vn_warehouse
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 648
- 854
Kuuziana viwanja serikali ya mtaa ni risk sana coz mnaweza mkauziwa hata watu kumi kiwanja kimoja ,Kuna mwanaJF miaka 2014 sijui alitega thread hapa alitapeliwa kiwanja.
Huyu alipelekwa na tapeli hadi serikali ya mtaa ili kijihakikishia uhalali wa umiliki, kumbe hata ile ofisi ya serikali ya mtaa ni feki imewekwa mwonekano wa ofisi kwa hiyo siku tu.
Ni kwamba maeneo hayo thamani ya shamba heka moja ni kati ya laki 5 hadi 1.5milion.Kuna hivi vinavyotangazwa kila kukicha kwenye maredio vinapatikana mlandizi, bagamoyo, sijui kigamboni na inasemwa ni bei ya chini sana, je uhalali wake upo vipi???
Mwenye taarifa au uzoefu na hili atujuze.
Wakili wangu aliuziwa kiwanja hewa, na dalali kwa 25m alitaka kunificha ila wakati wakutoa ushahidi akabidi anifungukii ili apata msaada wangu.......kwa ufupi wizi au utapeli wa aridhi hauna mwenyewe ata majaji wanatapeliwa kila ukicha muhimu katika kununua aridhi ni take your time to pay your money, mhemuko acha kama kuna wateja wengine wanata kukichukua wachukue tu hiyo itakua sio ridhiki yako.......tricky madalali wanao tumia kutapeli ni kukuwaisha kulipa kutegeneza mazingira kwamba kuna wateja wengi wanahitaji hiyo sehemu, wewe just ignore them neenda ukafanye sachi yako kwa wakati wako usiwe na haraka.Acheni ubahili na ujuaji.
Tafuta Wakili, mlipe akufanyie "conveyancing".
Ukishamlipa wakili atahakikisha unanua kiwanja/nyumba ambayo iko salama kwa kuanza kukufanyia 'official search' (upekuzi wa usalama wa ardhi hiyo kwenye masijala ya ardhi katika eneo husika), mpaka kukuandikia mkataba wa mauziano (au kuhakiki mkataba wa mauziano utakaoletewa).
Wengi wenu kwa ubahili au ujuaji, mnajikuta mnanunua ardhi/nyumba ambazo sio mali halali za wauzaji, au ardhi/nyumba ambazo zimekopewa benki n.k
Nikupe mfano, marafiki wawili waliosoma pamoja walitaka kununua nyumba za ghorofa karibu karibu. Nyumba zikapatikana. Mmoja akatafuta wakili akamlipa amfanyie "conveyancing" from stage A to Z, akamlipa 2M.
Wa pili akaona ile 2M ni pesa nyingi, akaenda kununua hivyohivyo. Baada ya kusaini mkataba na kuhamia, akagundua kwamba ule mkataba wa mauziano alioletewa ulikuwa na "exclusion clause", this is a clause limiting liability to the drawer (drafter of the contract).
Baada ya kuhamiwa akaletewa bili ya maji na umeme jumla 3.2M. Alipomfata muuzaji ili alipe akakataa, akasema haikuwa sehemu ya makubaliano. Kwenda kwa Mwanasheria akaambiwa hivyohivyo, kwasababu mkataba uliandikwa "nyumba inauzwa kama ilivyo". Lakini angemlipa Wakili basi angeongeza clause kwamba "madeni yote yanayohusu nyumba hiyo kabla ya mauziano yalipwe na muuzaji".
Kwahiyo acheni ubahili na ujuaji muepuke hasara zisizo za lazima [emoji28]
Mlandizi sawa mkuu ila bagamoyo usiende tena usijaribu kabbbbbbbisa watakuuzia ardhi ya zanzibar
Me nimenunua maeneo kadhaa , mpaka sasa sijapata changamoto yoyote , Nazidi kuomba Mungu
Me Pana mpumbavu aliniuzia kiwanja ubavu wa nyumba yake baada ya kuondoka kurudi nakuta kamuuzia mtu mwingine na keshajenga kabisa na frem,yaani namuangalia huyu Mzee simmalizi sijui nimpe adhabu gani.
Hata pesa za kurejesha Huwa hawana Mimi nataka niuze nyumbani yake.
Hawa wazee wa kiswahili sijui wanaivunia Nini
Bei ni chini kwa sababu vipo bado porini siku unaenda kukicheki unakutana na ndege kanga poliKuna hivi vinavyotangazwa kila kukicha kwenye maredio vinapatikana mlandizi, bagamoyo, sijui kigamboni na inasemwa ni bei ya chini sana, je uhalali wake upo vipi???
Mwenye taarifa au uzoefu na hili atujuze.
[emoji3][emoji3][emoji3]Jf apa Kila Mtu aliuziwa kiwanja[emoji119]
serekali ya ccmu?Salasala BENACO kulivunja rekodi ya utapeli wa viwanja watu waliuziwa viwanja hata watatu kiwanja kimoja na deal lilikuwa linachezwa na wenye mamlaka. Kumewaliza sana watu
Samahani mkuu?Acheni ubahili na ujuaji.
Tafuta Wakili, mlipe akufanyie "conveyancing".
