mteule senior
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 293
- 196
Huyu jamaa anayesema analifunika anga kwa damu ya YESU ...yupo sahihi! tatizo hakutakiwa kutumia lugha hiyo ya ukali.Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Duh.....Msimdhihaki Huyu mshikaji hebu tafuteni nyuzi zake na comment alizowahi kuandika hakoseagi.
Hili ndio neno kuna ulimwengu mwengine unapanga mambo Yake ukiwa mwanachama unafaham...Isije kuwa hii ajali ilikuwa planned systematically na huyu jamaa anajua za ndani ila ameamua kuziweka kama utabiri?...
I'm thinking out loud!
Akikujibu ni tag
Tujitahidi kuficha ujuaji mwingi usio na faida.Kwani wewe unaona ile ni ajali? Ajali waliopanga hao wachawi, wakajifanya kuleta utabiri, ni kuua wote. Kilichotokea pale uchawi wao Mungu kauzuia ila, karuhusu hicho kilichotokea ili tujifunze kitu.
Ajali ya ndege waliopanga hao wschawi ni moto pale mngekuta masizi na vipande 2 vikiungua. Ile imezuiwa ila uzembe wa serikali umeua hao watu.
YupoVp hakuna kiongozi yoyote wa juu atakufa?
Hatimaye ndege imeipolewa na imekatika vipande viwilo...Mungu awalaze mahali pema peponi marehemu woteSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Nani mpumbaf boss kati yako na jamaa?Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
we jamaa utakuwa na msongo wa mawazo,Sijamaliza niliweka maandazi sasa hivi naongezea na chai .View attachment 2409466
Credit mnazompa za bure kabisa .Hajataja muda ,pamoja na makosa mengine.
Na mimi natabiri ,lazima mimi siku moja nice.