Proposal mkuu kwa commission gani ?Huu utafiti upo Kwa proposal au
Wewe tuko pamoja sio kama Niambie Tu anayeniulizia issue za maproposalKama inakuja vile!
Yaani ulale mpaka umiss paperInategemea na umuhimu wa jambo linalokufanyavuamke muda huo, masaa uliyolala, hali ya uchovu, na mazingira.
Kuna watu wanaweka alarm na bado wanamiss paper. Yaani hapo ni malaika wako tu wanakusaidia kukuamsha
Mimi huwa nategesha ila zinalia na mimi nikiendelea kuenjoy usingizi kama kawaida, nikibahatika kuisikia lazima nikaizime na kuendelea kulala.Hili nimelifanyia utafiti muda mrefu sana toka niko shule
Kila nikitegesha alarm lazima nitashtuka usingizini kabla ya alarm haijaniamsha
Utakuta nimeset alarm ilie saa 10 kamili usiku lakini cha ajabu kwenye saa 10 kasorobo ama saa tisa na dakika 55 nakuwa nimeshtuka kutoka usingizini
Unakua umeamka kuiamsha alarmHili nimelifanyia utafiti muda mrefu sana toka niko shule...
GIGOHili nimelifanyia utafiti muda mrefu sana toka niko shule
Kila nikitegesha alarm lazima nitashtuka usingizini kabla ya alarm haijaniamsha
Utakuta nimeset alarm ilie saa 10 kamili usiku lakini cha ajabu kwenye saa 10 kasorobo ama saa tisa na dakika 55 nakuwa nimeshtuka kutoka usingizini
Mdogo wangu hii ilinisababishia simu niwe naiweka mbali ili kitendo cha kwenda kuizima alarm basi najua usingizi nishaukimbiza.Sijui kwa nini Alarm ikilia na usingizi unanoga zaidi hapo hapo[emoji3]