Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania kulingana na utafiti wangu;

Kwanini katika familia nyingi watoto wengi hupenda zaidi ndugu wa upande wa mama kuliko wale wa upande wa baba zao?

Ni mara chache sana utaona mtoto wa baba mdogo na mkubwa wanasaidiana.

Mimi licha ya umri wangu huu mdogo lakini nimekuwa nikishirikishwa sana katika kutatua changamoto za kifamilia kwa jamaa na marafiki.

Kwa mfano unaweza kukuta mtu anakaa Dar lakini amepata safari ya kwenda kwenye interview ya kazi huko mkoani Iringa ambapo kuna ndugu wa pande zote mbili.

Kuna ndugu upande wa mama (mama mdogo) pamoja na ndugu upande wa baba (baba mdogo). Ila amini usiamini, asilimia 95% ya watoto watakuwa na furaha zaidi kwenda Iringa na kukaa nyumbani kwa mama mdogo kuliko kwa baba mdogo.

Watoto wa baba mdogo na baba mkubwa wengi wanakuwaga na beefs za hapa na pale tofauti kabisa na watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.

Unaweza ukakuta watoto wa baba mdogo/mkubwa wanawweza kukaa hata miaka 2 bila hata kutumiama SMS ya kujuliana hali lakini watoto wa mama yake mkubwa ama mama mdogo wanawasiliana kila baada ya mwezi mmoja.

Nilijaribu kwenda mbali zaidi kutaka kujua chanzo ni nini kutokana na mahojiana na watu wengi wazima walionizidi umri.

Wengi walionipa majibu wanasema kwamba chanzo kikubwa ni kuwa akina mama wanapoolewa katika koo za watu wengine wao ndio wanakuwa chanzo cha kuleta kelele ndani ya koo walizoolewamo (bado sina uhakika na tetesi hii)

Kuna baadhi ya wataalam niliohojiana nao walipata kuniambia kwamba tafiti za kisaikoloji inaonesha kwamba mtoto ni rahisi sana kuamini maneno ya mama kuliko ya baba. Yaaani mama akikwambia kuwa yule mke wa baba yako mdogo amenitukana na kuanzia leo msiende kwao, na kweli watoto watatembelea mkoa huo lakini hawataenda nyumbani kwa baba yao mdogo/mkubwa tofauti kabisa akiambiwa na baba yake.

USHAURI KWA WABABA WENZANGU: Msikubali wanawake mliowaoa wavunje undugu wenu kwa maana nyie mmetoka mbali zaidi tangia mpo wadogo huko kwenu kuliko hao wake zenu mliokutana nao ukubwani.

Wanawake wengi hupenda zaidi kuwavuta watoto upande wa ndugu zao tu. Yaaani unakuta likizo mtoto anapelekwa kutembelea kwa mama zake au bibi mzaa mama tu baaaas, na hapa ndio mwanaume anapaswa kuwa kichwa ngumu na kusimama kama baba wa familia.

Kuna baadhi ya wababa huwa wanawachukua watoto wa nguvu na kuwapeleka upande wa ndugu zao pia ili wazoeleke na huko. Baadhi ya mwanaume legelege unakuta hata watoto wakizaliwa hata kama wapo 4 basi majina yote yanatokea ndugu upande wa mkewe.

