Utafiti: Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi

Nakuunga mkono kabisa mkuu, hii kitu ni ukweli kabisa yaani sema kuna watu watapinga tu lkn ukweli ndo huu..., Watu wamezoea na kujiendekeza tu na kukosa mambo ya kukuweka bize.
 
Nililjkaa jela miaka 3 bila qutyumb nilivyotoka sasa kwa wiki napumzika siku ya ibada tu hata nikiumwa ni moto ku pause mpak nifungwe tena [emoji13][emoji12]

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Nakuunga mkono kabisa mkuu, hii kitu ni ukweli kabisa yaani sema kuna watu watapinga tu lkn ukweli ndo huu..., Watu wamezoea na kujiendekeza tu na kukosa mambo ya kukuweka bize.
Right now nina ten months bila kupiga push up katikati ya miguu ya Ke! What I do Mimi ni mwanamazoezi haswaa na mambo mengine yanaenda powa tu
 
huo utafiti ni feki
mim wiki moja bila kutia machine siwez nikatoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…