Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #21
Kwenye Sayansi Qualitative data zinakuwa Quantified. Kaka kila kitu kinawezekana kwenye sayansiLeta facts uliwezaje kuzisoma hisia za watu? acha longolongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye Sayansi Qualitative data zinakuwa Quantified. Kaka kila kitu kinawezekana kwenye sayansiLeta facts uliwezaje kuzisoma hisia za watu? acha longolongo
Sayansi ya Jamii maabara yake ni kwenye jamii kaka. Chemistry, Biology na Physics ndio unaingia kwenye chumba.Uchunguzi wa kisayansi unafanyika mahabara Uchunguzi wa kisiasa unafanyika kwa kura weka polls tuone hapo
Duuuh kweli wewe amnazo nini maana ya sayansi na nini maana siasaKwenye Sayansi Qualitative data zinakuwa Quantified. Kaka kila kitu kinawezekana kwenye sayansi
Kaka siyo ripoti tu bali nitaweka Data Source yaani raw data ili wanazuoni waweze kuchata na kupata ripoti wanavyopenda.
Ninaweka na nambari za simu za watu waliopitiwa na utafiti wangu. Utaweza kuwapigia. Wewe kaa mkao wa kulaSource fake? Tunawajua kwa kubumba data, mshasema mmechakata kila kitongoji so hata data zako za kuchakata nani atazibeba? Tunataka kuona methodology not data za kukaa chumbani kwako na excel sheet kama za Redet
Umetumia kipimo gani kupima tuanze hapoSayansi ya Jamii maabara yake ni kwenye jamii kaka. Chemistry, Biology na Physics ndio unaingia kwenye chumba.
Sema wamejaa ubinafsi na uchawaCCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.
Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-
- CCM
- CUF
- CHADEMA
- ACT Wazalendo
Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.
Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638
Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.
20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.
Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.
Karibuni
Ninategemea kuomba kipindi kwenye Crown Media. Nitakuja na wataalam wangu, nakuhakikishia wataeleza kila kitu. Ninauhakika na wewe utafurahiUmetumia kipimo gani kupima tuanze hapo
Dunia nzima watu wanafanya utafiti wa kisayansi kabla hata ya kupiga kura. Ndio maana nchi zinasomesha watu.Utafiti sahihi wa kukubalika ni kupitia sanduku la kura. Sasa nenda kwa hao wana CCM kawaambie wakubali uchaguzi huru na wa haki ili tuthibitishe hicho unachodai ni itafiti wako. Waambie polisi wakae mbali na masanduku ya kura tuthibitishe hicho unachokisema.
Alinunua Konyagi moja na akaanza kuinywa kisha akaingia JF.Ulitumia pesa ngapi kwa huo utafiti wako?
Nimeuliza Umetumia kipimo gani au formula gani kupima siasa kwenye sayansi labda umegundua formula mpya hapo tukupeleke NASA, au space XNinategemea kuomba kipindi kwenye Crown Media. Nitakuja na wataalam wangu, nakuhakikishia wataeleza kila kitu. Ninauhakika na wewe utafurahi
Hapa kaka siongei siasa, hapa naongea sayansi. Je, unaijua sayansi ya jamii?Nimeuliza Umetumia kipimo gani au formula gani kupima siasa kwenye sayansi labda umegundua formula mpya hapo tukupeleke NASA, au space X
Sayansi ya jamii inapimwa kwa kipimo gani?Hapa kaka siongei siasa, hapa naongea sayansi. Je, unaijua sayansi ya jamii?
Nani alikufadhili? Lengo la utafiti' wako ni nini? Hao uliowahoji wana akili timamu? Wewe mwenyewe una akili timamu?CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.
Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-
- CCM
- CUF
- CHADEMA
- ACT Wazalendo
Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.
Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638
Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.
20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.
Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.
Karibuni
Mimi sikukatalii kwa utafiti wako ulio fanya upo sahihi kabisa sasa waambie waache hofu waruhusu uchaguzi uwe huru ns haki. Siyo kuweka vizingiti vizingiti vya ujanja ujanja. Kwa mfano uchaguzi wa viongozi wa mtaa badala ya kuweka siku moja tu yakurudisha form waweke wiki nzima ili watu wapate frusa zuri wakurudisha form bila msongomano. Kwani kwa staili hii kuna hatari hata wakuja kusema kuwa awazioni baadhi ya form za wagombeaCCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.
Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-
- CCM
- CUF
- CHADEMA
- ACT Wazalendo
Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.
Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638
Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.
20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.
Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.
Karibuni
ambapo ni 98% ya watu milioni 60.CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.
Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-
- CCM
- CUF
- CHADEMA
- ACT Wazalendo
Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.
Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638
Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.
20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.
Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.
Karibuni
Kaka Tunaongelea Mathematics na Sayansi hapa. Tukiongelea mathematics tunaongelea nambari. Nambari zenyewe hizi hapa:Sayansi ya jamii inapimwa kwa kipimo gani?