Utafiti wangu Nchi Nzima: Watu Wote Wenye Akili Timamu Tanzania Wanaipenda CCM - Data Ninazo

Utafiti wangu Nchi Nzima: Watu Wote Wenye Akili Timamu Tanzania Wanaipenda CCM - Data Ninazo

Nani alikufadhili? Lengo la utafiti' wako ni nini? Hao uliowahoji wana akili timamu? Wewe mwenyewe una akili timamu?

Kaka mimi ni mkulima wa Nazi kutoka Mtwara. Nilivuna nazi zangu na kisha kupata pesa. Nilijifadhili mimi mwenyewe
 
Weka

Weka polls hapa kwenye post hata mimi naweza graphics design na kutengenez a mapicha picha ambayo hayana fact yoyote weka polls mpya hapa tupige kura
Poll siyo utafiti wa kisayansi. Mimi nimeleta Sayansi ya Jamii kaka
 
1724563830584-jpeg.3078545

Ccm tunaipenda, kuelekea miaka 70 ya uhuru kimaendeleo tupo mbali.
Mkuu hapo ni Kenya.👆👇
Thread 'Picha hii imepigwa kwenye Shule ya Tanzania' SI KWELI - Picha hii imepigwa kwenye Shule ya Tanzania
 
naamini SHETANI ni mwafrika.
Amekuja hapa anatwambia oh ametumia sayansi tumemuuliza ametumia formula ya SIR nani au amegundua formula mpya ameshidwa kujibu tulitaka tumpeleke Space X apewe PHD

Alafu mwisho wa siku ananitumia polls ambayo haina fact yoyote ni ya kutengeneza TU

SASA MWAMBIE AWEKE POLLS YA WAZI HAPA SISI TUPIGE KURA
 
CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.

Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-

  • CCM
  • CUF
  • CHADEMA
  • ACT Wazalendo

Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.

Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638

Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.

20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.

Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.

Karibuni
Amani,Umoja na Utulivu vilikuwepo kabla nchi haijapata uhuru havikuletwa na TANU/CCM.
Kwa bahati mbaya leo hii wao ndiyo wanafanya jitihada kubwa ya kuviondoa kwa dhuluma wanazozifanya dhidi ya wananchi!
 
Amani,Umoja na Utulivu vilikuwepo kabla nchi haijapata uhuru havikuletwa na TANU/CCM.
Kwa bahati mbaya leo hii wao ndiyo wanafanya jitihada kubwa ya kuviondoa kwa dhuluma wanazozifanya dhidi ya wananchi!
Unaweza kutupatia ushahidi?
 
Amekuja hapa anatwambia oh ametumia sayansi tumemuuliza ametumia formula ya SIR nani au amegundua formula mpya ameshidwa kujibu tulitaka tumpeleke Space X apewe PHD

Alafu mwisho wa siku ananitumia polls ambayo haina fact yoyote ni ya kutengeneza TU

SASA MWAMBIE AWEKE POLLS YA WAZI HAPA SISI TUPIGE KURA
polls za wazi hapa si atapata ugonjwa wa nyani, malengelenge.
 
CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa na msingi wa kihistoria kutokana na mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa chama hiki.

Nimefanya utafiti wangu ndani ya mwaka mmoja na nusu. Na nimezunguka Mikoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji. Nilikuwa nimeandaa maswali kadha wa kadha ya kisayansi.
Vyama vilivyohusishwa katika utafiti huu ni:-

  • CCM
  • CUF
  • CHADEMA
  • ACT Wazalendo

Lengo kubwa ilikuwa ni kujua aina ipi ya watu wanakipenda chama fulani. Kwahiyo Utafiti wangu ulikuwa wa kisayansi zaidi.

Nilitembelea vijiji na mitaa 10,715, Niliweza kuwafikia watu 25,7638

Taarifa zangu zilikuwa za kiutafiti zaidi.
90% ya Mikoa niliyopitia Watu wenyeshughuli zao, wakulima, bodaboda, Machinga, Wanazuoni na wasomi mbalimbali walionekana kuipenda CCM kwa Dhati.

20% Ya wale walioonekana kupendelea vyama vingine, walisema wanakata tamaa kutokana na kukosekana kwa malengo ya dhati katika vyama hivyo.

Data Zote nitaziweka hapa nitaweka data source ya excel ili na watafiti wengine waweze kuzitumia data hizo.

Karibuni
Watu wote wenye akili za mapokeo wanaipenda ccm
 
Unaweza kuwa sawa 'ki-utafiti'........lakini pia ni wazi kuwa Watanzania wa kawaida na walio wengi hasa vijijini hawawezi kutofautisha chama tawala na serikali/dola. Kwa hiyo kuwaaminisha waondokane na 'zimwi likujualo' ni sheeda!
 
Back
Top Bottom