NINAOMBA KUKOSOLEWA KATIKA UTAFITI HUU KAMA SIPO SAHIHI

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndio ujue vita iliyoko kwenye ndoa kati ya mume na Mke na nani mwanzilishi wa vita. Lengo la wanawake ni kuwatawala Wanaume na kuchukua mali za wanaume, ili kufanikisha hilo lazima waanzishe ugomvi na ndugu za mume ili mume ajitenge na Ndugu zake na awe upande wa mke wake, akishafanikiwa hilo kwa watoto ni rahisi. Sasa kwa sababu Mwanaume kiasli ni Kiongozo/Mtawala akikataa kutenganishwa na Ndugu zake au kutawaliwa basi ndoa hio lazima iwe na ugomvi, na mke anachukua hatua nyingine ya kumtenganisha Baba na Watoto na hapo utakuta Baba atahangaika kupata pesa na kutunza mke,mimba,watoto,shule na kazi, Ila Baba akizeeka anaachwa anakufa bila hata ya uangalizi mama anakula na kutunzwa na watoto, watoto wanaambiwa baba yenu alikua anaharibu pesa na malaya au pombe. WANAUME tunzeni pesa zenu, zaa Watoto wachache, ili uwekeze pesa yako ukiwa na nguvu, ukifika uzeeni ujihudumie. Ukikumbatiwa mpaka akili huo ni ujinga wako. Watoto kuweni na Akili waangalieni Baba zenu msidanganyike Baba zenu walijitoa muhanga kuwahudumia, wahudumieni Wazazi wenu wote kwa usawa bila ubaguzi.
 
Ndio ujue vita iliyoko kwenye ndoa kati ya mume na Mke na nani mwanzilishi wa vita. Lengo la wanawake ni kuwatawala Wanaume na kuchukua mali za wanaume, ili kufanikisha hilo lazima waanzishe ugomvi na ndugu za mume ili mume ajitenge na Ndugu zake na awe upande wa mke wake, akishafanikiwa hilo kwa watoto ni rahisi. Sasa kwa sababu Mwanaume kiasli ni Kiongozo/Mtawala akikataa kutenganishwa na Ndugu zake au kutawaliwa basi ndoa hio lazima iwe na ugomvi, na mke anachukua hatua nyingine ya kumtenganisha Baba na Watoto na hapo utakuta Baba atahangaika kupata pesa na kutunza mke,mimba,watoto,shule na kazi, Ila Baba akizeeka anaachwa anakufa bila hata ya uangalizi mama anakula na kutunzwa na watoto, watoto wanaambiwa baba yenu alikua anaharibu pesa na malaya au pombe. WANAUME tunzeni pesa zenu, zaa Watoto wachache, ili uwekeze pesa yako ukiwa na nguvu, ukifika uzeeni ujihudumie. Ukikumbatiwa mpaka akili huo ni ujinga wako. Watoto kuweni na Akili waangalieni Baba zenu msidanganyike Baba zenu walijitoa muhanga kuwahudumia, wahudumieni Wazazi wenu wote kwa usawa bila ubaguzi.
Mkuu, umeandika kwa hekima na hisia nyingi sana. I can feel it.
 
Tatzo hutokana na wamama wa hao watoto...ukikaa chin ukatafakar utaelewa

Haiwezekan mke wa bro awe anatunanga familia halaf tumpende...so lazima atawalisha sumu wanae.so mara chache sana huwa watoto wao wanaelewana.na hii ni endapo baba ana msimamo...

Ukimwendekeza sana mwanamke kwenye maisha yako..atakutibulia kila kitu .na ndo hcho kinachotufanya sis ma bachela ambao hatunaga shobo na wadada tunasita kuoa mapema had tujiridhishe na variables zote
Pamoja kaka, haupo peke yako.
 
Kwakweli sijawahi waelewa wale jamaa woooooote!!!!
Ila huku kwa mama
Kwanza kuna anko mmjo hivi anatema madini ya ushauli hadi raha
Wanaushilikiano kinoma yaani
Sasa kwa mshua wenyokwa wenyewe hawaelewani sembuse mimi
 
Kwakweli sijawahi waelewa wale jamaa woooooote!!!!
Ila huku kwa mama
Kwanza kuna anko mmjo hivi anatema madini ya ushauli hadi raha
Wanaushilikiano kinoma yaani
Sasa kwa mshua wenyokwa wenyewe hawaelewani sembuse mimi
Upande wa baba tatizo ni wake zao
 
Upande wa mama una nguvu sana,
Una nguvu sana kwenye mikoa ya pwani/mwambao ambako kuna wanaume wengi si riziki wa chipsi mayai huku kwetu bara upande wa baba ndiyo una nguvu. Hukuti mwanamke kadanga hukooo kahongwa 'afu aje kutawala ukoo na kuvutia watoto upande wa ndugu zake.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania kulingana na utafiti wangu;

Kwanini katika familia nyingi watoto wengi hupenda zaidi ndugu wa upande wa mama kuliko wale wa upande wa baba zao?

