Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Mishe kibao umeanza kubeba Sembe nini kupeleka china ?

:msela:

Ndio nipo natafuta hiyo network. Kama unayo please niunganishie. Pia mwulize warumi Kama anawajua mapapaa ya sembe anikonect
 
Last edited by a moderator:
Ndio nipo natafuta hiyo network. Kama unayo please niunganishie. Pia mwulize warumi Kama anawajua mapapaa ya sembe anikonect


Poa afu ntakutumia Uzi flani ! Hivi kwa PM !

Wa Jamaa alikuwa Mbeba sembe ! Akawataja wooote ! Hadi kina Dangote ! Hahaaaaaaaa ! Nae ni punda hahaaaaaa !

Ngoja nikae sawa !
 
Last edited by a moderator:
Poa afu ntakutumia Uzi flani ! Hivi kwa PM !

Wa Jamaa alikuwa Mbeba sembe ! Akawataja wooote ! Hadi kina Dangote ! Hahaaaaaaaa ! Nae ni punda hahaaaaaa !

Ngoja nikae sawa !

Wonders shall never end....hahaahaaa.. nitumie niwajue miee
 
Poa afu ntakutumia Uzi flani ! Hivi kwa PM !

Wa Jamaa alikuwa Mbeba sembe ! Akawataja wooote ! Hadi kina Dangote ! Hahaaaaaaaa ! Nae ni punda hahaaaaaa !

Ngoja nikae sawa !

Dangote ndomo au wa nigeria
 
Nilishawah kumzungumzia humu zaman kidog, kipindi hko wakat cna mvuto sana humu jukwaan, watu wakapuuza


Hahaaaa wanajitoaga ufahamu ! Nakujifanya hawaelewi !

Ngoja nikirudi home ! Ntatembeza PM !
 
Huo ubuyu nautamani hatari,me n mpenda ubuyu mwenzenu ila busy nashndwa hata kua active...msaada wa ubuyu maana umbea umenikamata

Hahahahahaaaaaaaa.... ngoja nikutafutie
 
Nawaomba mni pm jamani na mimi
Nasubiri kwa hamu.
 
Back
Top Bottom