Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Kaupiga mwingiNdio mrithi huyu
Nyingne ni ndoto tu sio kila kitu ni roho wwDuuh aisee imebidi nirudi kwa uzi.
Ajali imetokea kweli. Is this a coincidence. Wazee wa ulimwengu wa roho mtuelezee.
Hujanielewa fundi bishoo maana ya kusema vileNyingne ni ndoto tu sio kila kitu ni roho ww
Hukuwa na haja ya kumtukana jamaa kipindi hicho October maana hakuchukua hata mia yako kutabiri haya..[emoji3][emoji3]Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Watu wa Mungu hawatukani. Ona sasa huna imani na ajali imetokea kweli.Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Tuendelee kufuatilia taarifa zaidi aliandika maiti na majeruhi wa mwanzo kuokolewa ni watotoUsingizini hakuona rangi vizuri .
Inawezekana mkuu ikawa n kweli sjakuelewaHujanielewa fundi bishoo maana ya kusema vile
Utabiri wako umechemshaSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Halafu ili kuutukanisha UISLAM unaanza na kutoa salam ya kiislam ili watu wajue mtoa mada kuwa ni muislam, na hayo ndio yanayo waaminisha watu kuwa waislam ni wapiga ramli,Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Mlokole wa mchongoWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Uko sahih kbsa ,binfsi niliwai ota ndoto ruto kuwa rais nilijikalia kimya kwamm mm hata nilitaka odinga awe rais ,ajabu imekuwa kweli na ndoto ile ilijirudia Mara mbili mbiliWatu bado wanakomaa eti utabiri umetokea nusu! Alicho tabiri kimesha tokea sio mpaka kitokee sawa kabisa na alivyo ona ishu iliyopo ss ndio tumeona alicho tabiri bhasi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekuja mkuuNjoo uone
[emoji23][emoji23] jamaa anamwambia mtabiri kuwa mpambafu huku akilitaja jina la yesuHukuwa na haja ya kumtukana jamaa kipindi hicho October maana hakuchukua hata mia yako kutabiri haya..[emoji3][emoji3]