Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Bei ya dola inaendana na forces za demand and supply, ambazo zinaendana na balance of trade, import and export.

Nchi kama Tanzania ikiwa ina import sana na exports ni ndogo, dola itapanda tu.

Sasa mna import mpaka toothpicks, dola itashukaje?
 
Bei ya dola inaendana na forces za demand and supply, ambazo zinaendana na balance of trade, import and export.

Nchi kama Tanzania ikiwa ina import sana na exports ni ndogo, dola itapanda tu.

Sasa mna import mpaka toothpicks, dola itashukaje?
Ndio maana nikasema kuna uwezekano ikafika 3000tsh ndani ya mwaka huu.
 
Dola huenda itashuka thamani maana black market saiv ni 2790 Kuna kipindi ilikua 2830

NB; Sina uelewa mpana wa masuala ya kiuchumi
Pesa ya Zimbabwe (ZWL) iliwahi kushuka mpaka mtu unaenda sokoni na tololi la minoti eti tololi zima kwa kuchenge to Tz ni shilling 40000.
Wakaona ni ujinga walicho fanya wanatumia USD doral kama pesa ya taifa.
 
Kufunbndisha vijana wetu kulima mihogo?
Nimetoa mfano tu lakini ni kwa kila zao.
wakulima wetu hawana utaalam wa kulima na mazao kwa kowango kinachohitajika.
wasomi wenye elimu ya kilimo sio wakulima .
Wenzetu wanalima kama kazi na ajira ya muda wote . Sisi kwetu wasomi wanalima kwa kusikia kuwa bei imepanda . ikishuka hawalimi. Kumbe ilitakiwa serikali muda wote iwasaidie wakulima ili mazao yasipande sana bei wala yasishuke sana ili majirani wasiweze kushindana kulima zaidi waone soko la uhakika la kununua chakula lipo Tanzania.
watu wanatakiwa wajifunze kulima kwa wingi zaidi na sio kulima kidogo kwa bei kubwa.

Vyakula vikiwa vingi utakua na kuku wengi,ngombe wengi , samaki wengi, nguruwe wengi ,kanga wengi, kondoo, wengi, mbuzi wengi ,punda wengi n.k.
Vyakula vitashuka bei kwenye soko la ndani na mzunguko wa fedha utakua mkubwa ndani ya nchi na kuuza nje pia .
 
Yaani utoe pesa uwalete wachina badala ya kuwapeleka watu wako wakapate exposure na utaalam ?

China iliwapeleka Watu wake kwa maelfu kusoma Marekani miaka 50 iliyopita leo china inaikimbiza Marekani kwenye kila kitu.

Nyerere aliwapeleka vijana wengi kusoma Urusi na Cuba na wengi ndio Maveterani walioko CCM na wastaafu wanaojaribu kujenga uzalendo unaoporomoka kwa kwasi. Impact yao ya kwenda kujifinza Cuba na Urusi bado ipo kwa miaka zaidi ya 40 .

Kwenda kujifunza kwa kwa kuona ni jambo la Muhimu kuliko.

Lakini pia hizo fursa zilikua zinatolewa lakini achawa na wahuni walipoanza kuvamia serikali nafasi hizo zikachukuliwa na machawa na mahawara kwenda kula bata na kupiga picha kwenye majengo marefu.
Bashe amefanya utapeli wa kupeleka makada Israel ni nini kimetokea? ni utapeli tupu, waje wafundishe watu wengi
 
Mpaka sukari 😁😁😁 awajui tunavyo fanya manunuzi ya nchi pesa za kigeni zinapungua yani nisawa pesa za tz zinakua nyingi sokoni na wanunuzi awapo lazima ziuzwe kwenye mafungu tu kuvutishia wanunuzi.
Bei ya dola inaendana na forces za demand and supply, ambazo zinaendana na balance of trade, import and export.

Nchi kama Tanzania ikiwa ina import sana na exports ni ndogo, dola itapanda tu.

Sasa mna import mpaka toothpicks, dola itashukaje?
 
