Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Huyu jamaa anayesema analifunika anga kwa damu ya YESU ...yupo sahihi! tatizo hakutakiwa kutumia lugha hiyo ya ukali.

Pia watu wa Mungu hawakuchukua muda mrefu kuliombea suala hilo na madhara yake wakafa na wengine wakaokolewa..Mipango ya shetani ilikuwa wafe wengi zaidi ya hapo .

Na pia tusisahau kuwa kuna mambo mengine MUNGU huyaruhusu yatokee kwa sababu zake maalum hata kama wewe utaomba hutoyazuia...Mimi binafsi nakuelewa japo wengi hawakuelewi
 
Shida mnaonaga mabaya TU , vizuri hata iweje hamsemi tutaachaje kuwaona sio.
 
Tujitahidi kuficha ujuaji mwingi usio na faida.
 

Mleta uzi ni mtu aina yake (wakipekee sana). Nimepitia baadhi ya nyuzi zake nyuma sana nimekutana na mambo mazito
 
waliofika na Qatar Airways nadhani wa;isema flight QR 1487 Jumamosi mchana kutoka Doha kuja dar es salaam wanalalamika kuwa landing haikuwa yakawaida! Yaani hakukuwa na cha kutua kwa taili la kushoto tofautiana kimo na taili la kulia kwa "unene wa wembe "( hii kama umemuelewa Prof Zacharia M. wa NIT)!

Yaani wanasema ilikuwa vuruluvurulu tu na kurushana roho!!!
 

Mleta uzi, hapa maono yake yalitimia na mengine yanaendelea kutimia.

JF kuna member wanne sasa wa kua nao makini kila wanachokipost.

1. Tumia Akili (mtu wa system)
2. Tumain El (mtu wa dini dini - sina uhakika na user name yake)
3. Maharage ya ukweni (maono)
4. Yoga (mtu wa system)
 
Hatimaye ndege imeipolewa na imekatika vipande viwilo...Mungu awalaze mahali pema peponi marehemu wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 

Attachments

  • _20221108_140734.JPG
    214.4 KB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…