Utafiti wangu Nchi Nzima: Watu Wote Wenye Akili Timamu Tanzania Wanaipenda CCM - Data Ninazo

Utafiti haupingwi kwa hisia. Utafiti unapingwa kwa utafiti.
 
Sawa mkuu chama cha CCM ni chama kizuri ila nakushauri usimamie maslahi ya chama bali ya taifa ili tusijigawe sisi ni kitu kimoja na hii ni nchi yetu sote na kwamba tuchukulie vyama vya siasa ni kama sehemu ndogo tu kwenye taifa.
Mdugu, haya yanauhusiano wowote na utafiti wangu?
 
Mwenye akili timamu yupoje?
 
Kazi ipo. Kama ni kweli tunasafari ndefu sana kufikia maendeleo kama Nchi.
 
Bingwa wa kinyume nyume
Hivi wenye akili wangeipemda ccm wangeishi kama mashetani??
Au hujui kuwa wenye akili nchi hii wanaishi kama mashetani
 
Duh ! Hiyo circle nyekundu iliyochorwa kwenye gazeti kwamba TZ watu ni wajinga kuliko Afrika yote imenisikitisha sana πŸ™„πŸ˜±πŸ˜…
 
Ndugu akija mtu mtu asiye na akili timamu huwezi kumjua?

Mkuu sifa ya research ni kuondoa utata wa jambo unalokusudia kuliwakilisha, tumekuuliza umepimaje akili? Umeendelea na stori tu tangu page ya kwanza. Unatakiwa kutoa definition ya akili timamu kwa vigezo vya utafiti wako! Unaposema akili timamu unamaanisha nini researcher? Is it IQ? Psychometric tests results? GPA? au kadi ya chama? Ulipimaje hao subjects wako ukafikia conclusion zako? Kuweka pie chart hapa kila mtu anaweza.
 
 
Wanaipenda CCM kwa sababu ya uzembe na loopholes wanazotengeneza ili wachche wafanikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…