Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Jamaa ni Mtabiri mzuri sana,na wengine huwa tunakuwaga na maono mengi sema ni ni hofu ya kuyasema ,mengi huwa ni exactly 80% hata kwenye personal life...haya yanawezekana kuonyeshwa ya mbele japo siyo lazima yafanane yote...

Kudos..kwake
 
Precision ya kwenda bukoba imedondoka kwenye maji leo wakati wa kutua pale uwanjani, je kuna uhusiano na utabiri wako huu? Ila kale ka uwanja kamekaa vibaya sana, maana one mistake basi ndege itatua majini au itapitiliza mpaka nje ya uwanja.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…