Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

FB_IMG_1667919656885.jpg
 
Hii ndege ilituhadaa ikiwa majinikana kwamba inakunywa maji tukadhani itafanyiwa marekebisho irudi angani kumbe iliisha jumla.

Hata walionusrika hawataamini kama ndio wametoka humo!
Umeongea jambo jema,kabla ya kutolewa ilionekana kama nzima
 
Kwenye ndoto sawa inawezekana, mi Mwanangu wa darasa la tano Kama mwezi hivi umepita,aliota Baba yake ninefariki na wako msibani kwenye mazishi yangu,akaamka asubuhi akamwambia Mama yake,na Mama yake akaniambia,nikasema msijali ni ndoto tu hakuna kitu Kama hicho! Baada siku mbili kupita tu,tukapokea taarifa za msiba wa Mama Mkwe Bibi yake na Mwanangu! Basi tukasema kwa pamoja kua ndiyo ile ndoto ya Mtoto imetimia Sasa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Bado haijatimia endelea na toba
 
Manabii wa kweli WAPO na Watakuwepo mpaka siku ya mwisho katika dunia hii

Lakini kuna hawa Manabii wa uongo ambao huwa wanajitangaza sana, nao wapo na watakuwepo ila tumetahadharishwa nao

Tuwe makini.
 
Hakuna pua ya ndege umeona imebebwa toka ziwani mkuu? Au vipande viwili vilitakiwa viweje/ukubwa gani?

Huo unjano pia ni matokeo ya uwepo wa nyekundu. Utundu wa mafundi rangi wanalijua hili. Mama wa rangi zote ni rangi 4 tu; orange si sehemu yazo. Zikichanganywa ndio tunapata zaidi ya rangi hata mia.

Zaidi ya yote: utabiri/ndoto ni kambo ya kiroho (fumbo) kupata usahihi wa tafsiri ni shule nyingine na angalau fasiri itolewe na mtu tofauti na muona maono. Ni nadra kuzikuta hizi karama kwa mtu mmoja. Huyu mwamba katoa alivyoona inafaa na upande wangu kapatia 100%

Ingekuwa wenye ndoto ni mimi na wengine katika hili tungeona njiwa mwenye madoa doa anaanguka ghafla. Badala minofu na manyoya kusambaa wangetoka nzi wakiwa hai na wengine wamekufa. Basi ingeishia hapo. Kuja kupata tafsiri ya ndege ulaya, sijui abiria hadi nembo ni kiwango kingine cha level ya aliens[emoji122]
Wewe naye unachekesha. Yaani unaamini kila kitu kinachowekwa kwenye mitandao. Yaani uliamini kabisa kuwa kuna mtu anaweza kubeba ile cockpit kwa kichwa!!!! Duh!!!!
 
Dada wala sihitaji credit kutoka kwa mtu yeyote lakini jua kwamba nina kipawa na nina uwezo wa kupata maono katika jambo lolote,hivi hujiulizi kwanini sijasema ajali ya gari?au unadhani ajari za gari huwa sizionagi?
Daab mkuu kutabiri Ajali ya ndegee ni zaidi ya Utabiriii maana ndege kupata ajali hasa yenye abiria wengi kwa tanzania ni miaka mingi sasa haijawahi kutokeaa... Aisee una uwezo wa ajabu kiukweli na ile ndege imevunjika vipande viwili daah balaaa sana.
 
Watu wenye maono still wanaexist, shida ni hilo jina lake analotumia mtu anaona kama anatania
 

Mleta uzi, hapa maono yake yalitimia na mengine yanaendelea kutimia.

JF kuna member wanne sasa wa kua nao makini kila wanachokipost.

1. Tumia Akili (mtu wa system)
2. Tumain El (mtu wa dini dini - sina uhakika na user name yake)
3. Maharage ya ukweni (maono)
4. Yoga (mtu wa system)
Yeah they prove us wrong
 
Back
Top Bottom