Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Alooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo bado REDET, kitila na wengine , mashehe na manabii.Alooo
Weka polls hapa kwenye post hata mimi naweza graphics design na kutengenez a mapicha picha ambayo hayana fact yoyote weka polls mpya hapa tupige kuraKaka Tunaongelea Mathematics na Sayansi hapa. Tukiongelea mathematics tunaongelea nambari. Nambari zenyewe hizi hapa:
View attachment 3094046
Nani alikufadhili? Lengo la utafiti' wako ni nini? Hao uliowahoji wana akili timamu? Wewe mwenyewe una akili timamu?
naamini SHETANI ni mwafrika.Kaka Tunaongelea Mathematics na Sayansi hapa. Tukiongelea mathematics tunaongelea nambari. Nambari zenyewe hizi hapa:
View attachment 3094046
Soma vizuri kama. Nimesema mikoa ya watu ambao walipitiwa na utafiti.ambapo ni 98% ya watu milioni 60.
Acha kujielezea sana, CCM 2020 ilishinda zaidi ya 90%, maana yake tunakubalika na kila mtu, inatosha.Soma vizuri kama. Nimesema mikoa ya watu ambao walipitiwa na utafiti.
Poll siyo utafiti wa kisayansi. Mimi nimeleta Sayansi ya Jamii kakaWeka
Weka polls hapa kwenye post hata mimi naweza graphics design na kutengenez a mapicha picha ambayo hayana fact yoyote weka polls mpya hapa tupige kura
Mkuu hapo ni Kenya.👆👇![]()
Ccm tunaipenda, kuelekea miaka 70 ya uhuru kimaendeleo tupo mbali.
Amekuja hapa anatwambia oh ametumia sayansi tumemuuliza ametumia formula ya SIR nani au amegundua formula mpya ameshidwa kujibu tulitaka tumpeleke Space X apewe PHDnaamini SHETANI ni mwafrika.
Sio mwafrika bali mleta mada & co. ndio mashetani.naamini SHETANI ni mwafrika.
Sasa hiyo uliyonitumia sini polls au? Hivi ulisomea wapi sayansiPoll siyo utafiti wa kisayansi. Mimi nimeleta Sayansi ya Jamii kaka
Amani,Umoja na Utulivu vilikuwepo kabla nchi haijapata uhuru havikuletwa na TANU/CCM.CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.
Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-
- CCM
- CUF
- CHADEMA
- ACT Wazalendo
Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.
Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638
Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.
20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.
Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.
Karibuni
Unaweza kutupatia ushahidi?Amani,Umoja na Utulivu vilikuwepo kabla nchi haijapata uhuru havikuletwa na TANU/CCM.
Kwa bahati mbaya leo hii wao ndiyo wanafanya jitihada kubwa ya kuviondoa kwa dhuluma wanazozifanya dhidi ya wananchi!
polls za wazi hapa si atapata ugonjwa wa nyani, malengelenge.Amekuja hapa anatwambia oh ametumia sayansi tumemuuliza ametumia formula ya SIR nani au amegundua formula mpya ameshidwa kujibu tulitaka tumpeleke Space X apewe PHD
Alafu mwisho wa siku ananitumia polls ambayo haina fact yoyote ni ya kutengeneza TU
SASA MWAMBIE AWEKE POLLS YA WAZI HAPA SISI TUPIGE KURA
Je, tutawafikiaje watu ambao hawapo hapa JF?polls za wazi hapa si atapata ugonjwa wa nyani, malengelenge.
afiti wako wa awali uliwafikiaje walio nje ya JF?Je, tutawafikiaje watu ambao hawapo hapa JF?
Kwanini wewe umeleta utafiti wako sehemu isiyoweza kufikiwa na watu woteJe, tutawafikiaje watu ambao hawapo hapa JF?
Watu wote wenye akili za mapokeo wanaipenda ccmCCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.
Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-
- CCM
- CUF
- CHADEMA
- ACT Wazalendo
Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.
Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638
Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.
20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.
Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.
Karibuni