stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Uko sahihi,hii mimi pia hua inotokea mara nyingi sana.Hili limenikumbusha kuna kipindi nilitaka kuwanunulia watoto alarm ya kuwasaidia kuamka saa 12 kwenda shule,kwa sababu kuna wakati nakuwa sipo kwa hiyo hakuna wa kuwaamsha,sasa kilichokuwa kikinishangaza wakati najianda kununua kila nikiwa sipo nikipiga simu saa 12 niwaaamshe nakuta tayari wameamka,nikawa najiuliza hawa wanawezaje kujua kuwa saa 12 imefika na sikupata jibu...