Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Madhara makubwa ya vita ya Ukraine VS Urusi,Middle East instability imefanya uchumi wa dunia uyumbe zaidi..

Nchi zijazoendelea zinapaswa kuchukua hatua Za makusudi kujenga uchumi imara wa ndani usioegemea Kwenye Importation and trading..

Tufanye uzalishaji mkubwa wa ndani..Tupunguze uagizaji unaogharimu mabilioni ya dola kila mwaka..

Tupunguze matumizi yasio ya lazima..Tusimamishe miradi mikubwa..Uwekezaji kwenye kilimo uongezeke
 
Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!

Hii ni kuuza dola

Kununua dola now 2800
 
Magufuli ndiye alituletea Samia, kama sio magufuli tusingekua na rais kama samia. Alaumiwe magufuli kwa hili balaa

Chaguo lake lilikuwa ni mwinyi. Ila ngosha ni ngosha. Second term he was supposed kuwa na makamu mwingine

Ishu ya uzanzibar kuwa makamu ilichangia ili kubalance muungano. Ila hiz habari za kubalance muungano some days zitatucost snaa

All in all mama anaupiga mwingi all the best my Samia
 
Hii nchi watangayika wamepumbazwa na wakapumbazika .

Yaani nchi ina soko la ndani la watu mil. 65. Ina amani, ina raslimali za kutosha, imepakana na nchi Nane na Bahari inayopokea soko lote la Nchi za mashariki halafu Imegeuka kuwa nchi ya wachuuzi wasioweza hata kukusanya pesa za ushuru wa bandari na wa viwanja vya ndege.

Baada ya adui kuteka viwanja vya ndege vya Tanganyika na bandari sasa ipo siku atatuambia kuwa hatuna uwezo wa kujilinda tunahitaji ulinzi wa nchi nyingine kutoka Uarabuni kama ilivyo Ufaransa na baadhi ya nchi za Afrika ya Magharibi.

Haiwezakani mpaka hela ya kenya inapanda thanani wakati wahitaji malighafi na chakula kutoka Tanzania .

Wakenya wanaingia mpaka Vijijini kununua vyakula badala ya waTannganyika wenyewe kununua na kuweka kwenye maghala na kuwaizia wageni ili pesa za kigeni zibadolishwe kwenye mifumo rasmi.

Kelele za waziri wa kilimo ni nyingi lakini hatuoni wakijenga masoko mipakani.

One stop center zinatakiwa kwenye mipaka yote ili wanaoingia mipakani kununua mazao waapate masoko mipakani . Na pesa zipitie mifumo rasimi .

Mikopo Inachukuliwa kila siku halafu inaishia kwenye sadari za nje na ndani za kila siku na misafara mirefu inayotumia mafuta kutoka nje kwa kununua magari ya kifahari kila kukikcha .

Majengo ya serikali yanawekwa Furniture kutoka chini kwa mikopo kutoka ulaya .

Tatizo kubwa ni wasomi kama nyie ni wasomi wa nyuma ya keyboard, mtu kama lissu mnaona anataka kuvuruga aman

Hakuna
Nchi iliyoendelea kwa wasomi kujificha nyuma ya keyboard kama wewe kaka
 
Hilo suala wala hata huhitaji utabiri. Liko obvious sana.
Ni sawa na kusema mwaka huu mpaka unaisha bei ya Petrol haitakua chini ya 3,500.
Mbona trend zinaonyesha dhahir shair bila kuficha
 
Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Tunaotuma pesa mtandaoni iko $1 = TShs 2,858
 
Pesa ya Zimbabwe (ZWL) iliwahi kushuka mpaka mtu unaenda sokoni na tololi la minoti eti tololi zima kwa kuchenge to Tz ni shilling 40000.
Wakaona ni ujinga walicho fanya wanatumia USD doral kama pesa ya taifa.
Mkuu naomba unieleweshe kama sisi tukifanya hivyo madhara yake ni nini? Yaani kwamba tuondoe madafu kwenye mzunguko halafu ibaki $ inatamba
 
Back
Top Bottom