Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Mishe kibao umeanza kubeba Sembe nini kupeleka china ?

:msela:

Ndio nipo natafuta hiyo network. Kama unayo please niunganishie. Pia mwulize warumi Kama anawajua mapapaa ya sembe anikonect
 
Last edited by a moderator:
Ndio nipo natafuta hiyo network. Kama unayo please niunganishie. Pia mwulize warumi Kama anawajua mapapaa ya sembe anikonect


Poa afu ntakutumia Uzi flani ! Hivi kwa PM !

Wa Jamaa alikuwa Mbeba sembe ! Akawataja wooote ! Hadi kina Dangote ! Hahaaaaaaaa ! Nae ni punda hahaaaaaa !

Ngoja nikae sawa !
 
Last edited by a moderator:
Poa afu ntakutumia Uzi flani ! Hivi kwa PM !

Wa Jamaa alikuwa Mbeba sembe ! Akawataja wooote ! Hadi kina Dangote ! Hahaaaaaaaa ! Nae ni punda hahaaaaaa !

Ngoja nikae sawa !

Wonders shall never end....hahaahaaa.. nitumie niwajue miee
 
Poa afu ntakutumia Uzi flani ! Hivi kwa PM !

Wa Jamaa alikuwa Mbeba sembe ! Akawataja wooote ! Hadi kina Dangote ! Hahaaaaaaaa ! Nae ni punda hahaaaaaa !

Ngoja nikae sawa !

Dangote ndomo au wa nigeria
 
Nilishawah kumzungumzia humu zaman kidog, kipindi hko wakat cna mvuto sana humu jukwaan, watu wakapuuza


Hahaaaa wanajitoaga ufahamu ! Nakujifanya hawaelewi !

Ngoja nikirudi home ! Ntatembeza PM !
 
Huo ubuyu nautamani hatari,me n mpenda ubuyu mwenzenu ila busy nashndwa hata kua active...msaada wa ubuyu maana umbea umenikamata

Hahahahahaaaaaaaa.... ngoja nikutafutie
 
Nawaomba mni pm jamani na mimi
Nasubiri kwa hamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…