Mkuu unajua taifa la Marekani hata katika biblia kwenye kitabu cha ufunuo 13 limetajwa ni vile inahitaji ufahamu kutambua
Kwaiyo taifa la Marekani lipo kimkakati Mkuu Ndio maana linanguvu na litaendelea kua na nguvu ya kiuchumi Kwaiyo hakuna jumuia yoyote inaweza kuiondoa Dollar kwenye utawala wa Dunia bali dollar na uchumi wake wa Marekani vitazidi kuimarika na kuimarika kila Leo