FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
Usiwe mbishi. Maono yana namna yake hayaendi kwa kanuni unazotaka wewe.Utabiri haujatimia, huyu jamaa alisema ndege itakatika vipande viwili na ndege ina beji nyekundu. Lakini sio kweli vyote hivyo
Tuache upuuzi watanzania
Pole Kaka, ujuaji haulipi.
Usiposikiliza ya wakuu utakufa tu.