ili wanaoingia mipakani kununua mazao waapate masoko mipakani . Na pesa zipitie mifumo rasimi .

Mikopo Inachukuliwa kila siku halafu inaishia kwenye sadari za nje na ndani za kila siku na misafara mirefu inayotumia mafuta kutoka nje kwa kununua magari ya kifahari kila kukikcha .

Majengo ya serikali yanawekwa Furniture kutoka chini kwa mikopo kutoka ulaya .
Taasisi zote za serikali zinalipisha watanganyika ada za vibali na leseni kwa Dola bila hata chembe ya aibu hawana imani na shlng ?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu naomba unieleweshe kama sisi tukifanya hivyo madhara yake ni nini? Yaani kwamba tuondoe madafu kwenye mzunguko halafu ibaki $ inatamba
Madharayake pesa ya ndani itashuka thamani mala dufu kwa kutumia sana pesa za nche.
 
Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Mwigulu anachojali ni kujishikilia pale ili awe na uhakika wa mkono kwenda kinywani tuu.
 
Back
Top Bottom