Ni mara chache sana utaona mtoto wa baba mdogo na mkubwa wanasaidiana.

Mimi licha ya umri wangu huu mdogo lakini nimekuwa nikishirikishwa sana katika kutatua changamoto za kifamilia kwa jamaa na marafiki.

Kwa mfano unaweza kukuta mtu anakaa Dar lakini amepata safari ya kwenda kwenye interview ya kazi huko mkoani Iringa ambapo kuna ndugu wa pande zote mbili.

Kuna ndugu upande wa mama (mama mdogo) pamoja na ndugu upande wa baba (baba mdogo). Ila amini usiamini, asilimia 95% ya watoto watakuwa na furaha zaidi kwenda Iringa na kukaa nyumbani kwa mama mdogo kuliko kwa baba mdogo.

Watoto wa baba mdogo na baba mkubwa wengi wanakuwaga na beefs za hapa na pale tofauti kabisa na watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.

Unaweza ukakuta watoto wa baba mdogo/mkubwa wanawweza kukaa hata miaka 2 bila hata kutumiama SMS ya kujuliana hali lakini watoto wa mama yake mkubwa ama mama mdogo wanawasiliana kila baada ya mwezi mmoja.

Nilijaribu kwenda mbali zaidi kutaka kujua chanzo ni nini kutokana na mahojiana na watu wengi wazima walionizidi umri.

Wengi walionipa majibu wanasema kwamba chanzo kikubwa ni kuwa akina mama wanapoolewa katika koo za watu wengine wao ndio wanakuwa chanzo cha kuleta kelele ndani ya koo walizoolewamo (bado sina uhakika na tetesi hii)

Kuna baadhi ya wataalam niliohojiana nao walipata kuniambia kwamba tafiti za kisaikoloji inaonesha kwamba mtoto ni rahisi sana kuamini maneno ya mama kuliko ya baba. Yaaani mama akikwambia kuwa yule mke wa baba yako mdogo amenitukana na kuanzia leo msiende kwao, na kweli watoto watatembelea mkoa huo lakini hawataenda nyumbani kwa baba yao mdogo/mkubwa tofauti kabisa akiambiwa na baba yake.

USHAURI KWA WABABA WENZANGU: Msikubali wanawake mliowaoa wavunje undugu wenu kwa maana nyie mmetoka mbali zaidi tangia mpo wadogo huko kwenu kuliko hao wake zenu mliokutana nao ukubwani.

Wanawake wengi hupenda zaidi kuwavuta watoto upande wa ndugu zao tu. Yaaani unakuta likizo mtoto anapelekwa kutembelea kwa mama zake au bibi mzaa mama tu baaaas, na hapa ndio mwanaume anapaswa kuwa kichwa ngumu na kusimama kama baba wa familia.

Kuna baadhi ya wababa huwa wanawachukua watoto wa nguvu na kuwapeleka upande wa ndugu zao pia ili wazoeleke na huko. Baadhi ya mwanaume legelege unakuta hata watoto wakizaliwa hata kama wapo 4 basi majina yote yanatokea ndugu upande wa mkewe.

NINAOMBA KUKOSOLEWA KATIKA UTAFITI HUU KAMA SIPO SAHIHI

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ni kweli upo sahihi hususani wamama ambao hawana maadili na ni wahuni wahuni, anawachukia watoto wa wifi na shemeji zake ila watoto wa dada zake anawapenda na akiwa na mume ana wake wawili atawaaminisha half brothers wa wanawe siyo ndugu ila cousins wao watoto wa dada zake ndiyo ndugu wkt hata sayansi ya DNA inamsuta. Yaani inshort ni wale wanawake walioolewa kufuata pesa au kutoa nuksi tu kama makahaba wanavyofuata pesa wkt ndoa ni kuunga undugu.
 
Back
Top Bottom