Pesa ya Zimbabwe (ZWL) iliwahi kushuka mpaka mtu unaenda sokoni na tololi la minoti eti tololi zima kwa kuchenge to Tz ni shilling 40000.
Wakaona ni ujinga walicho fanya wanatumia USD doral kama pesa ya taifa.
Hapo sasa wale wataaalamu wa uchumi watusaidie kwenye masuala ya fiscal & monetary policy ili sarafu yetu iwe na stability
 
Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!

Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!

Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Mkuu jambo obvious halina utabiri. Ni sawa na kusema mwaka huu itanyesha mvua.
 
Hii nchi watangayika wamepumbazwa na wakapumbazika .

Yaani nchi ina soko la ndani la watu mil. 65. Ina amani, ina raslimali za kutosha, imepakana na nchi Nane na Bahari inayopokea soko lote la Nchi za mashariki halafu Imegeuka kuwa nchi ya wachuuzi wasioweza hata kukusanya pesa za ushuru wa bandari na wa viwanja vya ndege.

Baada ya adui kuteka viwanja vya ndege vya Tanganyika na bandari sasa ipo siku atatuambia kuwa hatuna uwezo wa kujilinda tunahitaji ulinzi wa nchi nyingine kutoka Uarabuni kama ilivyo Ufaransa na baadhi ya nchi za Afrika ya Magharibi.

Haiwezakani mpaka hela ya kenya inapanda thanani wakati wahitaji malighafi na chakula kutoka Tanzania .

Wakenya wanaingia mpaka Vijijini kununua vyakula badala ya waTannganyika wenyewe kununua na kuweka kwenye maghala na kuwaizia wageni ili pesa za kigeni zibadolishwe kwenye mifumo rasmi.

Kelele za waziri wa kilimo ni nyingi lakini hatuoni wakijenga masoko mipakani.

One stop center zinatakiwa kwenye mipaka yote ili wanaoingia mipakani kununua mazao waapate masoko mipakani . Na pesa zipitie mifumo rasimi .

Mikopo Inachukuliwa kila siku halafu inaishia kwenye sadari za nje na ndani za kila siku na misafara mirefu inayotumia mafuta kutoka nje kwa kununua magari ya kifahari kila kukikcha .

Majengo ya serikali yanawekwa Furniture kutoka chini kwa mikopo kutoka ulaya .
Kenya wanazalisha, wana viwanda vingi kwa hiyo mahitaji yao mengi ni ndani yanatoka. Tanzania uzalishaji ni mdogo sana hapa kuwa wachuuzi tu na pia tumefanya miradi mikubwa sana pamoja na ndege kwa hiyo balance inapotea. Demand and supply. Tuache kutoza kodi kwa $ tupige marufuku matumizi ndani ya nchi kwa dola.
 
Sasa nigeria kimeumana pesa imeshuka kalibu mara 5 ya pesa yetu mpaka watu wananunua doral kwaajili ya baadaye.
Screenshot_20240531-010151.png
Screenshot_20240531-010127.png
 
Bashe amefanya utapeli wa kupeleka makada Israel ni nini kimetokea? ni utapeli tupu, waje wafundishe watu wengi


Siku hizi wanaopelekwa sio wakulima ni Marafiki na ndugu ,machawa na mahawara.

Mafano tu vijana wanaomaliza Vyuo vikuu vya kilomo walitakiwa wapelekwe Kufundisha Kilimo JKT na Magereza badala ya kuendelea kulima kwa kusimamiwa kama jeshi iwe ni kuwajengea vijana uwezo na utaalamu katika kilimo badala hali ya sasa ya kusema ni kuwatoa vijana utaia huku wakiwa hawana uwezo wa kulima hata mchicha majumbani mwao na kuuza au kupata chakula .
 
Siku hizi wanaopelekwa sio wakulima ni Marafiki na ndugu ,machawa na mahawara.

Mafano tu vijana wanaomaliza Vyuo vikuu vya kilomo walitakiwa wapelekwe Kufundisha Kilimo JKT na Magereza badala ya kuendelea kulima kwa kusimamiwa kama jeshi iwe ni kuwajengea vijana uwezo na utaalamu katika kilimo badala hali ya sasa ya kusema ni kuwatoa vijana utaia huku wakiwa hawana uwezo wa kulima hata mchicha majumbani mwao na kuuza au kupata chakula .
Upo sahihi kila kitu kimegeuzwa fursa kwa makada wa CCM
 
Back
Top Bottom