Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Wenye nazo wala hawajisemi mkuu
Ukishamjua ndo unajua kumbe yaliyomo yamoo
tunachangamsha genge tuh bibie sina hata mia mbovu apa mwenyewe huwezi amini gesi imeisha ndio nimetoka kutingisha mtungi
 
Wanawake bana. Atampata mwenye upara ataanza kutaman mwenye dred kama mondi
[emoji2211][emoji2211][emoji2211]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa itakuwaje...hatuli leo?
Uzuri uji ilikua umesha chemka ndio naugida apa ukichagiza na sijui nitee mboga any way ni mboga maziwa mtindi,imebidi niyachanganyie hukohuko
 
....Noma sana
 
Bila shaka unatinduliwa na lenye para, kisa bwana Ako ana kipara ndo unasifia vipara humu???, Nakupenda wewe na huyo bwana Ako.
 
Kwa hiyo umemzimia huyu mwenye vyuma tag masikioni; ndiyo ukaleta uzi huu?
Nauliza tu kutaka kufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…