Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Ifikie hatua watu tukubali Tu huu ukweli mchungu kuwa Mond ndo msanii maarufu Zaid kuwah kutokea kwenye historia ya mziki wa tz, na Kwa hal ilivyo itachukua miaka mingi Sana kutokea mwinginewa kufika level hzo, celebrity anayeweza kumkarbia ni Mbwana Samata,