martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 863
- 1,462
Maharage ya ukweni we inabidi ushikiliwe na polisi, inabidi utoe ufafanuzi imekuwaje umejuaje kama ajali itatokea,Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?
Dahh na kweli ndege ilikatika vipande viwili dahhhh 😥 we Jamaaa weweSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
View attachment 2410365
Mi mtoa mada alivyosema tu ameota ndotoni basi ninakubali, maana ndoto ni tendo la asili,huwezi kusema eti naenda kulala nataka niote kitu flani!!Haya sasa picha limekamilika. Wale waliokashfu mtoa utabiri rudini na barakoa za uso.
Kukaa kimya ni busara zaidi.
Msamehee bure ndg yangu,huyo Kesha cremishwa kua kila kitu ni Yesu,hadi anazarau hadi nguvu zake za asili! Unaweza kuta kaoteshwa wwe lakini akiamka asubuhi hakumbuki hata ndoto moja! Maana asikuambie Mtu,watu wengi sana wakilala wanaota,ata Mimi naota pia,sema mziki uko kuikumbuka hiyo ndoto yote asubuhi,kila ukiivuta haiji ngooo!!!Nani mpumbaf boss kati yako na jamaa?
Kumbe ndege ilivunjika. Duuh jamaa noma
Ina maana hujaona kwamba ndege imekatika katikati!!??Maharage ya ukweni we inabidi ushikiliwe na polisi, inabidi utoe ufafanuzi imekuwaje umejuaje kama ajali itatokea,
Halafu unasema ety, maono wakati umesema ndege itakatika kati na ina beji nyekundu. Huo utabir au utapeli!!!
Serikali inabidi ikufuatilie kupitia jamii forums na email yako ya jf
You have a share in certain spirit...ndo mana unaonaNdio mkuu ni katika ndoto wala sipigi ramli wala sina uwezo wa kuchagua jambo la kuonyeshwa,huwa ni only serious issues
Kwa akili ya kawaida, ww ungemuamini kama angekupa tahadhari?Sasa kwanini hukutoa tahadhari?.au ulikua hujui itatokea nchi gani
Sikuzuii kuwaza unavyowaza lakini hii bado ni chai.we jamaa utakuwa na msongo wa mawazo,
Du. Umewapata wajinga wajinga wengi sana. Hakuna cha utabiri hapa, ni coincidence tu.Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?
Fatilia nyuzi zake za nyuma utajua kama ni coincidence au umeamua ku-rapDu. Umewapata wajinga wajinga wengi sana. Hakuna cha utabiri hapa, ni coincidence tu.
Nyuzi zipi? Ule aliosema ''gaidi'' atafungwa kumbe ndiyo anaachiwa?Fatilia nyuzi zake za nyuma utajua kama ni coincidence au umeamua ku-rap