Umesikia wapi mkuu au Kuna chombo kinarusha breaking news hyi"Mungu ni mwema sana,Hatimae abiria wote 49 wametoka salama.
Heshima kwenu JESHI pamoja na wananchi kwa kazi nzuri,Mungu azidi kuwashindia.[emoji120][emoji120]"--Copy & Paste
Hizo ni ndoto tu, amini kwamba kuna wengine waliota raila atakuwa raisi na walimpenda rutoUko sahih kbsa ,binfsi niliwai ota ndoto ruto kuwa rais nilijikalia kimya kwamm mm hata nilitaka odinga awe rais ,ajabu imekuwa kweli na ndoto ile ilijirudia Mara mbili mbili
Inatokea! Ila dah! Odinga alikua sahihi kabisa kuiendesha kenya basi tuUko sahih kbsa ,binfsi niliwai ota ndoto ruto kuwa rais nilijikalia kimya kwamm mm hata nilitaka odinga awe rais ,ajabu imekuwa kweli na ndoto ile ilijirudia Mara mbili mbili
Kwani alitabiri au aliota??Utabiri wako umechemsha
AmenWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Mbona tunaambiwa kwa vitabu Yusuf alipata ndoto za mambo yatakayotokea mbele na ikatokea. Wengine wanapewa uwezo tu wa kuota mambo na yakatokea. Tuache ujuaji wa dini tulizoletewa na 'mabwana' zetu wa Mashariki ya mbali. Sijaona kosa lake.Halafu ili kuutukanisha UISLAM unaanza na kutoa salam ya kiislam ili watu wajue mtoa mada kuwa ni muislam, na hayo ndio yanayo waaminisha watu kuwa waislam ni wapiga ramli,
Katika mafundisho ya kiislam hakuna mtu mwenye elimu ya jambo linalotarajiwa kutokea, huo ni USHIRIKINA, na nikinyume kabisa na uislam, km mnakuwa na mada zenu za kishirikina acheni kujinasibisha na uislam toeni tu salam zenu za kawaida, endeleeni na mambo yenu, inafahamika hili ni jukwa huru, ila msitutukanishie dini yetu.
We Mzee [emoji16][emoji16][emoji23]Lolote laweza kutokea.. Maombi na sala huepesha haya mambo
Ulikua na haja gani kumtukana....nadhani umejifunza siku nyingine hutakua mpumbavWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
I noted that too! Mzee wa Kilinge anaelewa principleKati ya watu wote wa mwanzo kukomenti, Mzee wa Kilinge ulikomenti kwa kulinda heshima yako[emoji122]
Halafu ili kuutukanisha UISLAM unaanza na kutoa salam ya kiislam ili watu wajue mtoa mada kuwa ni muislam, na hayo ndio yanayo waaminisha watu kuwa waislam ni wapiga ramli,
Katika mafundisho ya kiislam hakuna mtu mwenye elimu ya jambo linalotarajiwa kutokea, huo ni USHIRIKINA, na nikinyume kabisa na uislam, km mnakuwa na mada zenu za kishirikina acheni kujinasibisha na uislam toeni tu salam zenu za kawaida, endeleeni na mambo yenu, inafahamika hili ni jukwa huru, ila msitutukanishie dini yetu.
Kasema unakua kesho [emoji16]Unajikuta mtabiri tambi tambi eeh, wa ardhi ya mbambadu
U sound like a proHuenda alikosa right interpretation, kama unaona maono na nafsi haijatulia au haina hali ya usafi ( purity ) matokeo yake ndio hayo. Nafsi ikiwa haipo sawa ngumu kupata taarifa kwa usahihi zinakuwa kama parable
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Aah kmmmkDamu ya yesu imegonga mwamba this time
RamliSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Ramli chonganishiSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Acha haya bwana [emoji23]Damu ya yesu imegonga mwamba this time
Jamaa kasema Utakufa [emoji23][emoji23][emoji16]Utabiri haujatimia, huyu jamaa alisema ndege itakatika vipande viwili na ndege ina beji nyekundu. Lakini sio kweli vyote hivyo
Tuache upuuzi watanzania