Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Watu bado wanakomaa eti utabiri umetokea nusu! Alicho tabiri kimesha tokea sio mpaka kitokee sawa kabisa na alivyo ona ishu iliyopo ss ndio tumeona alicho tabiri bhasi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitak kujua Binaadam ana wivu na roho mbaya we angalia wanaopinga huu utabiri.

Roho za Wivu na kichawi.

Utabiri si lazima utimie wote. Ishu ni dhima kuu ambayo ni AJALI na tyr ishatokea
 
Ni kweli imetokea leo hiyo ajali ziwa victoria ndege ya precision air imeanguka ziwani
 
Ukitak kujua Binaadam ana wivu na roho mbaya we angalia wanaopinga huu utabiri.

Roho za Wivu na kichawi.

Utabiri si lazima utimie wote. Ishu ni dhima kuu ambayo ni AJALI na tyr ishatokea
Kweli! Ishu hapa sio alicho ona mtabiri, ishu ni ss tuliyo yashudia baada ya utabiri, kua ilikua inapaa au ilikua inatua, ilikua nyeusi au nyeupe havihusiani anahitaji credits zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…