Ukishamlipa wakili atahakikisha unanua kiwanja/nyumba ambayo iko salama kwa kuanza kukufanyia 'official search' (upekuzi wa usalama wa ardhi hiyo kwenye masijala ya ardhi katika eneo husika), mpaka kukuandikia mkataba wa mauziano (au kuhakiki mkataba wa mauziano utakaoletewa).
Wengi wenu kwa ubahili au ujuaji, mnajikuta mnanunua ardhi/nyumba ambazo sio mali halali za wauzaji, au ardhi/nyumba ambazo zimekopewa benki n.k
Nikupe mfano, marafiki wawili waliosoma pamoja walitaka kununua nyumba za ghorofa karibu karibu. Nyumba zikapatikana. Mmoja akatafuta wakili akamlipa amfanyie "conveyancing" from stage A to Z, akamlipa 2M.
Wa pili akaona ile 2M ni pesa nyingi, akaenda kununua hivyohivyo. Baada ya kusaini mkataba na kuhamia, akagundua kwamba ule mkataba wa mauziano alioletewa ulikuwa na "exclusion clause", this is a clause limiting liability to the drawer (drafter of the contract).
Baada ya kuhamiwa akaletewa bili ya maji na umeme jumla 3.2M. Alipomfata muuzaji ili alipe akakataa, akasema haikuwa sehemu ya makubaliano. Kwenda kwa Mwanasheria akaambiwa hivyohivyo, kwasababu mkataba uliandikwa "nyumba inauzwa kama ilivyo". Lakini angemlipa Wakili basi angeongeza clause kwamba "madeni yote yanayohusu nyumba hiyo kabla ya mauziano yalipwe na muuzaji".
Kwahiyo acheni ubahili na ujuaji muepuke hasara zisizo za lazima [emoji28]
Mm kila nikinunua napiga Uzio wa tofali kesho yake naandika hakiuzwi epuka matapeliMe Pana mpumbavu aliniuzia kiwanja ubavu wa nyumba yake baada ya kuondoka kurudi nakuta kamuuzia mtu mwingine na keshajenga kabisa na frem,yaani namuangalia huyu Mzee simmalizi sijui nimpe adhabu gani.
Hata pesa za kurejesha Huwa hawana Mimi nataka niuze nyumbani yake.
Hawa wazee wa kiswahili sijui wanaivunia Nini
Akili ya kutafuta viwanja siyo lazima wakili ambaye ni zao la bookish Schools.Acheni ubahili na ujuaji.
Tafuta Wakili, mlipe akufanyie "conveyancing".
Ukishamlipa wakili atahakikisha unanua kiwanja/nyumba ambayo iko salama kwa kuanza kukufanyia 'official search' (upekuzi wa usalama wa ardhi hiyo kwenye masijala ya ardhi katika eneo husika), mpaka kukuandikia mkataba wa mauziano (au kuhakiki mkataba wa mauziano utakaoletewa).
Wengi wenu kwa ubahili au ujuaji, mnajikuta mnanunua ardhi/nyumba ambazo sio mali halali za wauzaji, au ardhi/nyumba ambazo zimekopewa benki n.k
Nikupe mfano, marafiki wawili waliosoma pamoja walitaka kununua nyumba za ghorofa karibu karibu. Nyumba zikapatikana. Mmoja akatafuta wakili akamlipa amfanyie "conveyancing" from stage A to Z, akamlipa 2M.
Wa pili akaona ile 2M ni pesa nyingi, akaenda kununua hivyohivyo. Baada ya kusaini mkataba na kuhamia, akagundua kwamba ule mkataba wa mauziano alioletewa ulikuwa na "exclusion clause", this is a clause limiting liability to the drawer (drafter of the contract).
Baada ya kuhamiwa akaletewa bili ya maji na umeme jumla 3.2M. Alipomfata muuzaji ili alipe akakataa, akasema haikuwa sehemu ya makubaliano. Kwenda kwa Mwanasheria akaambiwa hivyohivyo, kwasababu mkataba uliandikwa "nyumba inauzwa kama ilivyo". Lakini angemlipa Wakili basi angeongeza clause kwamba "madeni yote yanayohusu nyumba hiyo kabla ya mauziano yalipwe na muuzaji".
Kwahiyo acheni ubahili na ujuaji muepuke hasara zisizo za lazima [emoji28]
Hizo gharama zote za nini? Maandishi hayamzuii tapeli kukiuzaMm kila nikinunua napiga Uzio wa tofali kesho yake naandika hakiuzwi epuka matapeli
Mimi huwa ninapasafisha napanda miti, nachimba mashimo ili mradi mtu akija aone kuna mtu na anakuja muda usiojulikana kwa hiyo hawezi kuuza au kama kina ugomvi utajua tu maana utasikia mtu anakuuliza kwanini unachimba hapo au nani kapanda mitiMm kila nikinunua napiga Uzio wa tofali kesho yake naandika hakiuzwi epuka matapeli
Wengi wanachukua kwa asilimia kadhaa , nafikiri yeye ndo anakuambia anataka asilimia ngapi.Samahani mkuu?
Mfano namunua kiwanja cha mil 4
Wakili ili anisimamie nimlipe shingapi? Kiwanja kisicho na hati..
Inasaidia. Maandishi ni kumiliki. Ukuta ni kutawala. Wengi huishia kumiliki na kusahau kutawalaHizo gharama zote za nini? Maandishi hayamzuii tapeli kukiuza