Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?
Maharage ya ukweni we inabidi ushikiliwe na polisi, inabidi utoe ufafanuzi imekuwaje umejuaje kama ajali itatokea,

Halafu unasema ety, maono wakati umesema ndege itakatika kati na ina beji nyekundu. Huo utabir au utapeli!!!

Serikali inabidi ikufuatilie kupitia jamii forums na email yako ya jf
 
Dahh na kweli ndege ilikatika vipande viwili dahhhh 😥 we Jamaaa wewe
 

Attachments

  • DB76F45E-B034-4B83-AE5C-4CDBB81AC007.jpeg
    40.3 KB · Views: 13
Nani mpumbaf boss kati yako na jamaa?
Msamehee bure ndg yangu,huyo Kesha cremishwa kua kila kitu ni Yesu,hadi anazarau hadi nguvu zake za asili! Unaweza kuta kaoteshwa wwe lakini akiamka asubuhi hakumbuki hata ndoto moja! Maana asikuambie Mtu,watu wengi sana wakilala wanaota,ata Mimi naota pia,sema mziki uko kuikumbuka hiyo ndoto yote asubuhi,kila ukiivuta haiji ngooo!!!
 
Ina maana hujaona kwamba ndege imekatika katikati!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…