TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Sijambo
Miss you so much Dear !
Aaaaw! Thx...nipo mishemishe kibao yaani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijambo
Miss you so much Dear !
Aaaaw! Thx...nipo mishemishe kibao yaani...
Ndio nipo natafuta hiyo network. Kama unayo please niunganishie. Pia mwulize warumi Kama anawajua mapapaa ya sembe anikonect
Nambie binamu
Poa afu ntakutumia Uzi flani ! Hivi kwa PM !
Wa Jamaa alikuwa Mbeba sembe ! Akawataja wooote ! Hadi kina Dangote ! Hahaaaaaaaa ! Nae ni punda hahaaaaaa !
Ngoja nikae sawa !
Dangote ndomo au wa nigeria
Ntakurushia namba ya haidary kavira pm au kinje usihofu wakizingua ntakupa ya director joan
.
.
Done !
:msela: :msela: :msela: :msela: :msela:
Maisha Mtelezo
Nilishawah kumzungumzia humu zaman kidog, kipindi hko wakat cna mvuto sana humu jukwaan, watu wakapuuza
We ukome !
:msela:
Huo ubuyu nautamani hatari,me n mpenda ubuyu mwenzenu ila busy nashndwa hata kua active...msaada wa ubuyu maana umbea umenikamata
Hahahahahaaaaaaaa.... ngoja nikutafutie