vn_warehouse
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 648
- 854
Ukisema hati ni haki yako sio kweli, Hati inabidi ifanyiwe mchakato mpaka kukamilikaNa kwanini nitumie pesa kupata haki yangu?
Imagine umenunua eneo ambalo halijapimwa ,afu unataka hati, Hapo lazima umpate surveyor akalipime kwanza ,waje watu wa mipango mji kujiridhisha kama eneo lipo sehemu sahihi kwa makazi, Bado uende ukachukue form za mipaka ambazo majirani wako wanatakiwa waziisign, kuna issue ya kuweka beacons ,baada hapo upewe form zingine za kujaza details zako ziende wizarani , upewe control number za kulipia makadirio ya Kodi ya eneo husika ,
Haya yote hata ukisema uyafanye mwenyewe lazima hela ikutoke tuu,
Kiwanja kimoja kinaweza kikakugharimu hata 500k mpaka kufanikisha hati miliki kama utafutailia wewe mwenyewe